Rayvanny aweka video mtandaoni akiwa mahabani na Paula mtoto wa Kajala, Hamisa Mobetto adaiwa kuhusika kumlewesha na kumrubuni

Nasikia Njomba chumari wame team up na P funky majani wanamsaka Ravinyna nyumba kwa nyumba,
Ravina mwenye kajificha kwamtogole
 
Huyu ravina atakula mvua 40,watu wakikomaa,huwezi ukabaka mwanafunzi na ubaki salama,,
Run Ravina run now...
Ukiona hiyo video inaonesha kabisa Paula ndio anamkiss Rayvanny Tena na tabasamu juu so hapo inaonesha mtoto kaelewa show ajalazimishwa
 
Ni shule gani hiyo ilimchukua mwanafunzi aliepata zero form 4 tuanze nayo kwanza kabla ya rayvanny
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Tuanze na shule
 
Kajala naye wale wale.

Hivi unaacha mwanao anaenda kutembea na shangingi la mjini matarajio yako ni nini ??

Alifikiri anampeleka misikitini au kanisani.
 
Huyu ravina atakula mvua 40,watu wakikomaa,huwezi ukabaka mwanafunzi na ubaki salama,,
Run Ravina run now...
Issue ya kubaka ni ngumu kuithibitisha maana muda mrefu umepita tangu tukio hilo la wao kukutana. Pili hatujui kama kweli walifanya ngono...tatu huyo binti si mwanfunzi kwa sasa ni raia wa kawaida ambaye amevuka 18 years...anakuwa mwanafunzi tu pale akijiunga na kidato cha 5 kama asemavyo mama yake...
 
Huyu ravina atakula mvua 40,watu wakikomaa,huwezi ukabaka mwanafunzi na ubaki salama,,
Run Ravina run now...
Alishamaliza shule na alijitahidi kupata division 0. All in all kama hii habari ni ya kweli nimemchukia sana Hamisa Mobeto.
 
Nasikia Njomba chumari wame team up na P funky majani wanamsaka Ravinyna nyumba kwa nyumba,
Ravina mwenye kajificha kwamtogole
Na Pfunk huwa hataki mchezo na watoto wake. Atamnyonya mavi huyo msafwa🤣🤣🤣
 

Sioni haja ya kuhalalisha au kumlaumu yoyote kwa kilichotokea ila Future ya huyu mtoto tayari ishaanza kuvurugika
 
Yaani mtu kamaliza form 4 miaka miwili nyuma kama sikusei mpaka Leo asivuke miaka 18 haiwezekani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…