Rayvanny aweka video mtandaoni akiwa mahabani na Paula mtoto wa Kajala, Hamisa Mobetto adaiwa kuhusika kumlewesha na kumrubuni

Rayvanny aweka video mtandaoni akiwa mahabani na Paula mtoto wa Kajala, Hamisa Mobetto adaiwa kuhusika kumlewesha na kumrubuni

Kuna kesi ya mshkaji wangu ilikuwa ni mwanafunzi wa Form 4 tena kamaliza anasubiri kwenda form five...!! Jamaa alimpa mimbaa mdada ambae mzee wake ni kauzu balaa maana haya mambo huwa mepesi sana kama wazazi wa mwanamke ni waelewa hata kama yakifika polisi yanaweza kurudi kifamilia mkayamaliza lakini USIOMBE NA SEMA USIOMBEE wazazi wa mtoto wa kikw wakukaziee... jamaa yangu alipigwa miaka 30 hadi leo huwa siamini kabisa nahisi jamaa alionewa lakini No ni wazazi wa yule binti ndo walileta Nongwa. Kwa Rayvany hajampa mimba paula ila ustar wake ndo utamponza.

Sent from my SM-G611K using JamiiForums mobile app
Sasa huyo mwanao kampa mimba mwanafunz,paula sio mwanafunz..ni private candidate tu ambae akipata matokeo yake anaweza nenda chuo,au kazin au form 5 ili akapate sasa status ya uanafunz...dem alipoteza status ya udent alivyofeli..hapo kuja kuitwa dent tena mpaka apate shule ya form 5 ndio akawe School Candidate...sasa sakata kimemkuta akiwa sio dent

Sent from my SM-G920P using JamiiForums mobile app
 
Sasa huyo mwanao kampa mimba mwanafunz,paula sio mwanafunz..ni private candidate tu ambae akipata matokeo yake anaweza nenda chuo,au kazin au form 5 ili akapate sasa status ya uanafunz...dem alipoteza status ya udent alivyofeli..hapo kuja kuitwa dent tena mpaka apate shule ya form 5 ndio akawe School Candidate...sasa sakata kimemkuta akiwa sio dent

Sent from my SM-G920P using JamiiForums mobile app
Vipi wakitengeneza mazingira kuwa alishasajiliwa bado kwenda tu shulee...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my SM-G611K using JamiiForums mobile app
 
Dah
FB_IMG_16134022648295524.jpg
 
Vipi wakitengeneza mazingira kuwa alishasajiliwa bado kwenda tu shulee...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my SM-G611K using JamiiForums mobile app
Ujue Njomba Nchumali atakuwa kachochea, nafikiri hili swala tayari, Management VanBoy watakuwa washa kaa chini na kuona namna gani wakae kiutu uzima na kifamilia na Paul Mathias. Huku nje wamebaki wapiga zumali wanachochea ukuni
 
Vipi wakitengeneza mazingira kuwa alishasajiliwa bado kwenda tu shulee...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my SM-G611K using JamiiForums mobile app
Hakuna kitu kama hicho...hapa kweny uanafunz kashafeli...kwanza to be honest yule mtoto kwa maisha anayopenda yabata hana hata mpango wa advance.. pale anawaza akaanze certificate mjini IFM

Sent from my SM-G920P using JamiiForums mobile app
 
Ujue Njomba Nchumali atakuwa kachochea, nafikiri hili swala tayari, Management VanBoy watakuwa washa kaa chini na kuona namna gani wakae kiutu uzima na kifamilia na Paul Mathias. Huku nje wamebaki wapiga zumali wanachochea ukuni
Amini mzee ndo maana nakwambia Haya mambo kama siyo wewe yanakuhusu unaweza chukulia poa tu.. rayvann anaiweka management pagumu sanaa

Sent from my SM-G611K using JamiiForums mobile app
 
Tanzania tunabeza Sana na Tunachukulia Poa Hivi Vitu...Issue ya RayVanny Ingekuwa kwa Wenzetu Angepoteza Vitu Vingi Sana, Deals and Endorsements plus Angekuwa Cancelled kwenye Game.
Serikali pia waangalie hili

Britannica
Menin walivyojirekodi video ile ya utupu
Eti akaja chaguliwa balozi sjui wa nn[emoji23][emoji23][emoji23]
Bongo tunaenda enda tu

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
Amini mzee ndo maana nakwambia Haya mambo kama siyo wewe yanakuhusu unaweza chukulia poa tu.. rayvann anaiweka management pagumu sanaa

Sent from my SM-G611K using JamiiForums mobile app
Sure, 100%. Na hii ngoma ni bora wapitie kwa majani ana akili na busara. Ila sio kwa mama kajala, maana yule mama sasa hivi anaongozwa na chuki za Njomna nchumali
 
Hakuna kitu kama hicho...hapa kweny uanafunz kashafeli...kwanza to be honest yule mtoto kwa maisha anayopenda yabata hana hata mpango wa advance.. pale anawaza akaanze certificate mjini IFM

Sent from my SM-G920P using JamiiForums mobile app
Haya mkuu ila kwenye Hilii jua ni zaidi ya Hizo video.. Rayvann anaonekana yupo WCB hapo ndio penyewe hasaa.

Sent from my SM-G611K using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom