Rayvanny aweka video mtandaoni akiwa mahabani na Paula mtoto wa Kajala, Hamisa Mobetto adaiwa kuhusika kumlewesha na kumrubuni

[emoji3][emoji3][emoji3] Hatujawah kushindwa bhana
Poleeeeeh bhanaah, ila mie nataka muamala usome kwangu, kuhusu kushindwa na kushinda hilo sakata lenu sitaki kusikia.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kabla ya kubisha au kusema chochote kwanza tungalie maisha ya Kajala, wadhani mtoto wake wa kike mwenye miaka 20 atakuwa na tabia gani??!!!
 
Hawawezi rudi nyuma wanapenda kiki kuongelewa mitandaoni.
 
Masaa 12 yamepita kajala hajaomba msamaha kwa hamisa..atakuwa amejipanga huyu mama mtu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…