Rayvanny ampost mpenzi wake Paula wa Kajala wakila bata

Huyu akiolewa sijui baadaye watakuja kulalamika kuwa ni kwa Nini wanawake waZzuri hawolewi wasubirie watumike kwenye bataa kumbi zote za raha watazunguka na clubs zote kujulikana.

Huyu ukimuweka ndani ukamfungulia biashara kila siku unakuta duka limejaa ,atajenga atanunua usafiri wake atakuambia biashara nzuri my hubby.
Ila ni asset smt Mana kupata teuzi za viti maalumu dc rc director ni kugusa tu.
Typo hapa huyu mtt ataingia bungeni ndani ya 10yrs to come.
Hakuna Cha degree Wala diploma
Uzuri ni dili fulani ivi
 
Mjini chura inalipa kinyama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ