Rayvanny aweka video mtandaoni akiwa mahabani na Paula mtoto wa Kajala, Hamisa Mobetto adaiwa kuhusika kumlewesha na kumrubuni

Sidhani kama Majani ataacha hili lipite. Labda kama alishamtupa huyu mtoto mazima. Hata hivyo lazima aumie..
P funk majani namfaham sana, japo kila MTU ana mapungufu yake lakini he is family man na anajali heshima sana kuliko kitu kingine, pia legacy yake katika nchi hii, sasa fikiria MTU anaharibu legacy yako kiasi hiki ..namvyomfaham hawezi kuacha hili, Ndio mana nasema hii itakuja kuback fire
 
Kupitia wimbo wake wa Valentine , Rayvanny aka Vany boy mtu mbaya ,amedai mpenz wake mpya huyo yupo kama mzungu na ana asili ya Mwanza , hvyo yupo tayar kutoa mahar Kwa Mzee masanja .....

Hata hvyo chanzo cha habar kimenyetishwa kuwa Paula kafa kaoza Kwa Vanyboy mtu mbaya .... Na yupo tayar liwalo na liwe Kwan anamzimikia Sana nyota huyo wa My number one....

Tunaendelea kufatilia Kwa ukarbu hili swala , stay tuned

Your browser is not able to display this video.
 
Huyu mama nae mpuuzi!!

Kesi kama hizi zikitokea unatakiwa ukae kimya jinsi unavyoongea tena kwenye mitandao ndio jinsi unafanya waitafute!!

Hata mimi nlikua sijui kama kuna hii kitu, baada ya kusoma hii posti nimejikuta naitafuta!!

Mshaurini akae kimya pia aangalie ni wapi anakosea kwenye malezi ya mwanae..
 
Namsikiliza hapa redion P Funk Majani kuhusu inshu ya mwanae aisee jamaa katoa povu ile mbaya.
Kasema akikutana na Rayvanny nchi hii haitasahau atakachomfanyia dogo kitu pekee kitakachomuweka dogo salama ni yeye ( Majani) kuwekwa ndani na Sirro asipewe lawama sana. Kadai hataki interview nyingine na viblogu uchwara. Aisee jamaa kaongea kwa uchungu.
Wakku tunamsaidiaje Rayvanny?
 
Mtoto nae wakulaumiwa, amejaaliwa kishuzi kama cha Khumbu wa konda msafi halafu nguo anazovaa yule mtoto ni msiba kweli kweli.
Mtoto mama yake kamwingiza kwenye media na ustaa badomdogo sasa yamemkolea.....ilionekana mapema kabisa mama yake anamharibu .
Kuna kipindi ilivuja clip ikisemekana Paula analiwa mzigo sasa imekuja hii
 
Mama yake alimwinguza kwenye media bado mdogo...kauvaa ustaa bado mbichi sasa matikeo yake ndo haya
 

Mabeto ni Dalali tu hapo kamuunga Paula na Rayvanny ,ila Hapo wote wana makosa MAbEtO na Ray ni wa kufungwa tu hakuna namna.

Ila Whats goes around comes Around ..Pfunky alikuwa anakula kabinti kanafunzi(KAJALA) na yeye imemrudia kwa PAULA.
 
Hapo nyuma huyu binti alikuwa anajirekod nyimbo za Rayvanny , Vanboy anazipost insta , kiufupi Paula anampenda Vannyboy....

Wanataka kumchafua Tu mtu mbaya ,
Hata Kama anampenda kwa sheria za nchi zina muingiza rayvany matatizoni ndio maana mtu Kama alikiba alikuwa anapita na lulu kimya kimya lulu alipokuwa anayangaza kwa watu alikiba alivyokuwa anaulizwa alikuwa anakataa kwa sababu anajua kuwa sheria inaweza kumfunga
 
Mama yake anahusuka kumharibu mtoto...mtoto yupo kwenye media ambazo zimemzidi akili...kila siku mama yake anamfanya Paula kua kiki sasa yamemfika hayo......Paula aneshakua celebrity so mambo mengi hawezi control
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…