Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
Pole sana.Kuna watu ni wajinga wanaamini kabisa kwamba Kuna mungu utakuta mtu amefanyiwa ubaya na binadamu mwenzie eti namuachia mungu halafu Kwa mujibu wa dini huyo huyo mtu alienda kutubu anasamehewa aisee zinduke I dini na neno mungu limetungwa na matapeli Ili waweze kuitawala dunia ikiwemo kuanzisha dini zao uchwara na kweli wajinga ambao ni masikini wanaendelea kuteswa Kwa vitisho vya kuchomwz moto ilihali wanaona kabisa wakifa wanazikwa ardhini
Mungu mwenye kujua yote tangu mwanzo na hata milele, Alishindwaje kuumba dunia isiyo na uovu wala mabaya?Mithali 1:22
"Enyi Wajinga, hata lini mtapenda ujinga? Na wenye dharau kupenda dharau yao, Na wapumbavu kuchukia maarifa? "
Hosea 4:6
'Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa; kwa kuwa wewe umeyakataa maarifa, mimi nami nitakukataa wewe, usiwe kuhani kwangu mimi; kwa kuwa umeisahau sheria ya Mungu wako, mimi nami nitawasahau watoto wako."
Zaburi 52: 3 -5
" Umependa mabaya kuliko mema, Na uongo kuliko kusema Kweli. "
"Umependa maneno yote ya kupoteza watu, Ewe ulimi wenye hila. "
" Lakini Mungu atakuharibu hata milele; Atakuondolea mbali; Atakunyakua hemani mwako; Atakung'oa katika nchi ya walio hai "
Uamini Mungu, Usiamini Mungu vyote ni sawa. Hakuna faida wala hasara yeyote inayo patikana. Kwa sababu huyo Mungu hayupo.Acha nipumbazwe,hivi wewe kutoamini uwepo wa mungu kunakusaidiaje,zipi faida wapata!!?,,na mi unadhani hasara gani napata kwa kuamini uwepo wa mungu?
Kuna kinyozi alikuwa akimnyoa mteja akasema Mungu hayupo kama yupo kwa nini watu wanakufa, wanaugua, maskini, n.k yule mteja akawa kimnya tuMungu mwenye kujua yote tangu mwanzo na hata milele, Alishindwaje kuumba dunia isiyo na uovu wala mabaya?
Mungu mwenye kujua yote tangu mwanzo na hata milele, Je HAKUJUA kwamba kuna watu watakuja kutokumwamini Awadhibiti na kuwazuia mapema wasiwepo duniani?
Mungu muweza wa vyote, Alishindwaje kuumba binadamu wema tu watakao mtii na kumwamini siku zote na wakati wote?
Mungu anayedaiwa kwamba ni mkamilifu, Kwa nini aliumba binadamu wasio mwamini na wenye uwezo wa kumkufuru?
Hivi huyo Mungu anajielewa kweli?
Kuna watu ni wajinga wanaamini kabisa kwamba Kuna mungu utakuta mtu amefanyiwa ubaya na binadamu mwenzie eti namuachia mungu halafu Kwa mujibu wa dini huyo huyo mtu alienda kutubu anasamehewa aisee zinduke I dini na neno mungu limetungwa na matapeli Ili waweze kuitawala dunia ikiwemo kuanzisha dini zao uchwara na kweli wajinga ambao ni masikini wanaendelea kuteswa Kwa vitisho vya kuchomwz moto ilihali wanaona kabisa wakifa wanazikwa ardhini
Mpumbavu amesema moyoni mwake, Kuna Mungu."Mpumbavu amesema moyoni mwake hakuna Mungu".
Hata wewe kusema kwamba kuna Mungu ni uhuru wako wa kikatiba kufanya hivyo.Kusema moyoni mwako hakuna gharama yoyote unaweza sema vyovyote unavyosikia ni takwa la kikatiba kabisa.
Kama hakuna kisicho na mmiliki, Mmiliki wa huyo Mungu ni nani?Mtoa mada Jibu hili swali, unaweza kwenda katikati ya mji ukakuta gari lime park ukasema umeliokota?. Unaweza kusema umeokota nyumba?. Ikiwa ni hapana basi hakuna kisicho na mmiliki hata wewe kuna nguvu iliyo na NENO la mwisho kwako ikisema ufe hakuna daktari, pesa, uwezo, elimu ya kidunia inayoweza kupinga na huyo ni Mungu.
Hizi ni stori uchwara zisizo na uthibitisho wowote ule.Kuna kinyozi alikuwa akimnyoa mteja akasema Mungu hayupo kama yupo kwa nini watu wanakufa, wanaugua, maskini, n.k yule mteja akawa kimnya tu
Gafla akatokea kichaa nywele ndefu, chafu, ndevu kama zote, kucha ndio kabisa.
Yule mteja akasema hivi kuna vinyozi kweli?. Hakuna vinyozi hebu angalia Yule kichaa alivyo na minywele yote ile na mindevu kweli hakuna vinyozi. Yule kinyozi akawaka akasema vinyozi tupo si nipo hapa akamuuliza mbona Yule Ana nywele ndefu?. Akasema ni kwa sababu hajaja kwangu aje nitamnyoa.
Yule mtu akasema Mungu yupo kuhusu uweza wake wa kuponya, kutajilisha n. K ni kwa sababu watu hawamuamini ili awaponye na kuwainua. Hivyo asiyeamini Mungu ni kama kichaa Yule aliyepungukiwa akili asiyaamini maji kumsafisha, kinyozi kumnyoa, na wembe kuondoa kucha. Asante
mwili unakufa ila roho yako itakiona cha motoMwisho wa yote ni kifo hamna jipya endelea kuwa zombi la dini ila utakufa tu
Sasa roho bila mwili huo moto unaunguza kitu gani ndugu?mwili unakufa ila roho yako itakiona cha moto
ππΎππΎππΎππΎππΎππΎKuna kinyozi alikuwa akimnyoa mteja akasema Mungu hayupo kama yupo kwa nini watu wanakufa, wanaugua, maskini, n.k yule mteja akawa kimnya tu
Gafla akatokea kichaa nywele ndefu, chafu, ndevu kama zote, kucha ndio kabisa.
Yule mteja akasema hivi kuna vinyozi kweli?. Hakuna vinyozi hebu angalia Yule kichaa alivyo na minywele yote ile na mindevu kweli hakuna vinyozi. Yule kinyozi akawaka akasema vinyozi tupo si nipo hapa akamuuliza mbona Yule Ana nywele ndefu?. Akasema ni kwa sababu hajaja kwangu aje nitamnyoa.
Yule mtu akasema Mungu yupo kuhusu uweza wake wa kuponya, kutajilisha n. K ni kwa sababu watu hawamuamini ili awaponye na kuwainua. Hivyo asiyeamini Mungu ni kama kichaa Yule aliyepungukiwa akili asiyaamini maji kumsafisha, kinyozi kumnyoa, na wembe kuondoa kucha. Asante
Thibitisha roho ipo.mwili unakufa ila roho yako itakiona cha moto
Swali, wewe hutaki kua na afya bora muda wote, kua na amani na utajiri?Kuna kinyozi alikuwa akimnyoa mteja akasema Mungu hayupo kama yupo kwa nini watu wanakufa, wanaugua, maskini, n.k yule mteja akawa kimnya tu
Gafla akatokea kichaa nywele ndefu, chafu, ndevu kama zote, kucha ndio kabisa.
Yule mteja akasema hivi kuna vinyozi kweli?. Hakuna vinyozi hebu angalia Yule kichaa alivyo na minywele yote ile na mindevu kweli hakuna vinyozi. Yule kinyozi akawaka akasema vinyozi tupo si nipo hapa akamuuliza mbona Yule Ana nywele ndefu?. Akasema ni kwa sababu hajaja kwangu aje nitamnyoa.
Yule mtu akasema Mungu yupo kuhusu uweza wake wa kuponya, kutajilisha n. K ni kwa sababu watu hawamuamini ili awaponye na kuwainua. Hivyo asiyeamini Mungu ni kama kichaa Yule aliyepungukiwa akili asiyaamini maji kumsafisha, kinyozi kumnyoa, na wembe kuondoa kucha. Asante
Hizo alinacha zako ndiyo proof yako kuwa huyo Mungu wako exists? So pathetic.NIMEIKUTA HII MAHALA
Ninajua kila mtu anajua kinachoendelea kule Los Angeles ila sijui ni wangapi wanajua chanzo cha ule moto unaouangamiza mji wa uzuri wa Dunia,
Ilikuwa hivi:
Kulikuwa na event ya super starsπ ktk mji wa Los Angeles,
Wakiwa katikati ya sherehe wakaanzisha mchezo wa kupiga kura kwa watu wenye thamani ktk jamii yao,
Majina yaliyoorodheshwa ni 1.Cast&Crew(wacheza filamu wa Hollywood na washiriki)
2.thamani ya mama ,
3.Lopez
4.MUNGU.
Ktk matokeo ya uchaguzi wao matokeo yalikuwa hivi:
Cast&Crew= kura 11
Thamani ya mama=Kura 3
Lopez =Kura 1
MUNGU=walimpa kura 0,
Msimamizi wa uchaguzi akasema matokeo hayo hayashangazi kwani mji wao ni Godless town,
Walipotoka nje wakatengeneza bango kubwa lenye maandishi "God get out in this city"
kesho yake ndo mji ukaanza kulipuka,
Ukumbuke msitu wa Amazon ulioko Brazil ambao ndio msitu mkubwa zaidi duniani ulipoungua miaka 4 iliyopita ni Marekani ndiyo iliyosaidia kuuzima lkn huu wa kwao umewashinda, Marekani ndiye baba wa technology ulimwenguni,ukizungumza Helocopter,ndege,kemikali na kila sayansi unaizungumzia Marekani,
Sasa hivi wanafyeka mahecta ya misitu kwa kuyang'oa na kuchimba kimo kirefu kwenda chini ili moto ukifika usivuke mbele lkn kinachotokea ni kwamba kila wakichimba moto ukifika kwenye mtaro waliouwekea mpaka inatokea cheche moja inapaa angani inavuka mpaka inashukia ghorofa linaambukiza miti na ghorofa nyingine mji unaangamia,
mamia ya ndege na helcopter za zimamoto ziko angani Calfornia zikimwaga kemikali za kuzima moto lkn moto umegoma kuzimika, hakuna matumaini, majumba ya wasanii mabilionea wa Holly Wood yanaangamia,
Holly Wood ndiko kuna makazi ya thamani kuliko miji yote ulimwenguni, kidunia Hollywood inatambuliwa kama makao makuu ya uzur wa dunia lkn saa hii panaelekea kuwa jangwa gumu, wafuatiliaji wa sinema za Hollywood mlioko humu jiji lenu/mazingira yenu pendwa ya Hollywood linaangamia,
Ule moto hautozimwa na technology,
Utazimwa na Toba ya makuhani,
Nimeyasema haya ili kutoa tahadhari tujiweke mbali na vikundi vyenye mizaha juu ya MUNGU MKUU, ukiona kiashiria chochote cha mzaha kwa BWANA kemea kwa nguvu, wasipokuelewa kata connection na hicho kikundi hata kama kina maslahi makubwa kiasi gani,
BWANA MUNGU hadhihakiwi!
Tofautisha dini na kuamini Mungu, Kuamini uwepo wa Mungu ni imani inayokaa ndani ya mtu kwa asili. Sio lazima uwe na dini maalum ili uamini uwepo wa Mungu.Atheist 12:7
Mpumbavu amesema moyoni, Kuna Mungu; Maana anaamini vitu vya kusadikika na kufikirika bila uthibitisho wowote ule, Amepumbazwa hakuna akiwazacho kwa kufikiri kwa kina.
Atheist 24:6
Hata ukimwelewesha mfia dini kwa facts, evidences, logic na reasoning hawezi kukuelewa maana amepumbazwa kuamini jambo bila kuhoji kwa kina.
I could feel that mkuu π .
Ulichosema ni sahihi, Atheism inahitaji knowledge na sio kuendeshwa na mihemko.