Rayvanny aweka video mtandaoni akiwa mahabani na Paula mtoto wa Kajala, Hamisa Mobetto adaiwa kuhusika kumlewesha na kumrubuni

Rayvanny aweka video mtandaoni akiwa mahabani na Paula mtoto wa Kajala, Hamisa Mobetto adaiwa kuhusika kumlewesha na kumrubuni

Kwani baba wa kufikia wa Paula konde boy anazungumziaje ilo jambo Mimi naona kajala ajaribu kuongea na harmonize amtungie rayvanny diss track Tena hiyo nyimbo aweke hichi kipande kwenye nyimbo"rayvanny nimeondoka wcb ila bado unanifatafata nakwambia unachokitafuta utakipatapata"ndo hayo tu jamani happy valentine
 
Haya sio macho ya mlevi wala anayerekodiwa.

Haya ni macho ya mtu timamu na anajirekodi.

Mimi ningekuwa rayvanny, nitasema nilikuwa chakali na huyu binti ndio akatake advantage kuninyanyasa kingono na kunirekodi.
Screenshot_20210214-155236_1.jpg
 
H

Mbona yeye alianza kumchakata kajala akiwa 4m 2 which is better ambaye ameanza kuchakata baada ya mtot kumaliza shule au ??[emoji38][emoji38][emoji38]
Hiyo haijustify yeye kukaa kimya..
Ujue ana malengo yake kwa binti yake

Kama baba kajala alikua kimya binti anaharibika ndo na yeye akae kimya?
 
Swala sio kuliwa.ishu ni kumrekodi.mimi najua dada zangu wanaliwa na simaindi lakini akitokea akamrekodi wakiwa faragha aisee nitadili nae ipasavyo.
 
Aaaarrgghh , Ni ngumu kwa Mwanamke maarufu tena msanii, Kua na mtoto wakike ambaye et atatofautiana naye kimaisha

Nyoka huzaa nyoka [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]



Sema nn..... Rayv wenu huyo KAZENGUA SANA.


ALAFU NI USHAMBA SANA, KUMBE HIZ VIDEO HUWA WANAZIREKODI WENYEWE, NA KUWATUMIA WATU, ILI WAZIVUJISHE ???.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]


Ki-kiki ni faida kwa RayV, ila kimaisha, Kamharibia huyu mtoto.
 
Wameona rayvany kala ndio saizi wanalera habari za paula kuendelea sekondari form 5 mwezi wa 6, kwamba bado ni mwanafunzi.

Rayvanny ajipange, kanasa mtegoni.
 
Huyo dogo mbona nasikia ni 21

Kisheria hii ipo je?? Ikumbukwe alipata zero form 4 kwa hiyo sio mwanafunzi tena
Hata kama sio mwanafunzi,kama umemnywesha akalewa na ukatake advantage bila ridhaa yake,huo ni ubakaji,,mvua zinahusika hapo...
 
Hivi sheria za nchi zikoje mtu kuwa katika mahusiano na mwanafunzi. Mimi sina uhakika ila kama sikosei nikosa kuwa katika mapenzi na mwanafunzi. Naomba kusahihishwa katika hili. Japo kwa upande mwingine hizi family drama sana mtoto utamuacha vipi kujipost katika mitandao ili iweje. wazazi lazima wawajibike
Issue ni ushahidi, mara nyingi ushahidi unakosekana na unakuta binti anamlinda jamaa hadi mahakamani.

Ila uombe ushahidi wenyewe usiwe wa mimba, hapo ni kwishney
 
Hiyo haijustify yeye kukaa kimya..
Ujue ana malengo yake kwa binti yake

Kama baba kajala alikua kimya binti anaharibika ndo na yeye akae kimya?
Ukiambiwa uking'ata mwenzio panauma huelewi subiria nawe wakung'ate huenda ukaelewa. Hiz feeling anazozipata right now ndizo alizipata baba kajala kipindi hichooo. Tena bora vanny kaanza baada ya kuona mtot kafel shule but yy majani alianza wakat ka kajala kapo 4m 2🤣🤣🤣
Ningekuwa rayvanny muda huu ningeenda kumfungulia kesi ya kunitishia kuua 😁😁
 
Kama walimrubuni wakamnywesha pombe
1.kwa Nini hakukataa?
2.kwa Nini asinge run away from them,hakua na nauli?
3.je alikuja shitaki kwako Kama mama yake?
4.kama hakulalamika au hakushitaki kwako,maana yake aliridhia
5.baada ya tukio,Kama alishitaki kwako,wewe Kama mama ulichukua hatua zozote dhidi Yao?
6.kama hukuchukua,kwa Nini?
7.kwa Nini usubiri mpaka video zivuje ndo uombe msaada wa serikali? Kwa Nini uingeomba msaada kipindi tu baada ya tukio kutokea,umesubiri video zivuje ndo ulalamike?
8.kama ni Mimi,wewe kajala nakutia hatiani,na mwanao hatiani na hao hatiani.
Umesikia wewe jimama?
Halafu Kama ndo Niko kwenye ob pale,nadhani polisi mnajua ob, lazima nichukue Mimi hii kesi,na sikuachi ntakukula tu[emoji38][emoji38][emoji38] zigo lite Hilo nikuache[emoji15][emoji15] mama maeeeee! Satan anaweza nitenga kabisa kwenye ufalme wake.
Kajala,jibu maswali hayo kwanza, ili tuendelee ,zigo la kuvunja chaga hilo
Under 18 hana uwezo wa kuconsent kisheria.
 
Hakuna kitu, maneno tu na haya yatapita pia
 
Namsikiliza hapa redion P Funk Majani kuhusu inshu ya mwanae aisee jamaa katoa povu ile mbaya.
Kasema akikutana na Rayvanny nchi hii haitasahau atakachomfanyia dogo kitu pekee kitakachomuweka dogo salama ni yeye ( Majani) kuwekwa ndani na Sirro asipewe lawama sana. Kadai hataki interview nyingine na viblogu uchwara. Aisee jamaa kaongea kwa uchungu.
Wakku tunamsaidiaje Rayvanny?
If the girl is above 18 huyo lunyasi atakua mpuuzi

But if the girl is below 18 then majani can have a case to be mad
 
Back
Top Bottom