Mtoto wa kitanzania ukisikia anamuita baba "daddy" basi kuna tatizo mahala, na mama akimuita "mummy" basi kuna tatizo kubwa sana, jua kabisa huyo mtoto hajawai kuonywa kwenye maisha yake, kila kitu anachokifanya basi inakuwa ni haki yake. wazazi wake humfundisha ama kumuelekeza mambo yasiokuwa na maadili kwenye jamii, that why hautasikia akitamka neno "Shikamoo"...
malezi ni tatizo si kila privacy ya mzazi au mlezi basi mtoto anapaswa kujua, mama unapost umevaa chupi sare na mwanao nini matarajio yake... shame