Rayvanny bwana mdogo, Mchumba hasomeshwi, umeshindwaje asome bongo

Rayvanny bwana mdogo, Mchumba hasomeshwi, umeshindwaje asome bongo

Bora akaliwe na Wazungu kuliko kubaki huku na bado akaliwa.

Maumivu ya kutombewa na mzungu, ina uafadhali kwenye saikolojia. Utajidanganya, basi kawapendea rangi 😂😂😂😂😂.
kwanza wazungu wana vibamia kwa hiyo ni bora mara mia.. sio ampeleke pale CBE akaliwe na mihogo
 
Yes kwa ulaya iyo 18 aendeshe gari wanakuwaga na hamu Sana Tena Sana. Mana anaendesha kwa kujjiiba,ama kwa roads fulanifulani.
Mahusiano Yao na yanadumu Sana sio sir huku tumelaaniwa kila mtu unataka utoke naye.
Hao kuja kuaachana nao ni kazi Sana.
MTT akipenda mzazi anamsikiliza mwanane anachopenda.
Kuna jamaa yangu tukiwa rashia alikuwa anaenda kwao binti akifika wazazi wanampisha anamkula binti Yao nyumbani.
Si ujinga huo sasa?
 
Mdogo wangu Rayvanny , najua hujawahi kusoma chuo kikuu na huelewi mazingira ya chuo, hata Kama ndo hivyo jua mchumba hasomeshwi, p funk mwenyewe hawezi kumsomesha Paula nje kwasababu amemdharau, hizo pesa utakazokuwa unamtumia watafaidi younger boys than you atawapa yeye.

Kwanini umtolee ada halaf umsomeshe nje, ulitakiwa kumsomesha hapa hapa, ada unalipa na matumizi unampa pia ,anakaa kwako, anatokea kwako unampa Gari, unamcontrol, Sasa wewe mbaya na una sura mbaya Kama Mimi halaf unaenda kumsomesha msichana long distance trade , ataangukia katika mikono ya mahandsome na watatumiaa pesa zako anazokulipa diamond kulipia Bata , utateseka mno.
7
Nafurahi Sasa fahyma ataweza pata amani. Ila kumbuka bongo vyuo vipo vingi, usingeruhusu Paula akasome nje watamtafuna
In life jitahidi kufanya kitu kwa ajili ya maisha ya mtu regardless....................
Big up vanny boy huna deni
 
Mimi sidhani kama ishu ya kumsomesha girlfriend ni mbaya kama unao uwezo wa kumsomesha.
Mbaya kama pesa zako ni za mawazo na unasomesha kama investment, ila kama unafanya msaada its ok watu wanasomesha watu baki kabisa.
Sisi kwetu tumesomesha mabeki tatu mpaka vyuoni.
I wish ungemsikia mch Mugogo akitoa mafunzo kuhusu kumsomesha mtu ambaye hujamuoa wala hujafunga ndoa nae, mwisho wake ni kusaga meno.
 
Mnyakyusa wa hovyo kuwahi tokea bas ni huyu Raymond japo yeye anajiita vanny ,yaan dar ilivyojaa watoto wazur ameona huyo Paula ndio kisu haswa had kudiriki kumsomesha Tena nchi za watu huko.

Haka kajamaa katakuja juta Sana huko mbelen maana Paula yule sio demu wa kuweka nae malengo yule ni kupe km kupe wengine na aliye nyuma ya Paula ni mama ake mzaz ,hivyo vanny ajue anadate na kajala hasa kimawazo Ila anadate na Paula kimwili tu .

Game planner hapo ni kajala ,watamkamua wewe mwisho wa siku wahuni wataingilia Kati.

By the way pesa ni yake na ndio matumiz ya pesa so vijana tuendelee kuzichanga tu
 
Paula hakumaliza 6 sijui imekuwaje akapata chuo?
Ki rayvan kilivyo kifupi hata mwezi hautopita handsome wa kizungu na urefu wao kazi imeisha.
Huyo hajaenda kusoma,huo ni mpango wa kajala baada ya kuona mtoto kawa malaya kama yeye bongo hana dili tena akaamua abadilishe mazingira.
Hapo anatafutwa bwana wa kizungu wa kutoa matumizi.
 
Ngoja niwaambie...
Rayvanny yuko kwenye denial state,,,
Mahusiano yake na Paula yalivyojulikana,,,public mlimuonyesha hamu approve hayo mahusiano,,,
So anatumia nguvu kubwa kupingana na nyie as an attempt to restore order in his life! Inawezekana asiwe anampenda Paula kihivyo ila amejikuta kwenye situation ambayo Paula amekua ndio mtu kati,ku fight rejection ameamua kumtumia hugo huyo Paula,Rayvanny mimi nakushauri chukua muda alone, aka muda peke yako huku ukisali utapata jibu tuuu, la yupi ametoka ubavu wako....😊😊😊d
 
Muda ni mwalimu mzuri, muda huvumilia,muda haudanganyi....
 
Huyu mtoto na mamake mbona ni kama wanashindana na Monalisa na mwanae?
Vigezo hawana wamekomaa tu.
 
Paula hakumaliza 6 sijui imekuwaje akapata chuo?
Ki rayvan kilivyo kifupi hata mwezi hautopita handsome wa kizungu na urefu wao kazi imeisha.
Huyo hajaenda kusoma,huo ni mpango wa kajala baada ya kuona mtoto kawa malaya kama yeye bongo hana dili tena akaamua abadilishe mazingira.
Hapo anatafutwa bwana wa kizungu wa kutoa matumizi.
Halafu ukraine kuna mijitu mirefu hatari
 
Back
Top Bottom