Nasikia Njomba chumari wame team up na P funky majani wanamsaka Ravinyna nyumba kwa nyumba,Kwani baba wa kufikia wa Paula konde boy anazungumziaje ilo jambo Mimi naona kajala ajaribu kuongea na harmonize amtungie rayvanny diss track Tena hiyo nyimbo aweke hichi kipande kwenye nyimbo"rayvanny nimeondoka wcb ila bado unanifatafata nakwambia unachokitafuta utakipatapata"ndo hayo tu jamani happy valentine
Ukiona hiyo video inaonesha kabisa Paula ndio anamkiss Rayvanny Tena na tabasamu juu so hapo inaonesha mtoto kaelewa show ajalazimishwaHuyu ravina atakula mvua 40,watu wakikomaa,huwezi ukabaka mwanafunzi na ubaki salama,,
Run Ravina run now...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Tuanze na shuleNi shule gani hiyo ilimchukua mwanafunzi aliepata zero form 4 tuanze nayo kwanza kabla ya rayvanny
Kajala naye wale wale.Msanii Kajala Masanja ameibuka na kuitaka serikali iwachukulie hatua Hamisa Mobetto na Rayvanny kwa kumnywesha pombe binti yake aitwaye Paula na kisha kumrekodi video kuashiria yupo katika mahaba na Rayvanny. Awali zilivuja mtandaoni video zilizoonesha Rayvanny na Paula wakiwa katika penzi zito.
Kajala amedai siku ya tukio Hamisa alimuomba Kajala atoke na Paula wakatembee kumbe alikuwa na ajenda ya siri, alimchukua Paula na kwenda naye kwa Rayvanny ambapo walimnywesha pombe na Kisha kumrekodi kipande cha video chenye maudhui ya mapenzi mazito.
Punde baada ya kipande hicho cha video kuachiwa mtandaoni Rayvanny aliachia kipande cha wimbo kilichotafsiriwa Kama wimbo kwa ajili ya Paula.
Kitendo hicho kimetafsiriwa na wataalamu wa mambo Kama kiki ili tu Rayvanny naye apate kutrend hasa ikizingatiwa kuwa mama yake na Paula yaani Kajala anatoka na Harmonize.
Lakini je nini hatima ya sokomoko hili endapo mamlaka za serikali zikiingilia kati kuitikia wito wa Kajala anayedai binti aliyenyweshwa pombe ni mwanafunzi na mwenye umri mdogo?
Je hili halitamtia Rayvanny matatani kumnywesha pombe binti wa miaka 17 tena mwanafunzi na kumrekodi? View attachment 1702362View attachment 1702363
We umejuaje kuwa alileweshwa?Hata kama sio mwanafunzi,kama umemnywesha akalewa na ukatake advantage bila ridhaa yake,huo ni ubakaji,,mvua zinahusika hapo...
Issue ya kubaka ni ngumu kuithibitisha maana muda mrefu umepita tangu tukio hilo la wao kukutana. Pili hatujui kama kweli walifanya ngono...tatu huyo binti si mwanfunzi kwa sasa ni raia wa kawaida ambaye amevuka 18 years...anakuwa mwanafunzi tu pale akijiunga na kidato cha 5 kama asemavyo mama yake...Huyu ravina atakula mvua 40,watu wakikomaa,huwezi ukabaka mwanafunzi na ubaki salama,,
Run Ravina run now...
Najua Br. majani hata muacha mtu salama kwenye hiliKwaiyo bro majani tutazika hapa hapa au tutasafirisha
Alishamaliza shule na alijitahidi kupata division 0. All in all kama hii habari ni ya kweli nimemchukia sana Hamisa Mobeto.Huyu ravina atakula mvua 40,watu wakikomaa,huwezi ukabaka mwanafunzi na ubaki salama,,
Run Ravina run now...
Na Pfunk huwa hataki mchezo na watoto wake. Atamnyonya mavi huyo msafwa🤣🤣🤣Nasikia Njomba chumari wame team up na P funky majani wanamsaka Ravinyna nyumba kwa nyumba,
Ravina mwenye kajificha kwamtogole
Nimeumia kama mama mwenye watoto wa kike na kiume, nna uhakika Kajala pia anaumia... hakuna mama angependa mwanae apitie magumu aliyopitia yeye
Anachopitia P.Funk sasa ni kile alichowapitisha wazazi wa Kajala wakati Kajala akiwa na umri sawa Paula alionao sasa
Hakuna kitu utakachofanya kiwe kizuri au kibaya kisikurudie
Mungu amnusuru huyu mtoto. Bado ni mdogo sana kwa vitu hivi tena kwenye mitandao
Hawa si wanaishi kwa style hyoMambo yapo mubashara kabisa,ukitaka kumtafuna Paula unapitia kwa Mobeto.
Yaani mtu kamaliza form 4 miaka miwili nyuma kama sikusei mpaka Leo asivuke miaka 18 haiwezekani.Nimeona habari na video mitandaoni zikisema Rayvanny ana mahusiano ya kimapenzi na Paula mtoto wa kajala. Nijuavyo ni kuwa Paula alifeli form four wazazi wake wakamrudisha shule akawa anarisiti huku anasoma five na six, hivyo habari hizi za rayvanny zimenishtua kidogo. Vipi Paula ameacha shule? Na Kama bado anasoma kudate wanafunzi ni kosa linaloweza kumpeleka mtu jela miaka 30.
Na hata Kama ameacha shule bila shaka atakuwa underage huyo Paula ambapo pia ni statutory rape chini ya sheria kutembea na msichana chini ya miaka 18.
NB: Mamlaka zilifuatilie hili swala na ikibainika Kuna jinai zichukue hatua stahiki, yaani sheria ifuate mkondo wake wasanii ni vioo vya jamii hivyo wanapaswa kuwa wa mfano wa kuigwa, watoto waachwe wasome kwanza.
Mi mwenyewe nitaanza msaka;Sioni haja ya kuhalalisha au kumlaumu yoyote kwa kilichotokea ila Future ya huyu mtoto tayari ishaanza kuvurugika
daaahhhh safari njema mkuuMi mwenyewe nitaanza msaka;