Torque vs HP
JF-Expert Member
- Jan 7, 2021
- 1,769
- 5,084
Kwa mpalange kuna jotooooooooooooooooo-Ney wa mitego.View attachment 1702636
Hata mimi laiti ningekuwa na connection ningemkula, shida sio ubazazi. Kuna muda mtu anatakiwa ajitambue kuwa ni mama na ajue akifanyacho kwa mtoto kitaleta effect kwenye maisha yake ya baadae, lakini Kajala alishindwa kujitambua na kuhisi labda yuko na ahoga yake!
Yeye ndio alikuwa mstari wa mbele kumfunza ujinga.