Slowly
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 10,589
- 35,268
- Thread starter
- #681
Kwa elimu yetu ya Tz mara nyingi kama mtoto hajakwama au kufeli hapa kati ,miaka 18 anatimiza akiwa form 5.Huyo binti karisiti mwaka jana na kwa mujibu wa mama yake mwaka huu mwezi wa 7 anaingia form 5,kimahesabu huyu binti mwaka huu anatimiza miaka 19 akiwa form 5.
Sijui sheria zina semaje natamani nipate mwanasheria atupe vifungi still bado sijarizika na jibu lako.
Kula kifungu cha katiba achana na mwanasheria ...huyo bint anaenda 20 huko ...acha watu wamtekenye bhana na yupo out of school,