Davidmmarista
JF-Expert Member
- Apr 11, 2024
- 1,367
- 2,451
Mjinga sana huyo jamaa akili ndogo sana very low IQ indeedMtu mjinga ambaye hajawahi hata kugundua au kutengeneza njiti ya kiberiti lakini amegundua Mungu hayupo mi maajabu haya.
Extrovert Terminator
Mshana Jr
Haha bora niwe mjinga sanaa kwa kuamini Mungu yupo.Moja ya wajinga wa mwamposa na wewe hupo hongera Kwa kuwa mjinga
Nataka ufanye wewe utume na picha humu lakini sitaki tujuane baada ya hapoFanya hiyo test hapa sio blah blah
Amka usije ukajikojoleaKuna watu ni wajinga wanaamini kabisa kwamba Kuna mungu utakuta mtu amefanyiwa ubaya na binadamu mwenzie eti namuachia mungu halafu Kwa mujibu wa dini huyo huyo mtu alienda kutubu anasamehewa aisee zinduke I dini na neno mungu limetungwa na matapeli Ili waweze kuitawala dunia ikiwemo kuanzisha dini zao uchwara na kweli wajinga ambao ni masikini wanaendelea kuteswa Kwa vitisho vya kuchomwz moto ilihali wanaona kabisa wakifa wanazikwa ardhini
SanaaaMjinga sana huyo jamaa akili ndogo sana very low IQ indeed
Nami nimejiuliza, kuna shida mahali hakikaAtheism inakuwa kwa kasi sana nchini, why?
Kwa hiyo huyo Mungu analipiza kisasi kwa kuleta moto?Hili hapa gazeti fupi...!!
View attachment 3205304
The Golden Globes Award was held last week in Los Angeles, USA. During the Award Ceremony, God was mocked.
Shortly after the Awards, fire erased the Holywood City, especially the Pacific Palisades (the homes of the rich and powerful in the entertainment industry).
God cannot be mocked. When you minus the almighty God, you court disaster.
Another Titanic experience.
Kuna watu ni wajinga wanaamini kabisa kwamba Kuna mungu utakuta mtu amefanyiwa ubaya na binadamu mwenzie eti namuachia mungu halafu Kwa mujibu wa dini huyo huyo mtu alienda kutubu anasamehewa aisee zinduke I dini na neno mungu limetungwa na matapeli Ili waweze kuitawala dunia ikiwemo kuanzisha dini zao uchwara na kweli wajinga a⁷mbao ni masikini wanaendelea kuteswa Kwa vitisho vya kuchomwz moto ilihali wanaona kabisa wakifa wanazikwa ardhini
Je,we unahitaji kuushuhudia uchawi.Fanya hiyo test hapa sio blah blah
Wewe una kipi ulicho gundua?Mtu mjinga ambaye hajawahi hata kugundua au kutengeneza njiti ya kiberiti lakini amegundua Mungu hayupo mi maajabu haya.
Extrovert Terminator
Mshana Jr
Nani wanaosababisha umasikini Tanzania??Nyie ndo mtasababisha moto uwake na huku tz
Ngoja nikaulze wazee wa balazaNani wanaosababisha umasikini Tanzania??
Nimeshaandika leta hatua inayofuataJe,we unahitaji kuushuhudia uchawi.
Km jibu lako ndio,andika hili neno TIRASITIRAROM kwenye paji la usowako kwa kutumia vumbi la mkaa.
Niishie hapo,naomba jibu kwanza ili nikupe hatua inayofuata!
Mjinga wewe unaeamini Kuna mungu na shetaniMjinga sana huyo jamaa akili ndogo sana very low IQ indeed
Atheist 12:7ZABURI 14:1
Mpumbavu amesema moyoni, Hakuna Mungu; Wameharibu matendo yao na kuyafanya chukizo, Hakuna atendaye mema.
Atheist 24:6MITHALI 27:22
Hata ukimtwanga mpumbavu kwa mchi kinuni pamoja na ngano; Upumbavu wake hautamtoka.
Yaani kweli we kinyago mchawi Gani huyo mpaka atumiwe picha nilitarajia mpaka mda huu uwe umeshanitokea hapa nilipoNataka ufanye wewe utume na picha humu lakini sitaki tujuane baada ya hapo
Kwa kweli inashangaza ila ndio hivyoKuna watu ni wajinga wanaamini kabisa kwamba Kuna mungu utakuta mtu amefanyiwa ubaya na binadamu mwenzie eti namuachia mungu halafu Kwa mujibu wa dini huyo huyo mtu alienda kutubu anasamehewa aisee zinduke I dini na neno mungu limetungwa na matapeli Ili waweze kuitawala dunia ikiwemo kuanzisha dini zao uchwara na kweli wajinga ambao ni masikini wanaendelea kuteswa Kwa vitisho vya kuchomwz moto ilihali wanaona kabisa wakifa wanazikwa ardhini
Acha ujingaMithali 1:22
"Enyi Wajinga, hata lini mtapenda ujinga? Na wenye dharau kupenda dharau yao, Na wapumbavu kuchukia maarifa? "
Hosea 4:6
'Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa; kwa kuwa wewe umeyakataa maarifa, mimi nami nitakukataa wewe, usiwe kuhani kwangu mimi; kwa kuwa umeisahau sheria ya Mungu wako, mimi nami nitawasahau watoto wako."
Zaburi 52: 3 -5
" Umependa mabaya kuliko mema, Na uongo kuliko kusema Kweli. "
"Umependa maneno yote ya kupoteza watu, Ewe ulimi wenye hila. "
" Lakini Mungu atakuharibu hata milele; Atakuondolea mbali; Atakunyakua hemani mwako; Atakung'oa katika nchi ya walio hai "
Acha nipumbazwe,hivi wewe kutoamini uwepo wa mungu kunakusaidiaje,zipi faida wapata!!?,,na mi unadhani hasara gani napata kwa kuamini uwepo wa mungu?Kwa nini unalazimisha awepo aliyeumba viumbe, ardhi na binadamu?
Mbona hujiulizi na huyo aliyeumba ardhi, viumbe na binadamu, Na yeye aliumbwa na nani?
Au unataka kutetea imani zako uchwara ulizo pumbazwa na kuaminishwa?