Ndio nasubiria mkuu wamejaaa mihemko tu isiyo kuwa na maana yeyote?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Akikujibu nitag
Ndugu zangu watanzania si tulikubaliana tutateteana🤣🤣🤣🤣 Akikujibu nitag
Ndio itaje hiyo shule anayosoma nitakutumia na kupost muhamala hapa hapaFanya mpango uje inbox kabisa
Akikujibu namtumia elfu 10 mkuuMwanafunzi wa wapi na shule gani?
Hili swali mbona wanalikimbia linaunguza nini?Mwanafunzi wa wapi na shule gani?
Kila mtu akiuliza Hili swali naona alijibiwi hii ndio hasara ya kuongozwa kimihemkoAkikujibu namtumia elfu 10 mkuu
Yaani mi naona wanaerokodi km hawapendaani vile!!maana km unampenda MTU why muanze kurekodiana?!!Ila hiki kizazi kwakweli ni mtihani.... Yani unachukua simu mpo faragha na mpenzi wako alafu mnaanza kujirekodi mkifanyiana majamboz.....then mnapost mtandaoni
Kwa faida ya nani hasa!! Bora niwe mshamba tu asee
Ni Mkwe wa mmakonde harmonizeKweli Tanzania kubwa....Ray vany ni nani?
Wa kwangu ana 7yrs yuko std 3 ameanza na miaka 5 shule!form four atamaliza LA 7 na miaka 11.Ni vitu vya kawaida kwa sasa anabisha nini sasaKama huamini basi lkn huo ndo ukweli. Alisoma nursery na pre unit akamaliza akiwa na 5. Alipoingia std 1 alikuwa 6yrs, akarushwa mpaka std 3
Mzee wa kuchakata papuchi, umeongea 🤣🤣🤣🤣🤣Ukiingia mtandaoni kila mtu anamnanga Rayvanny kushow love na mtoto wa kajala wa kuitwa paula,
Wanasema Rayvanny karecord porn video akiwa na kajala kisha akaipublish kwa maana amemdhalilisha paula kajala...
Ray Vany Kurekodi Video akiwa anafanya ngono na Mwanafunzi ((Paula Mythes) Tanzania inabeza Sana na Tunachukulia Poa Hivi Vitu...Issue ya RayVanny Ingekuwa kwa Wenzetu Angepoteza Vitu Vingi Sana, Deals and Endorsements plus Angekuwa Cancelled kwenye Game.
Serikali pia waangalie hili
Adhabu Kali impate kijana huyu liwe funzo
Britannica
Mileage ngapi? Toka Sekondari mpaka leo?
Infact jf ni tamu sana wew hapa hela ya bado tu stress nyingine utamalizia huku,Nilichogundua jf ni tamu sana kwa upande wangu kama sina hela..
Happy valentine wote mnaokojolea patamu
Kile kibibi ki Skeleton cha USA Mange Kimambi ndio anawadanganya Mazezeta huko Instagram.Hawawezi kulijibu , watu wanamuonea wivu Tu mchizi hakuna lolote