Rayvanny aweka video mtandaoni akiwa mahabani na Paula mtoto wa Kajala, Hamisa Mobetto adaiwa kuhusika kumlewesha na kumrubuni

Kajala asitafute mbuzi wa kafara. Huo mzigo ni wake yeye ndio mwanzo wa mambo yote yanayotokea kwa binti yake. Na rayvanny naye sheria ichukue mkondo wake iwe mfano kwa wanaume wote wenye tabia kama hiyo.
 
Akuna cha faragha mkuu,shida ni kuliwa kimaskhara.
Wahuni mabinti zao wakiliwa kimaskhara uwa wakali sana.
Kweli hii huwa inauma Sana , kuna mwamba alikuwa anakula sana wake za watu na vibinti , eeh bhana eeh sku akuta SMS namlegeza mke wake , jamaa alimind kinyama 🀣 alifura mbaya , moja ya sababu zilizonifanya nisanue Mwanza
 
Amerisit June anaanza advance...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah kweli siku hazigandi kumbe P funk majani anamtoto mkali namnahiii
 
Hahaaaa msaga sumu mweee!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kabla Pfunk jajatoa povu aueleze uma wa watanzania alianza ku date Kajala mpaka akazaa naye Paula akiwa na Umri gani? Hivi hajui utendalo wakati mwingine yanakurudia? Atulie shindano iingie taratibu.
Je aliwahi kumrecord?
 
Huyu Rayvanny na yeye kumbe ni fala sana aisee. Yaani hawezi kula vyombo kimyakimya?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…