Ratiba inaendelea: Waraka wa TEC unasomwa leo kwa mara ya tatu

Wiki 6 tu!
Someni huo waraka mpk atakapostaafu Samia, toeni nakala kwa watu wenu wote, bandikeni kwenye kuta za makanisa yenu yote
Hatupangiwi tunapanga
Hatuelekezwi tunaelekeza
 
Majaliwa leo atasomewa akiwa Kanisa Katoliki Tanga akihudhuria afla ya kusimikwa Askofu wa Kanisa Katoliki Tanga.
Yaani Mama Abdul kashikwa pabaya,anatamani ata angekuwa na mamlaka ya kuwavua Uaskofu Wajumbe wa TEC lakini mamlaka yake yanaishia kwenye katiba chakavu tu ya 1977!
 
Ahaa, kumbe bado unahangaika na majibu yako.
Wenzio wanasomeana waraka huko makanisani kwenu halafu wewe unaleta maswali yako huku, wapoteza nguvu bure
 
We
Serikali haitambi mitandaoni inatamba katika utendaji wa vitendo.
Wewe ni Serikali?

Ule waraka umeleta shida huko vijijini!!

Mwanakijiji anapoaminishwa na kiongozi wake wa Dini kuwa mna Nia Ovu na bandari zetu huamini direct.

KAZI IPO!!
 
Niko live Tumaini TV. Namwona waziri Ummy Mwalimu na RC wa Tanga wamenuna kabla hata waraka wenyewe haujasomwa.
 
TEC Wana makusudi mabaya kweliπŸ˜‚πŸ˜‚ hawaoni kama jamaa amekalia kuti kavuπŸƒπŸƒπŸƒ
 
We
Wewe ni Serikali?

Ule waraka umeleta shida huko vijijini!!

Mwanakijiji anapoaminishwa na kiongozi wake wa Dini kuwa mna Nia Ovu na bandari zetu huamini direct.

KAZI IPO!!
Wataelimishwa kwa vitendo, zikishaanza kuondoka foleni pale TPA wataanza kufikiwa mapema na hizo bidhaa walizoagiza.

Kuna kundi kubwa la watu wanakwenda kuaibika baada ya DP World kuanza kazi pale TPA mwezi ujao mwishoni.
 
Wataelimishwa kwa vitendo, zikishaanza kuondoka foleni pale TPA wataanza kufikiwa mapema na hizo bidhaa walizoagiza.

Kuna kundi kubwa la watu wanakwenda kuaibika baada ya DP World kuanza kazi pale TPA mwezi ujao mwishoni.
DP World ndo imeisha hvyoo!!

Hakuna kitu kitaendelea pale.
 
Jamaa hawajapeleka polisi!?
 
Mkuu kweli hilo ni tusi au ni sehemu ya ibaada yetu, angalia hiyo picha af unijibu.View attachment 2737368
Mkuu yaan ndo unazidi kuharibu .kaka ikiwa sio Iman yako iache .tec wameongelea mkataba sio namna ya Imani yao au ya wengine .ni kama nakuelimisha ili umuheshimu kaka yako acha kumfatilia mke wake ww unaenda kutafuta chati za bodaboda na mke wake .ujumbe ni achana nayo .ukiwa na swali juu ya ukatoliki ni dini isiyo ya siri baada ya Misa kazi ya mapadre waliojaa hadi vijijini wenye .ningekuona muungwana sana kama ungejikita kujibu kisheria na kiuchumi hoja 7 za kupinga ujio wa dpw
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…