Rayvanny aweka video mtandaoni akiwa mahabani na Paula mtoto wa Kajala, Hamisa Mobetto adaiwa kuhusika kumlewesha na kumrubuni

Je aliwahi kumrecord?
Teknolojia za miaka hiyo ndiyo hivyo tena. Ila hiyo ya kumrekodi kwa kweli imeenda mbali sana. Ila Pfunk ni mtoto wa mjini. Rayvanny ametengeneza soo kubwa ya hatari. Atume tu watu wa heshima wakaongee na Majani. Tofauti na hapo ninakiona kisasi kikubwa kinakuja
 
Suala ni kumrecord kuliwa mbona P anajua kapisa kabisa kama mwanae analiwa.
 
Hiyo mikwala tu...smart boyz hawanaga kelele kabisa...

Sent from my SM-G920P using JamiiForums mobile app
 
Kajala asitafute mbuzi wa kafara. Huo mzigo ni wake yeye ndio mwanzo wa mambo yote yanayotokea kwa binti yake. Na rayvanny naye sheria ichukue mkondo wake iwe mfano kwa wanaume wote wenye tabia kama hiyo.
Yani kaona mzigo amtupie Mabetto...!! Hatarii sanaa haya mambo

Sent from my SM-G611K using JamiiForums mobile app
 


We jamaa una hasira kama umebanduliwa wewe. Khaa!
 
Ivi huyo majani ana nini ? Rayvanny kamla kama wanavyo kula mafala wengine, sema V boy star ndio imevuma. Paula sio bikra
 
Atulie tu mbona na yeye alikula sana watoto wa watu enzi zake?!
 
Kafanya intavyuu wapi?
 

Wasanii wa siku hizi wanatembea na mabaunsa, sio wale wa enzi za kina Juma Nature unaweza kuwaokota tu kwenye vibanda vya gongo
 
siyo kweli hiyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…