Ray C amtembelea Rais Kikwete Ikulu jijini Dar, amshukuru kwa msaada wa matibabu!

Ray C amtembelea Rais Kikwete Ikulu jijini Dar, amshukuru kwa msaada wa matibabu!



SWALI:
1.Rais Kikwete ametambua sasa madhara ya madawa ya kulevya, Je, atawachukulia hatua sasa wote wanauzia madawa ya kulevya maana kuna tetesi kuwa anayo majina ya DRUG DEALERS?
2. Je, ni Ray C tu mwenye aliyekumbwa na tatizo la kuwa TEJA? Watanzania wengine tena nguvu kazi kubwa ambayo imeshadhirika na madawa ya kulevya ana mpango upi wa kuwasaidia? Ama wao hawastahili msaada?


Huyu mzee, si wanasema naye ni mfanyabiashara mkubwa wa hii kitu hiii yenye rangi ya mashati ya shule?
 
Awasaidie wakati mwanae ridhiwani ndo muuza unga? Watapata wapi pesa?
 
Hizi siyo Breaking news. Kina MBUZI MZEE toka jana usiku wameposti hii topic na watu wengi walishaichangia.
 
Nilivyo ona heading nikapanga nikushambulie kumbe dah nilipo soma nimeona kuna hoja hapa ngoja tumsubir nepi aje aseme lolote kwa maana single yake ya kadi ya ccm imechuja na salva nina kitambo simsikii
 
Jamani jamaa kamsaidia msanii mwenzie halafu kuna kitu inaitwa sijui ni payback yaani baada ya kufanya biashara unarejesha kiasi fulani kwa customers wako kama kifuta jasho
Tanzania zaidi uijuavyo.........?????!!!!!!

nimekusoma ile mbaya!
ahsante sana!
 
Sijui kama kuna umuhimu wa publicity hata kama aliona ni muhimu kumsaidia anyway...
 
Wakuu huu ni mtazamo wangu tu
Kitendo kilichoonyeshwa na mkuu wetu wa nchi cha kujitokeza hazarani na kukiri kumsaidia matibabu dada yetu Ray C wengi tumekipongeza na kumshukuru kwa kuokoa maisha ya kijana mwenzetu.
Lakini kimtazamo tu Je hii inaleta picha kuwa mkuu wetu naye ni mfadhili wa wauza unga!kwa nini asiwatafute waasisi wa unga na kutokomeza madhara ya aina hii.
Je Tz ni Ray C tu aliyeathirika na madawa haya au kwa kuwa ni star au maarufu au kwa kuwa amwathirika akiwa nchini Kenya?
Kwa nini asianzeshi kampeni ya kuwatafita mateja wote na kuwapa matibabu ya aina hiyohiyo kama alivyofanya kwa Ray C.
Sawa anapashwa kushukuriwa lakini si kwa kiwango hicho kwa kuwa walioathiriwa ni wengi na kutoa tiba si suluhisho.
 
Ndugu wa jf,sio siri nchi yetu inaudhi,ukipita mitaani utakutana na rundo la vijana wakisinzia kwa sababu ya madawa ya kulevya,awa awana ndugu,awana kipato,wala awana elimu yoyote,no body cares,jana kwenye taarifa ya habari nilimuona mh, kikwete akifanya promosheni ya wema wake kwa kumtibia rayc,Rayc huyu si maskin,nimsomi anandugu wa kumjali lakin mh,aliona inafaa kuwaacha majority walioko mitaa na kukimbilia kumtibu mtu aliye zuzuka kwa amaarufu wake,Nlitegemea kama kweli janga ili limemgusa mh,basi angetafuta namna ya kupunguza upatkanaji wa hawa madawa nchni kwake, si aibu aloifanya ya kumtibia mtu mmoja na kuwaacha wengne tena walio wengi!kama mh,angekua na wema wakutosha angeanza na wanawe,mwanae miraji yuko addicted na pombe kwakua anajua kwa hlo awezi pata sifa kachuna,hvo hvo kwa ridhiwani,nifisadi kuliko kijana yoyote yule hapa tanzania nae pia kamchunia,mwanae wa kike mwnaasha kapiga div 4ya mwshomwsho pia kachuna(a good family makes a better nation),hi yote inaonesha mh,alivo na malezi ya ovyo kabisa asi fake kwa wema asokua nao, namshauri kikwete janga la madawa ya kulevya aliangalia kwa mapana na sio kututania kwa kutafuta sifa za mda mfupi.sifa za muda mfupi ni sifa za kijinga.

Kwa kumbukumbu yangu mbovu huyu Mh JK alipewa LIST ya wafanya biashara wakubwa wa madawa ya kulevya!!! Nadhani kama alipewa itakuwa ameIMISPLESI......Hivyo usishangae kufanya kwake self-promo na Terja toka katika kundi la MASTAA WETU.....

CHEAP POPULARITY....
 
MWACHE AMTIBIE KWANI WEWE UNATAKIA NINI??NYIE MUMEMUONA HAFAI MWENZENU KAONA KAMA KAOKOTA DODO CHINI YA MKOROSHO,TOTO RAY C LINATIBIWA FRESH,NA LITAPIGWA SOAP SOAP LIKINAWIRI TUH KAZI ANAYO,,

ATAPEWE DUSHELELE HADI AKOME ZAKE,,KWANI JEIKEI UJINGA YE ANATAKA??

SI MLISHAMSIKIA AKISEMA YA KWAMBA UKITAKA KULA SHARTI NAWEWE ULIWE??

HAYA SASA AJIANDE KABISA KUTOA SODA YA KOPO..

:madgrin: :madgrin:
 
Mr. President ametisha kwa kweli. Now ili kuepusha mtu mmoja mmoja kutaka kusaidiwa na rais kama hivi, serikali iwe na rehabilitation centre kubwa ili wenye matatizo watibiwe atleast kwa gharama nafuu. Pole na hongera kwa Ray C..
 
MWACHE AMTIBIE KWANI WEWE UNATAKIA NINI??NYIE MUMEMUONA HAFAI MWENZENU KAONA KAMA KAOKOTA DODO CHINI YA MKOROSHO,TOTO RAY C LINATIBIWA FRESH,NA LITAPIGWA SOAP SOAP LIKINAWIRI TUH KAZI ANAYO,,

ATAPEWE DUSHELELE HADI AKOME ZAKE,,KWANI JEIKEI UJINGA YE ANATAKA??

SI MLISHAMSIKIA AKISEMA YA KWAMBA UKITAKA KULA SHARTI NAWEWE ULIWE??

HAYA SASA AJIANDE KABISA KUTOA SODA YA KOPO..

:madgrin: :madgrin:

Hahahaha
 
Ndugu wa jf,sio siri nchi yetu inaudhi,ukipita mitaani utakutana na rundo la vijana wakisinzia kwa sababu ya madawa ya kulevya,awa awana ndugu,awana kipato,wala awana elimu yoyote,no body cares,jana kwenye taarifa ya habari nilimuona mh, kikwete akifanya promosheni ya wema wake kwa kumtibia rayc,Rayc huyu si maskin,nimsomi anandugu wa kumjali lakin mh,aliona inafaa kuwaacha majority walioko mitaa na kukimbilia kumtibu mtu aliye zuzuka kwa amaarufu wake,Nlitegemea kama kweli janga ili limemgusa mh,basi angetafuta namna ya kupunguza upatkanaji wa hawa madawa nchni kwake, si aibu aloifanya ya kumtibia mtu mmoja na kuwaacha wengne tena walio wengi!kama mh,angekua na wema wakutosha angeanza na wanawe,mwanae miraji yuko addicted na pombe kwakua anajua kwa hlo awezi pata sifa kachuna,hvo hvo kwa ridhiwani,nifisadi kuliko kijana yoyote yule hapa tanzania nae pia kamchunia,mwanae wa kike mwnaasha kapiga div 4ya mwshomwsho pia kachuna(a good family makes a better nation),hi yote inaonesha mh,alivo na malezi ya ovyo kabisa asi fake kwa wema asokua nao, namshauri kikwete janga la madawa ya kulevya aliangalia kwa mapana na sio kututania kwa kutafuta sifa za mda mfupi.sifa za muda mfupi ni sifa za kijinga.

Maandiko matakatifu yanasema' asiye mshukuru binadamu mwenzake , hata Mungu hawezi kumshukuru'. Alicho fanya Ray C ni kutekeleza haya maandiko matakatifu. Wewe acha kupotosha watu kwa thread yako hii isiyo na macho wala miguu. Kuna ubaya upi wakufanya Publicity ? acheni wivu wa kike vijana mjini hapa mkiwa na wivu wa aina hiyo mtafanywa vibaya , nakupa ushauri wa bure. Rais Dkt JK ni muungwana sana na anawapenda watu wake, na ww nenda kamchukue mmoja wa waathirika wa madawa umtibie, kuna ubaya gani ?
 
uko wapi Banza? au tayar ushapona? nawe Q Chilla, mbona mnajiweka nyumanyuma nyie eenh!!!
 
asigwa NO!
WASIO NA MAMA WADOGO WAKUU WA WILAYA WANATIBIWA NA NANI?
wasio na majina hapa wanatibiwa wapi
hiki kizazi kinachoangamia kila siku kwa ajili ya madawa ya kulevya kinatetewa na nani?

Na wao wawe na KIUNO BILA MFUPA watasaidiwa tu na kutanga9a kwenye kioo
 
Last edited by a moderator:
Vipi kuhusu hao mateja wengine walioko mtaa?? Mfano pale Manyanya wamejazana na serikali inajua.. Na polisi ndio wamefanya kama mradi wao wa kukusanya mapato.! Kweli Tanzania ni zaidi ya ujuavyo.

kila nikimfikiria kikwete huyu huyu ambaye amekalia majina ya wauza unga ofisini kwake kwa miaka yote pasipo kuyafanyia kazi,hivi ray c alihitaji million miangapi ili apone,kwanini rais kama anajua tatizo hili asianzishe rehab centre itakayookoa maisha ya watu wengi ata ambao siyo celebrities au ili mtu usaidiwe na ikulu lazma uwe celebrity/maarufu,wenye matatizo ni wengi kusaidia mmoja mmoja kwa mkulu ni kitu tunachoweza kukiona roho nzuri ambayo haina maana kwa kuokoa mmoja kwa hela za umma wakati miatano wanaangamia!
 
Back
Top Bottom