Hiyo haijustify yeye kukaa kimya..H
Mbona yeye alianza kumchakata kajala akiwa 4m 2 which is better ambaye ameanza kuchakata baada ya mtot kumaliza shule au ??[emoji38][emoji38][emoji38]
Hii picha ni mama yake alimpiga na kutuma hewaniKama mama mwenyewe ni fuska tu anayekojozwa na wahuni unategemea mtoto ajifunze nini? Serikali ipo busy na haiwezi kudeal na mambo ya kipuuzi kama haya
Mtoto mwenyewe ndie huyu eti kumtoa lunch mpaka umuombe mama yake!?
View attachment 1702379
Saafiii.naona mpenzi anaipima mashineWazee ila maji hufuata mkondo...yeye kama mama anapiga picha za hivi mtoto afanye nini?View attachment 1702371
Hata kama sio mwanafunzi,kama umemnywesha akalewa na ukatake advantage bila ridhaa yake,huo ni ubakaji,,mvua zinahusika hapo...Huyo dogo mbona nasikia ni 21
Kisheria hii ipo je?? Ikumbukwe alipata zero form 4 kwa hiyo sio mwanafunzi tena
Issue ni ushahidi, mara nyingi ushahidi unakosekana na unakuta binti anamlinda jamaa hadi mahakamani.Hivi sheria za nchi zikoje mtu kuwa katika mahusiano na mwanafunzi. Mimi sina uhakika ila kama sikosei nikosa kuwa katika mapenzi na mwanafunzi. Naomba kusahihishwa katika hili. Japo kwa upande mwingine hizi family drama sana mtoto utamuacha vipi kujipost katika mitandao ili iweje. wazazi lazima wawajibike
Ukiambiwa uking'ata mwenzio panauma huelewi subiria nawe wakung'ate huenda ukaelewa. Hiz feeling anazozipata right now ndizo alizipata baba kajala kipindi hichooo. Tena bora vanny kaanza baada ya kuona mtot kafel shule but yy majani alianza wakat ka kajala kapo 4m 2🤣🤣🤣Hiyo haijustify yeye kukaa kimya..
Ujue ana malengo yake kwa binti yake
Kama baba kajala alikua kimya binti anaharibika ndo na yeye akae kimya?
Under 18 hana uwezo wa kuconsent kisheria.Kama walimrubuni wakamnywesha pombe
1.kwa Nini hakukataa?
2.kwa Nini asinge run away from them,hakua na nauli?
3.je alikuja shitaki kwako Kama mama yake?
4.kama hakulalamika au hakushitaki kwako,maana yake aliridhia
5.baada ya tukio,Kama alishitaki kwako,wewe Kama mama ulichukua hatua zozote dhidi Yao?
6.kama hukuchukua,kwa Nini?
7.kwa Nini usubiri mpaka video zivuje ndo uombe msaada wa serikali? Kwa Nini uingeomba msaada kipindi tu baada ya tukio kutokea,umesubiri video zivuje ndo ulalamike?
8.kama ni Mimi,wewe kajala nakutia hatiani,na mwanao hatiani na hao hatiani.
Umesikia wewe jimama?
Halafu Kama ndo Niko kwenye ob pale,nadhani polisi mnajua ob, lazima nichukue Mimi hii kesi,na sikuachi ntakukula tu[emoji38][emoji38][emoji38] zigo lite Hilo nikuache[emoji15][emoji15] mama maeeeee! Satan anaweza nitenga kabisa kwenye ufalme wake.
Kajala,jibu maswali hayo kwanza, ili tuendelee ,zigo la kuvunja chaga hilo
Mkkuu hizo habari za kubaka umezitoa wapi!?Huyu ravina atakula mvua 40,watu wakikomaa,huwezi ukabaka mwanafunzi na ubaki salama,,
Run Ravina run now...
Hiii Kali aisee kweli kwa style hii asilalamike mtoto wake kuliwa.Wazee ila maji hufuata mkondo...yeye kama mama anapiga picha za hivi mtoto afanye nini?View attachment 1702371
If the girl is above 18 huyo lunyasi atakua mpuuziNamsikiliza hapa redion P Funk Majani kuhusu inshu ya mwanae aisee jamaa katoa povu ile mbaya.
Kasema akikutana na Rayvanny nchi hii haitasahau atakachomfanyia dogo kitu pekee kitakachomuweka dogo salama ni yeye ( Majani) kuwekwa ndani na Sirro asipewe lawama sana. Kadai hataki interview nyingine na viblogu uchwara. Aisee jamaa kaongea kwa uchungu.
Wakku tunamsaidiaje Rayvanny?