Ndugu wa jf,sio siri nchi yetu inaudhi,ukipita mitaani utakutana na rundo la vijana wakisinzia kwa sababu ya madawa ya kulevya,awa awana ndugu,awana kipato,wala awana elimu yoyote,no body cares,jana kwenye taarifa ya habari nilimuona mh, kikwete akifanya promosheni ya wema wake kwa kumtibia rayc,Rayc huyu si maskin,nimsomi anandugu wa kumjali lakin mh,aliona inafaa kuwaacha majority walioko mitaa na kukimbilia kumtibu mtu aliye zuzuka kwa amaarufu wake,Nlitegemea kama kweli janga ili limemgusa mh,basi angetafuta namna ya kupunguza upatkanaji wa hawa madawa nchni kwake, si aibu aloifanya ya kumtibia mtu mmoja na kuwaacha wengne tena walio wengi!kama mh,angekua na wema wakutosha angeanza na wanawe,mwanae miraji yuko addicted na pombe kwakua anajua kwa hlo awezi pata sifa kachuna,hvo hvo kwa ridhiwani,nifisadi kuliko kijana yoyote yule hapa tanzania nae pia kamchunia,mwanae wa kike mwnaasha kapiga div 4ya mwshomwsho pia kachuna(a good family makes a better nation),hi yote inaonesha mh,alivo na malezi ya ovyo kabisa asi fake kwa wema asokua nao, namshauri kikwete janga la madawa ya kulevya aliangalia kwa mapana na sio kututania kwa kutafuta sifa za mda mfupi.sifa za muda mfupi ni sifa za kijinga.