Hata ungekuwa huko unakosema Mtani si ajabu mngetaka tuutowe pia. Teh.Huo mwiko huko nyuma ndio shida ilipo mtani kwani mngeuweka mbele kuna tatizo gani
Sent from my M2101K7AG using JamiiForums mobile app
Wanazingatia Geographical nearness kwenye preliminary roundsSio kweli. Mbabane swallows ( swaziland) , ud songo (msumbiji) ,Zesco (zambia), nkana(zambia), Township rollers (botswana) , platinum (zimbabwe) n.k zimekuja hapa nchini miaka ya karibuni kwa hatua za awali au kuelekea group stage.Pia timu za Djibout , Shelisheli, Comoro zimekuja sana hapa nchini. Sasa wewe unataka upangwe na nani? Jengeni timu acheni visingizio.
Wacheni mchecheto nyie wacheza kareti,si mliifunga Simba sasa mayowe ya nini?Caf sijui ktk awamu hii hutumia vigezo gani.
Sidhani kama kuna droo Maalum kwny kuandaa hizi early fixtures....
Mtani vya bure vitawatoa marinda waarabu siyo watu wazuri [emoji2][emoji2][emoji2]Haya ni ya kwenu 5imba sisi wenyewe tumetulia tunaisubiri tarehe tuanze mtifuano.
Msiogopeshwe na hiyo green & white Mtani.
Mtani huo mwiko mliuweka lini huko nyuma ?Hata ungekuwa huko unakosema Mtani si ajabu mngetaka tuutowe pia. Teh.
Hata sijakuelewa Mtani? 🤔Mtani vya bure vitawatoa marinda waarabu siyo watu wazuri
Jamaa kaweka picha ya billionaire mjanja mjanjaMatch hata hazijaanza mikia mmeanza kuumia..
Hasa hilo tahira lililoweka Avatar ya mwamedi..
Tuwaulize nyie ambao kutwa kucha mnataka utolewe.Mtani huo mwiko mliuweka lini huko nyuma ?
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Tuwaulize nyie ambao kutwa kucha mnataka utolewe.
Mwarabu tayari kashawalipia lodge huko Morroco nendeni anasubiriHata sijakuelewa Mtani? [emoji848]
Aah!! Ujue bana Mtani tukiwasikiliza nyie hamna kitu tunaeza fanya.Mwarabu tayari kashawalipia lodge huko Morroco nendeni anasubiri
Hakuna tulichowazidi ? Hebu kuweni na adabu.Aah!! Ujue bana Mtani tukiwasikiliza nyie hamna kitu tunaeza fanya.
Na hii yote ni vile tunaenda nchi moja na hamna mlichotuzidi hivyo mnabakia kujipoza machungu na kauli kama hizi.
Hahahaaaa. Lol. 🚶🏾♀️Hakuna tulichowazidi ? Hebu kuweni na adabu.
Bwana wenu kashalipa lodge Morroco nendeni basi
Na mnavyokuwaga na gundu huwa tukishiriki pamoja basi si ajabu hapo mtakapoanzia mkaishia hapo hapo. TehHaya sasa ngoja tuone..
Ndio dua zenu hizi utopolo!Na mnavyokuwaga na gundu huwa tukishiriki pamoja basi si ajabu hapo mtakapoanzia mkaishia hapo hapo. Teh
Hahahaaa. Nimecheka kwa nguvu lol.Ndio dua zenu hizi utopolo!
Dada nagawa jezi ya Rivers hapa bure kabisa, pamoja na free deliveryNimecheka sana comments za watu humu. Lol.
Mbona utopolo mnapenda sana miserereko, Simba yupo tayari hata kupangwa na na BarcelonaCaf sijui ktk awamu hii hutumia vigezo gani.
Sidhani kama kuna droo Maalum kwny kuandaa hizi early fixtures...