Rayvanny ampost mpenzi wake Paula wa Kajala wakila bata

Hivi ni rangi yake asilia, au ndio kujichubua kwenyewe ili afanane na mwarabu! Maana waarabu tunapishananao wengi sana mtaani, uso Mirinda, miguu Pepsi, shingo Vimto


πŸ‡¦πŸ‡·πŸ‡¦πŸ‡·πŸ‡¦πŸ‡·πŸ”₯πŸ”₯
 
Niliwahi kuambiwa na mwanamke mwenzangu ni mzuri sana kama nimejiumba.

Astaghfirullah [emoji849]
🀣🀣🀣🀣 Ni nadra Sana kuona mwanamke anamsifia mwanamke mwenzake naona huyo alijitoa ufahamu.Ukiona hivyo ujue we ni kisu ile mbaya
 
Mkuu nilianza kuielewa michango yako juu ya hii maada,ila uliposema H.Baba kawekezaa daaah[emoji23][emoji23]
 
Mkuu nilianza kuielewa michango yako juu ya hii maada,ila uliposema H.Baba kawekezaa daaah[emoji23][emoji23]
H-baba huyu huyu chawa wa Harmonize , na Harmonize huyu huyu mwanafunzi wa DiamondπŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…