Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
na wewe unajiita genius brain?ila wala sishangai ahahhahahahah eti genuius brain sijui kuna genius mguu!ah!Maandiko matakatifu yanasema' asiye mshukuru binadamu mwenzake , hata Mungu hawezi kumshukuru'. Alicho fanya Ray C ni kutekeleza haya maandiko matakatifu. Wewe acha kupotosha watu kwa thread yako hii isiyo na macho wala miguu. Kuna ubaya upi wakufanya Publicity ? acheni wivu wa kike vijana mjini hapa mkiwa na wivu wa aina hiyo mtafanywa vibaya , nakupa ushauri wa bure. Rais Dkt JK ni muungwana sana na anawapenda watu wake, na ww nenda kamchukue mmoja wa waathirika wa madawa umtibie, kuna ubaya gani ?
Betty Chalamila-Mkwasa.
Niliona kwenye habari jana nikabakia na mshangao
Wana haki ya kushukuru,Ray C kuacha kutumia madawa ya kulevya ni raisi lakini pia ikumbukwe kurudia kutumia madawa ya kulevya ni raisi !kuwa makini!
we boya kweli hata taarifa ya habri huangalii???Ish!! Mbona kama siye
jamani u cdm na ccm ukae mbali, kikwete has done a right thing, mlitaka dada yetu afe? kha sometimes tunamuonea sana huyu presidaa
Lazima uelewe kwamba mheshimiwa hapendi wadada Kama Ray C na warembo wengine Kama yeye wateseke kwa hiyo anawekeza kwa warembo Kama kawaida yakeUmeona eeh, nchi hii bana haina dira wala mwelekeo. Ni rahisi kwa Mateja kupata msaada kutoka magogoni, kuliko kwa viongozi wastaafu. That's why kila aliyeko madarakani anachukua chake mapema, ukizubaa zubaa kama ngulume utakufa unajiona. Anyway RIP ngulume and get well soon Ray C