Mtuflani Official
JF-Expert Member
- Dec 31, 2019
- 1,952
- 4,416
Sema ukweli huyu binti ni mzuri aisee kuna wanawake uumbwaji wao umependelewa na paula ni miongoni mwao.
Tatizo unaona wanaofahamika. Hujaenda IFM Posta Campus wewe!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sema ukweli huyu binti ni mzuri aisee kuna wanawake uumbwaji wao umependelewa na paula ni miongoni mwao.
Nitakuripoti kwa moderator mkuu kwamba unanidhihaki bora uje PM tuyamalize kiutu uzima.Haa mkuu unaitwa mbususu[emoji3][emoji3] yaani jf [emoji119]
Sipeleki kwingine yaani naihamisha kabisa
Hahaa na kwanini ututafutie sababu mkuu, hilo jina hulijui maana yake wewe?Nitakuripoti kwa moderator mkuu kwamba unanidhihaki bora uje PM tuyamalize kiutu uzima.
Inye iko wapi hapo acha kufananisha inye na vitu vya kijinga mkuuKumbe kana inye haka katoto
Mkuu kwa kilugha cha kwetu ni maji .Hahaa na kwanini ututafutie sababu mkuu, hilo jina hulijui maana yake wewe?
Hii comment imenikumbusha mbali.Sema ukweli huyu binti ni mzuri aisee kuna wanawake uumbwaji wao umependelewa na paula ni miongoni mwao.
Mama hawa hawapendi maendeleo yetu yani 😕😕😕 mie kila nikikupenda wanakuja kutuvuruga! Kwa hasira nakununulia ile IST kuwakata ngebeKaone kanavojitetea !myamalizaje tena tambi imelipuka kabisa 😀 dawa yako ipo jikoni siku ntakupiga tukio hilo hutoamini😏
Babe mie nawewe hatuachani yani tutalamba glukonz mpaka kifo kitutenganishe 😅😅😅 kwanza witty yeye ndio ananitaka ila mie nimekataa hadi kaona anichongee kwako bebi!Yaani huyu babe hadi nimechoka sasa, na hajifichi tabia zake anajionesha wazi😪 kama vipi naomba nikupe kama zawadi dear Wit japo nipumzike kidogo😂
Aah nimechoka na hizi saundi, why kila siku wewe😬 na mbususu napeleka kwingine wewe nishakuacha😏Mama hawa hawapendi maendeleo yetu yani 😕😕😕 mie kila nikikupenda wanakuja kutuvuruga! Kwa hasira nakununulia ile IST kuwakata ngebe
Mama kwahio mie nakupiga saundi? Hebu acha hizo akili tujenge family mpenzi wangu! Hawa Ma slay kwini ni kichefu chefuAah nimechoka na hizi saundi, why kila siku wewe😬 na mbususu napeleka kwingine wewe nishakuacha😏
Ulivosikia mbususu sasa😀😀 meno yote njeeCome to me baibeeeee😂
Dah haya bana mkuu! Am speechless 🤔Nakuelewaga kitambo Sana sema ulipopata kazi bank ukaniacha , mara moja moja bas unanichumu huko pm😃😃
Sikutakiii endelea nao hao hao, umezidi we mbaba😏Mama kwahio mie nakupiga saundi? Hebu acha hizo akili tujenge family mpenzi wangu! Hawa Ma slay kwini ni kichefu chefu
Unapenda sana kuhakikiwa eeeh? [emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu naomba namimi unihakiki.
Njoo nikuhakiki na wee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Umepata wa kumhakiki mmoja angalau kesho tuamke na supu ya Moto[emoji2]
Kwani unataka asiliwe? Lazima aliwe tyuuh hakna namnaBaba mtoto yuko hai na anaona mwanae anapasuliwa K na kuwekwa online
This hurts a lot
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ilaa dea bhan lolMmmh...hii tecno nachambwa nayo humu ipumzike sasa [emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16]
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app