Hakuna kesi hapo, Paula Ni binti mkubwa tu, miaka 20+ sio mtoto kabisa. Na kwakua hatuko chini ya miaka 18, Rayvanny hana hatia yoyote kwakua hakumlazimisha.
Ukiangalia kwa makini utagundua kuwa , kwenye clip nyingi aliekuwa anarecord ni Paula mwenyewe.
NB :Mnapoteza muda wenu kutetea gumegume. Kati ya wanaume wote mliocoment tangia uzi huu uanzishwe, hakuna hata mmoja ambae Paula atashindwa kummudu kimapenzi, mmekomaa mtoto mtoto, ukituma mtoto utamfata Paula? Au mnataka kusema Vanyboy kamkuta bikra?