Ray C amtembelea Rais Kikwete Ikulu jijini Dar, amshukuru kwa msaada wa matibabu!

Ray C amtembelea Rais Kikwete Ikulu jijini Dar, amshukuru kwa msaada wa matibabu!

watz huwa nawaambia hatuna raisi bli tuna afisa utamaduni kata ya Gamboshi wilaya ya Bariadi..yaani yeye kupiga picha na vimwana na mastaa ndiyo kazi kubwa anayoiweza na nyingine ni ushirikina..
 
You are the one who is breaking not the news!
 
Maandiko matakatifu yanasema' asiye mshukuru binadamu mwenzake , hata Mungu hawezi kumshukuru'. Alicho fanya Ray C ni kutekeleza haya maandiko matakatifu. Wewe acha kupotosha watu kwa thread yako hii isiyo na macho wala miguu. Kuna ubaya upi wakufanya Publicity ? acheni wivu wa kike vijana mjini hapa mkiwa na wivu wa aina hiyo mtafanywa vibaya , nakupa ushauri wa bure. Rais Dkt JK ni muungwana sana na anawapenda watu wake, na ww nenda kamchukue mmoja wa waathirika wa madawa umtibie, kuna ubaya gani ?
na wewe unajiita genius brain?ila wala sishangai ahahhahahahah eti genuius brain sijui kuna genius mguu!ah!
hili ni kubwa sana kwako buddy!
 
Kweli Watz hata uwasaidie nini bado watalalamika tu. Big up President maana matajiri ni wengi hawatendi. Umeokoa maisha ya Mtz mwenzetu. Wanalalamika ni kawaida yao maana wamekariri kuwa kila ukitenda jambo kwao baya.
 
AU ANAMWANDAA ILI RIZ1 ACHUKUE ZIGO NINI??

KIUNO BILA MFUPA KINA TAMU YAKE ATII..!!

KWANI NANI HATAKI MWANAWE ALE VITU VITAM VITAM VYENYE UMATE UMATE??

JEIKEI NOMA SANA MSHKAJ WANGU..

:madgrin: :madgrin:
 
Madawa wabwie kwa hiari yao hafu watusumbue na michango, hii ndo uiite breaking news?
 
Anakwambia anawafaham kwa majina wanao shughulika na madawa ya kulevya,mbona hawataji?membe nawafaham walio weka pesa hara nje mbona hawataji?sita dowans ni genge la watu wa3 wanao taka kuzitumia pesa chafu kuiteka ikulu 2015,zito haon umuhimu wa kuwataja waweka pesa nje sababu mawaziri walio ingia kashifa na tanesco wanapeta tu na magari yalio na mfumo wa gia mbili manyu na automatik,kunatetes kua mtoto wa vasco ana bwia nahis nikweli.me mwenyewe na miaka 28 tukipanga nae mkono namtoa fasta japo kana mali nying hakana tena nguvu yaani hua kanapepesuka tz bila madawaaaa.
 
kikwte na list ya wauza madawa wote nchini lakini kwa kuwa ni raisi lege lege hana ubavu wa kuwafanya chochote.. anachokiweza ni kupiga picha na mastaa.
 
Wana haki ya kushukuru,Ray C kuacha kutumia madawa ya kulevya ni raisi lakini pia ikumbukwe kurudia kutumia madawa ya kulevya ni raisi !kuwa makini!

Mkuu madawa haya ni hatari sana inahitaji moyo victim kuachana nayo, kumbuka muimbaji Whitney Houston alivyo jitahidi kuachana nayo lakini ilishindikana.
 
Kuna habari humu kwamba Rais Jakaya Kikwete Kamsaidia RAY C kupata tiba baada ya kuathiriwa na utumiaji wa madawa ya kulevya, nimeshindwa kuzifuatilia taarifa hizi kwa usahihi na undani hasa baada ya kugundua watu wengi wanachukulia kitendo hiki kama cha kiungwana.

Naomba kukumbusha kwamba, wakati Rais Jakaya kikwete anaingia madarakani mwaka 2005 dada huyu hakuwa mtumiaji wa dawa za kulevya (niko tayari kusahihishwa katika hili) na ni mtu huyu huyu aliyesimama ndani ya bunge letu na kudai ana majina ya wauzaji wa dawa za kulevya na akawapa muda waache kujihusisha na biashara hizo, toka hapo mtu huyu hakurudi kutueleza ombi lake limefanyiwa kazi kwa kiwango gani japo huku uraiani toka kipindi hicho utumiaji wa dawa za kulevya umeongezeka mara dufu, vijana wengi sana wakike na kiume wanaathirika vibaya sana na utumiaji wa dawa hizi, wafanyabiashara wa madawa haya sasa wanafanya biashara hiyo bila woga wala kificho, athari ni kubwa katika kila familia nchi nzima, mpaka vijijini watu wanatumia dawa za kulevya, sio bangi tu, mpaka cocaine.

Mara ya mwisho kumsikia akizungumzia tatizo hilo, ni pale alipodai kwamba mpaka viongozi wa dini wanahusika na usambazaji wa dawa za kulevya, kisha akapotea.


Leo, kama ni kweli, zinaibuka taarifa kwamba kamsaidia msanii wa muziki kujitibia maradhi yanayotokana na athari za madawa ya kulevya, inaonekana haelewi namna ya kutekeleza majukumu yake ya Urais au hayaelewi kabisa, au anafaidika na biashara hii, kama sio yeye binafsi basi wanafamilia yake, au chama chake, au maswahiba wake, sina namna ingine ya kutafsiri uzaifu huu.

Naomba kuwasilisha ombi kwa Rais na Chama Chake cha CCM kuacha usanii, washughulikie tatizo la dawa za kulevya kwa vitendo.
 
jamani u cdm na ccm ukae mbali, kikwete has done a right thing, mlitaka dada yetu afe? kha sometimes tunamuonea sana huyu presidaa

mbona wauza unga hashughuliki nao? Ni unafikiri kwa nini malaria haiishi? And that is a natural disease ambayo watu wakiwa wasafi inaisha. Sasa huku watu wanapata pesa ndeeefu unategemea atapona na hao wahuni? Ni watu wangapi wakimfuata atawapa uangalizi maalumu? Tuacheni unafiki, rais inatakiwa adeal na source au adeal na nchi nzima na sio mtu mmoja mmoja. Hatuwezi kufika kwa uswahili huu.
 
tumuombee asirudie tena ktk madawa kwani ni hatari pia tumpongeze mh rais kwa kumsaidia ray c ushauri ajiepushe na wote wabaya waliompelekea yy kuwa hvyo pia ni muda ambao sas atakuwa amejua nani aliye rafki mzuri kwak na mnafki kwake
 
Umeona eeh, nchi hii bana haina dira wala mwelekeo. Ni rahisi kwa Mateja kupata msaada kutoka magogoni, kuliko kwa viongozi wastaafu. That's why kila aliyeko madarakani anachukua chake mapema, ukizubaa zubaa kama ngulume utakufa unajiona. Anyway RIP ngulume and get well soon Ray C
Lazima uelewe kwamba mheshimiwa hapendi wadada Kama Ray C na warembo wengine Kama yeye wateseke kwa hiyo anawekeza kwa warembo Kama kawaida yake
 
Back
Top Bottom