Karucee
JF-Expert Member
- Mar 11, 2012
- 18,155
- 34,303
Nikijua nitakushtua mi na wewe tena?Hahaha hujui nimepata Zari la kwenda kuchunga ng'ombe nchi fulani huenda ndio anako endelea.
Ila uache kuniita dume.
Mi jike akili tu mbofu mbofu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikijua nitakushtua mi na wewe tena?Hahaha hujui nimepata Zari la kwenda kuchunga ng'ombe nchi fulani huenda ndio anako endelea.
Baridi lazima u sex la sivyo unaumwa. Wazungu mabinti wao wakishabalehe wanawahimiza wawe na boyfriends.Na hivi kaenda Ukraine na winter ndo hii inakuja. Huyu binti namuonea huruma. Atasoma kweli ?
Mazake anafanyejeMchumba hasomeshwi, yaani dogo mama yake anauza mbogamboga nzovwe yeye anasomesha demu nje ya nchi, dogo ni fala wa karne acha mama arndelee kukatakata kabichi tutamuungisha
Acha kitu kinaitwa mapenzi jamaa kafa kaoza kwa mtoto Paulahuyu dogo anajitafutia majuto ya maisha, kwa sasa hawezi jua coz anaendeshwa na hisia kufanya yote afanyayo, muda mwalimu mzuri utampa majibu sahih
Hebu tuache masiala mtoto mtamu na mrembo kama yule ukipewa Unaweza kutafuta nae kiki au kufanya kweli? be honestSioni kama Rayvanny ana sura mbaya.
Mahusiano ya Rayvanny na Paula naona kama yako staged (yamepangwa) kwa ajili ya kiki tu..
Huo ni mtazamo wangu tu
Sawa nitakuita super mama/dada la nguvu lakini ni ngumu kuamini Dah labdaNikijua nitakushtua mi na wewe tena?
Ila uache kuniita dume.
Mi jike akili tu mbofu mbofu.
Mama yake ni mtu wa dini Sana na amekataa kupokea hela za mwanaye mpaka aache Mziki kwanzaMazake anafanyeje
Ukraine!yan hapo ana mwaka wa kusomea lugha ya ushoka then ndio aingie darasa la kozi aliyoenda kusomea!Na hivi kaenda Ukraine na winter ndo hii inakuja. Huyu binti namuonea huruma. Atasoma kweli ?
Nilikwenda nchi moja ,nilikuwa nafanya field kwenye hospital moja. Nilikutana na binti wa miaka 17 akiwa field akimalizia mwaka wake wa kwanza. Nilimdadisi kuhusu yeye. Kwanza aliniambia anaishi pamoja na boyfriend wake wote wanasoma medicine na wana umri mmoja. Aliniambia wote hawana sup mwaka wao wa kwanza akaniambia yeye anataka kuwa sergion na boyfriend wake anataka kuwa Dr katika anesthesia. Na utu uzima wangu nilijifunza kitu.Baridi lazima u sex la sivyo unaumwa. Wazungu mabinti wao wakishabalehe wanawahimiza wawe na boyfriends.
Ila Bongo unatishiwa kuwa utafeli shule. Wewe cheza
Tupe ulichojufunza.Nilikwenda nchi moja ,nilikuwa nafanya field kwenye hospital moja. Nilikutana na binti wa miaka 17 akiwa field akimalizia mwaka wake wa kwanza. Nilimdadisi kuhusu yeye. Kwanza aliniambia anaishi pamoja na boyfriend wake wote wanasoma medicine na wana umri mmoja. Aliniambia wote hawana sup mwaka wao wa kwanza akaniambia yeye anataka kuwa sergion na boyfriend wake anataka kuwa Dr katika anesthesia. Na utu uzima wangu nilijifunza kitu.
we mzee unapenda ubuyu hatariKaenda nchi Gani?
Nasikia MarekaniKaenda nchi Gani?
Na hivi kaenda Ukraine na winter ndo hii inakuja. Huyu binti namuonea huruma. Atasoma kweli ?
Hata Paula kaenda Ukraine.Aliyeenda Ukraine ni mtoto wa Monalisa Sonia
Watoto wa umri huo kuwa kwenye mahusiano ambayo yapo officially kabisa kwenye familia zao. Wanaishi pamoja,wanasoma pamoja,wapo focused kutimiza ndoto zao. Mapenzi yao hayaaffect masomo yao kihasi bali kichanya. Na waliniambia wapo wote since wana 13 yrs old. Nakumbuka ilikuwa birthday ya binti. Alitamani kufikisha miaka 18 ili aendeshe gari rasmi maana leseni tayari anayo. Wale watoto wapo matured sana.Tupe ulichojufunza.
Yes kwa ulaya iyo 18 aendeshe gari wanakuwaga na hamu Sana Tena Sana. Mana anaendesha kwa kujjiiba,ama kwa roads fulanifulani.Watoto wa umri huo kuwa kwenye mahusiano ambayo yapo officially kabisa kwenye familia zao. Wanaishi pamoja,wanasoma pamoja,wapo focused kutimiza ndoto zao. Mapenzi yao hayaaffect masomo yao kihasi bali kichanya. Na waliniambia wapo wote since wana 13 yrs old. Nakumbuka ilikuwa birthday ya binti. Alitamani kufikisha miaka 18 ili aendeshe gari rasmi maana leseni tayari anayo. Wale watoto wapo matured sana.
Usiseme mchumba bali sema ,mdangaji hasomeshwiMdogo wangu rayvanny , najua hujawahi kusoma chuo kikuu na huelewi mazingira ya chuo, hata Kama ndo hivyo jua mchumba hasomeshwi, p funk mwenyewe hawezi kumsomesha Paula nje kwasababu amemdharau, hizo pesa utakazokuwa unamtumia watafaidi younger boys than you atawapa yeye.
Kwanini umtolee ada halaf umsomeshe nje, ulitakiwa kumsomesha hapa hapa, ada unalipa na matumizi unampa pia ,anakaa kwako, anatokea kwako unampa Gari, unamcontrol, Sasa wewe mbaya na una sura mbaya Kama Mimi halaf unaenda kumsomesha msichana long distance trade , ataangukia katika mikono ya mahandsome na watatumiaa pesa zako anazokulipa diamond kulipia Bata , utateseka mno.
Nafurahi Sasa fahyma ataweza pata amani.
Ila kumbuka bongo vyuo vipo vingi, usingeruhusu Paula akasome nje watamtafuna