Rasmi nimeligundua hili, Mungu na Shetani hawapo: Dini ni utapeli

Rasmi nimeligundua hili, Mungu na Shetani hawapo: Dini ni utapeli

Hekaya za Abunuwasi, Esopo, kalume kenge na Alfu lela ulela.
Kutokufika Marekani haifuti ukweli ya kuwa kuna watu wanaoishi Marekani. Vasco Da Gamma alipokuwa katika kusafiri walipotea kwa siku nyingi Baharini gafla bin vu wakaona nchi akapiga kelele kuwa amevumbua nchi pia asijue ilikuwepo Ila upeo mdogo ndio ilikuwa shida.

Tunamuamini Mungu kwa imani. Hakuna aliyeiona kesho Ila kwa imani tunaipangia mipango tukiwa na tumaini. Hata aliyekosa kuiona siku ya Leo alikuwa na mpango nayo kwa imani na tumaini hivyo maisha ni imani na Mungu tunamuona kwa imani akitenda makuu siku kwa siku. Karibu kwa Yesu yu hai.
 
Aje ajitetee kwa kapuku
Kwa hiyo huyo Mungu ni wa matajiri tu?

Kama huyo Mungu hawezi kujitetea kwa "kapuku" Basi ni Mungu mwenye upendeleo na mbaguzi sana.

Mungu huyo hafai kabisa anastahili kufurushwa huko alipo.

Racist God.
 
Kwa hiyo huyo Mungu ni wa matajiri tu?

Kama huyo Mungu hawezi kujitetea kwa "kapuku" Basi ni Mungu mwenye upendeleo na mbaguzi sana.

Mungu huyo hafai kabisa anastahili kufurushwa huko alipo.

Racist God.
Ndio Ni Mungu wa upendeleo ndivyo biblia inavyosema.

Atheists mnashida Sana. Hahaha siku moja humu nimemwita mmoja shetani wewe! Duh! Jamaa akamaindi kweli yaani unanitukana Mimi shetani hahahahaha!

Kimoyomoyo nikasema Sasa anamaindi Nini wakati haamini Kama Mungu yupo?

Namsihi Mungu akuguse.
 
Ndio Ni Mungu wa upendeleo ndivyo biblia inavyosema.
Basi huyo Mungu ni Racist sana.

Hafai kuwa Mungu maana anaendeshwa na tabia za kibinadamu za kuwa na wivu na upendeleo.

Mungu huyo hana haki.

Mungu huyo hafai kabisa anastahili kufurushwa huko alipo.
Atheists mnashida Sana. Hahaha siku moja humu nimemwita mmoja shetani wewe! Duh! Jamaa akamaindi kweli yaani unanitukana Mimi shetani hahahahaha!
Shetani hayupo.
Kimoyomoyo nikasema Sasa anamaindi Nini wakati haamini Kama Mungu yupo?

Namsihi Mungu akuguse.
Mungu Hayupo.
 
Basi huyo Mungu ni Racist sana.

Hafai kuwa Mungu maana anaendeshwa na tabia za kibinadamu za kuwa na wivu na upendeleo.

Mungu huyo hana haki.

Mungu huyo hafai kabisa anastahili kufurushwa huko alipo.

Shetani hayupo.

Mungu Hayupo.
Huna jipya, yaani Kati ya atheists wote wewe pekee ndiye ambaye una uelewa finyu kabisa.
Mara Mungu anaendeshwa na tabia za binadamu kisa kusikia anaupendeleo, haya tabia ambazo Ni za kimungu za kutoonekana bado unadai aonekane. Huna maalumu.

Sasa naona wewe utachosha akili yangu nafunga mjadala na wewe. Jana nilikufananisha na mwanamke ambaye hajui anachotaka.
 
Huna jipya, yaani Kati ya atheists wote wewe pekee ndiye ambaye una uelewa finyu kabisa.
Mara Mungu anaendeshwa na tabia za binadamu kisa kusikia anaupendeleo, haya tabia ambazo Ni za kimungu za kutoonekana bado unadai aonekane. Huna maalumu.

Sasa naona wewe utachosha akili yangu nafunga mjadala na wewe. Jana nilikufananisha na mwanamke ambaye hajui anachotaka.
This kind of fallacy is called ad hominem attack.

Umeshindwa kujibu hoja unaleta Viroja.

You are a gullible indoctrinated person.

Find someone of your league to parallel your mediocrity.
 
Kuna watu ni wajinga wanaamini kabisa kwamba Kuna mungu utakuta mtu amefanyiwa ubaya na binadamu mwenzie eti namuachia mungu halafu Kwa mujibu wa dini huyo huyo mtu alienda kutubu anasamehewa aisee zindukeni dini na neno mungu limetungwa na matapeli Ili waweze kuitawala dunia ikiwemo kuanzisha dini zao uchwara na kweli wajinga ambao ni masikini wanaendelea kuteswa Kwa vitisho vya kuchomwz moto ilihali wanaona kabisa wakifa wanazikwa ardhini.
Kuna watu wajinga hawaamini kuwa Mungu yupo na ndiye anashikilia uhai wa mtu na ndiye mtu mwenyewe.

Mtu anapofanyiwa ubaya na kumwachia Mungu, hii inategemea na tafsiri yako. Kwani wewe ukifanyiwa jambo ukaichia mahakama iamue unakuwa mjinga? Ukiiachia mahakama, je hautaipa ushirikiano wa kutoa ushahidi? Tatizo haumjui Mungu unadhani kanisa na msikiti ndio Mungu au ndio makazi ya Mungu. Ukitumia akili yako japo kwa 1% utajua Mungu yupo, na yupo ndani ya Moyo wako. Kwenye dini ni Mungu na Shetani, kwenye jamii ni Mema na Mabaya, kwenye sayansi ni Chanya na Hasi. Ni elimu ndefu inahitajika kuvunja ngome ya mawazo uliyo nayo umeijenga miaka nenda rudi.

Uelewa wako ni mdogo sana kukuhusu wewe, Mungu na shetani, dini na wafu. Kinachozikwa ni mwili wako lakini sio wewe unaeishi katika mwili. Vile mmeaminishwa ujinga mnaamini mtu ni mwili unaokufa na kuzikwa. Hapo kukutoa ni sawa na kuyaambia maji yapande mlima kwa mkondo wa kawaida. Zinduka, kuna sayansi na historia uchwara iliyoletwa kushikilia mateka mawazo yenu, sawa na dini tu uhalisia hauhubiriwi.

Mwanadamu kushindwa kuutambua ukweli haimanishi kuwa Mungu na shetani hawapo. Mungu yupo, na shetani hana hadhi ya ulinganifu na Mungu bali ni kiumbe aliyeasi na kusambaza uongo wa uasi kwa wanadamu kama wewe ili wasimwamini Mungu kwa kutumia elimu uchwara inayojaribu kumchunguza Mungu aliye asili ya kila kitu. Yaani mawazo ya kiumbe yaanze kuchunguza akili ya Muumbaji. Sub set ianze kuichunguza set wakati imebebwa (hosted) na set. Huu utakuwa wendawazimu
 
Kuna watu wajinga hawaamini kuwa Mungu yupo na ndiye anshikilia uhai wa mtu na ndiye mtu mwenyewe.

Mtu anapofanyiwa ubaya na kumwachia Mungu onategemea na tafsiri yako. Kwani wewe ukifanyiwa jambo ukaichia mahakama iamue unakuwa mjinga? Ukiiachia mahakama, je hautaipa ushirikiano wa kutoa ushahidi? Tatizo haumjui Mungu unadhani kanisa na msikiti ndio Mungu au ndio makazi ya Mungu. Punguza ujinga, ukitumia akili yako japo kwa 1% utajua Mungu yupo, na yupo ndani ya Moyo wako. Keenye dini ni Mungu na Shetani, kwenye jamii ni Mema na Mabaya, kwenye sayansi ni Chanya na Hasi. Ni elimu ndevu inahitajika kuvunja ngome ya mawazo uliyo nayo umeijenga miaka nenda rudi.

Uelewa wako ni mdogo sana kukuhusu wewe na Mungu na shetani, dini na wafu. Kinachozikwa ni mwili wako lakini sio wewe unaeishi katika mwili. Vile mmeaminishwa ujinga mnaamini mtu ni mwili unaokufa na kuzikwa. Zinduka, kuna sayansi na historia uchwara iliyoletwa kushikilia mateka mawazo yenu, sawa na dini tu uhalisia hauhubiriwi.

Mwanadamu kushindwa kuutambua ukweli haimannishi kuwa Mungu na shetani hawapo. Mungu yupo, na shetani hana hadhi ya ulinganifu na Mingu bali ni kiumbe aliyeasi na kusambaza uongo wa uasi wa wanadamu kama wewe. Ili wasimwamini Mungu kwa elimu uchwara inayojaribu kumchunguza Mungu aliye asili ya kila kitu. Yaani mawazo ya kiumbe yaanze kuchunguza akili ya Muumbaji. Sub set ianze kuichunguza set wakati imebebwa (hosted) na set. Huu utakuwa wendawazimu
We mjinga unaandika gazeti lefu halafu hamna kitu
 
Mwisho wa yote ni kifo hamna jipya endelea kuwa zombi la dini ila utakufa tu
Kwa ujinga ulionao unadhani Mungu ni dini. Haujui kuna dini za kuabudu pia wanadamu.

Ujinga ni janga. Siku ukikutoka utaelewa
 
Kuna watu ni wajinga wanaamini kabisa kwamba Kuna mungu utakuta mtu amefanyiwa ubaya na binadamu mwenzie eti namuachia mungu halafu Kwa mujibu wa dini huyo huyo mtu alienda kutubu anasamehewa aisee zindukeni dini na neno mungu limetungwa na matapeli Ili waweze kuitawala dunia ikiwemo kuanzisha dini zao uchwara na kweli wajinga ambao ni masikini wanaendelea kuteswa Kwa vitisho vya kuchomwz moto ilihali wanaona kabisa wakifa wanazikwa ardhini.
Umegunduaje tusaidie na sisi
 
Back
Top Bottom