Ahsanteeeh.Hawa mabazazi wanaona sio mtoto kwakua wanaona dogo ashavunjwa bikra, ila motto hata azeeke na mvi awe nazo kwa mzazi bado ni mtoto tu.
Hata hawa wa humu wanaosema yule binti sio mtoto wao pia ni watoto kwa wazazi wao na wao pia watakua na watoto tu maadamu wanazaliana.
Kwani "mtoto mdogo" tafsiri yake ni ipi?Paula ni mwanaye, sio 'mtoto' mdogo!
Yeye alikuwa wapi kama baba ?Kama ni kweli basi ile kauli ya P Funk aliyo itoa wakati akihojiwa na Dizzim "Paula ameshindikana....." ,aliyaona haya mapema.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mbona mama Kanumba mpaka leo anamlaumu mtoto mdogo Lulu kwa kulisukuma jibaba lililokuwanlimeshikia panga(Likanumba)
Sasa kama baba anaongea alafu mama ana support upuuzi wa mwanae,unataka Majani afanye nini na ukizingatia walishatengana zamani.Yeye alikuwa wapi kama baba ?
Master Jay watoto zake wamelelewa vizuri na mke wake waliye achana nae.pfunk aache kelele uchwara akaombe ushauri kwa mwenzake masterj ameweza vipi bado hajachelewa
kwenye hii familia hakuna wa kumlaumu mwenzakeMaster Jay watoto zake wamelelewa vizuri na mke wake waliye achana nae.
Huwezi kufananisha akili ya mama watoto wa Master Jay na Kajala ambaye kutwa yupo social network,kila mwanamme anaye date nae anamweka kwenye mitandao,yeye kazi yake haijulikani zaidi ya kudanga.
Kaitizame ile intvw aliyo ifanya Majani Dizzim inaoneka,Majani kila anacho kiongea kuhusu mtoto,Kajala anaona kama anamnyanyasa mtoto na ndio maana alivyo hojiwa alisema yeye kama yeye Paula kisha mshindwa.kwenye hii familia hakuna wa kumlaumu mwenzake
baba mwenyewe anajiita majani mama ndo hivyo tena mtoto akili ya kuchanganua mambo hana yaani hakuna wa kumuongoza mwenzake
Anaongea kwenye mitandao tu.Kaitizame ile intvw aliyo ifanya Majani Dizzim inaoneka,Majani kila anacho kiongea kuhusu mtoto,Kajala anaona kama anamnyanyasa mtoto na ndio maana alivyo hojiwa alisema yeye kama yeye Paula kisha mshindwa.
Ndio ubaya wa kutengana viongozi wengi wadini hata waislam wenyewe huwa wanaumia wanapoona wazazi wana achana,wanajua malezi ya watoto yanakuwa ni changa moto.Anaongea kwenye mitandao tu.
Interviews na kwenye simu kajaga kushindaga naye hata siku moja kama baba ??
Inaonyesha paula hajapata malezi ya baba .
Hapa ndipo nilipokuona wewe kilazaUkiambia peleka wanafunzi, na Paula utampeleka, nyie watu acheni utani. Mtu yoyote anaweza kuwa mwanafunzi. Ila sio mwanafunzi harisi. Kaangali picha zake insta alafu niambie mwanafunzi gani huyo
Hakuna sheria ya inayozungumzia kukis mzee babaHii ishu itakae mtafuna ni vanny boy,binti wa watu still ni mwanafunzi,bila shaka atakua under age,sheria ikifuatwa kaumia...sijui alifikiria nini kupost ile video? any way kwa kua wote ni CCM WATAJUNA WENYEWE.
Sasa huoni P funk na Kajala kweli .Ndio ubaya wa kutengana viongozi wengi wadini hata waislam wenyewe huwa wanaumia wanapoona wazazi wana achana,wanajua malezi ya watoto yanakuwa ni changa moto.
Mama sio tatizo kweli?Hebu katizame post number 659 niliyo ipost?Sasa huoni P funk na Kajala kweli .
Mtoto anapaswa kulelewa kwenye familia yenye baba na mama sio baba tu au mama sasa unaona mapungufu ya malezi ya baba ndio haya mtoto anajiamulia tu.
Halafu kingine kuna mmama aliachana na mmewe huyo mama akaanza kukosa matumizi yaani tokea 5 mpaka 20 mtoto huyo anataka kuuzwa na mamake anakataa mama huyo anamtesa kwa kumtumikisha na alikuwa anakunywa pombe hata kuvuta sigara pia .
Ila huyo mtoto aliweka msimamo hadi niende chuo .
Aliomba nafasi mbali mbali akapata mtu wa kumpeleka chuo kapata udhamini .
Akasoma kwa bidii akawa anajinyima helazake za pocketmoney anamtumia kijana wao ambaye alikuwa mkubwa baada yake.
Na chuo kiliamua kumtunza nakumpatia kazi sasa ni mtu ambaye anafanya kazi UK siwezi ambatanisha picha hapa.
Ila kwa paula hakupenda kuwa na msimamo kuhenyea jambo yeye anataka kupata kirahisi.
Mama sio tatizo tatizo ni yeye hakatai .
Paula ni mzuri , tena ni mzuri kweli ....Kwa vyovyote vile lazima pressure za Mapenzi zimwandame , hata chuoni tuliwaona na hata maofisini tunawaona hata kama wameolewa wanakuwa under extreme pressure ya wanaume wa Kila Aina from poor man to Billionaire status ,. ...... Kuna wanaume wengi wa kumuoa Paula tena wenye pesa zao hata kama vannyboy akizingua......Kwa mwanamke hcho kikwazo kukivuka sio rahsi na tusimtabirie mabaya Sana mana Mungu ndo anayeongoza maisha ya watu , Nani alijua life style bovu la bi Sandra litamfanya azae kijana millionaire ???? Tusihukumu Sana hvi vitu vipoSasa huoni P funk na Kajala kweli .
Mtoto anapaswa kulelewa kwenye familia yenye baba na mama sio baba tu au mama sasa unaona mapungufu ya malezi ya baba ndio haya mtoto anajiamulia tu.
Halafu kingine kuna mmama aliachana na mmewe huyo mama akaanza kukosa matumizi yaani tokea 5 mpaka 20 mtoto huyo anataka kuuzwa na mamake anakataa mama huyo anamtesa kwa kumtumikisha na alikuwa anakunywa pombe hata kuvuta sigara pia .
Ila huyo mtoto aliweka msimamo hadi niende chuo .
Aliomba nafasi mbali mbali akapata mtu wa kumpeleka chuo kapata udhamini .
Akasoma kwa bidii akawa anajinyima helazake za pocketmoney anamtumia kijana wao ambaye alikuwa mkubwa baada yake.
Na chuo kiliamua kumtunza nakumpatia kazi sasa ni mtu ambaye anafanya kazi UK siwezi ambatanisha picha hapa.
Ila kwa paula hakupenda kuwa na msimamo kuhenyea jambo yeye anataka kupata kirahisi.
Mama sio tatizo tatizo ni yeye hakatai .
Ukiniona wewe kilaza haungozi wala kupunguza kitu kwenye maisha yangu. Ni mpumbavu tu ambae hatonielewa namaanisha niniHapa ndipo nilipokuona wewe kilaza
Kuna kitu nataka unisaidie kwani sheria za Tz zinasemaje,manake kwa UK ukifanya mapenzi na binti wa miaka chini ya 18 ni kosa kisheria ,hili lilimfanya mchezaji wa Stoke City Adam Johnson pamoja na mshahara wake wa pound 100000 per week sasa hivi yupo rumande,baada ya kufanya mapenzi na binti aliyekuwa na miaka 17 aliye mkuta club.Kuna kesi ya mshkaji wangu ilikuwa ni mwanafunzi wa Form 4 tena kamaliza anasubiri kwenda form five...!! Jamaa alimpa mimbaa mdada ambae mzee wake ni kauzu balaa maana haya mambo huwa mepesi sana kama wazazi wa mwanamke ni waelewa hata kama yakifika polisi yanaweza kurudi kifamilia mkayamaliza lakini USIOMBE NA SEMA USIOMBEE wazazi wa mtoto wa kikw wakukaziee... jamaa yangu alipigwa miaka 30 hadi leo huwa siamini kabisa nahisi jamaa alionewa lakini No ni wazazi wa yule binti ndo walileta Nongwa. Kwa Rayvany hajampa mimba paula ila ustar wake ndo utamponza.
Sent from my SM-G611K using JamiiForums mobile app