Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo makanisa yanajikomba Sana kwa Wana siasa. Jumapili iliyopita alikuwa kwenye kanisa la sloam.Hivi alifikaje kwenye hilo Kanisa? Hivi kuna mtu anaalika hili jamaa kwenye shughuli ya Dini?
Yani chalamila ndio aipige bit TEC?Nachojua ujumbe umefika TEC wajitathmini
Kanisa lisiwe kama vyama vya Siasa ambavyo baada ya kuruhusiwa Kufanya Mikutano badala ya kuhubiri Sera Zao wao wanaporomosha Matusi
Acha hizo. Chalamila huyu aliyembiwa na Rais Samiah apunguze utoto?. Huwezi kuwa seriousUjumbe umefika,akili zako na za ukoo wako hazimfikii Chalamila
Thubutu!RC Chalamila amewakumbusha Wananchi kutochanganya Dini na Siasa kwani Kanisa na Serikal ni Wabia
Chalamila Alikuwa akihubiri kwenye mkutano wa Kanisa la TAG na amewakumbusha kuwa Msajili wa Makanisa Yote ni Serikali hivyo ni vema wakalielewa hilo Siku zote
Chalamila amesema haipendezi kuona Kanisa linajiingiza kwenye Siasa na Kufanya Uchochezi kwani Utulivu wa Kanisa ndio Utulivu wa Serikali
Kanisa lisiwe kama vyama vya Siasa ambavyo baada ya kuruhusiwa Kufanya Mikutano badala ya kuhubiri Sera Zao wao wanaporomosha Matusi
Nawatakia Sabato Njema [emoji3][emoji3]
Mbona unakwepa ukweli?. Acha kupotosha. Yeye kadai Wana uwezo wa kufungia makanisa.Maana yake dini na siasa zikichanganywa kutakua na matabaka mawili yaani waislam na wakristo maana ndio dini kubwa hapa tz
Mkristo akiingia madarakani bhc atakandamiza uislam na pia muislam akiingia madarakani nae atafanya hivo hivo
Xx hamuoni huo ni ukweli?
Rroma ndio Nini?Hao Rroma nmmbwa tu wavuruga amani
Haijawahi kutokea na haitatokea kwa kanisa kukaa kimya huku likiamini raia wa kawaida wanakandamizwa. Miaka yote kanisa ni sauti ya wasio na sauti. Ni sauti ya unabii na kazi ya nabii ni kuonya na hata kukaripia ikibidi. Asome Biblia kwa makini ataona wafalme walivyokuwa wakikaripiwa na manabii pale wanapocheza fyongo kwa watu wa Mungu. Kwa kuwa Chalamila anafaidika na kinachoendelea, hatushangai kusikia kauli kama hizi kutoka kwake!RC Chalamila amewakumbusha Wananchi kutochanganya Dini na Siasa kwani Kanisa na Serikal ni Wabia
Chalamila Alikuwa akihubiri kwenye mkutano wa Kanisa la TAG na amewakumbusha kuwa Msajili wa Makanisa Yote ni Serikali hivyo ni vema wakalielewa hilo Siku zote
Chalamila amesema haipendezi kuona Kanisa linajiingiza kwenye Siasa na Kufanya Uchochezi kwani Utulivu wa Kanisa ndio Utulivu wa Serikali
Kanisa lisiwe kama vyama vya Siasa ambavyo baada ya kuruhusiwa Kufanya Mikutano badala ya kuhubiri Sera Zao wao wanaporomosha Matusi
Nawatakia Sabato Njema [emoji3][emoji3]
ati hamtafanya chochote, huyu jamaa akili yake sijui nifananishe na nini? anaamini wananchi hawatafanya chochote? akili au matope haya?RC Chalamila amewakumbusha Wananchi kutochanganya Dini na Siasa kwani Kanisa na Serikal ni Wabia
Chalamila Alikuwa akihubiri kwenye mkutano wa Kanisa la TAG na amewakumbusha kuwa Msajili wa Makanisa Yote ni Serikali hivyo ni vema wakalielewa hilo Siku zote
Chalamila amesema haipendezi kuona Kanisa linajiingiza kwenye Siasa na Kufanya Uchochezi kwani Utulivu wa Kanisa ndio Utulivu wa Serikali
Kanisa lisiwe kama vyama vya Siasa ambavyo baada ya kuruhusiwa Kufanya Mikutano badala ya kuhubiri Sera Zao wao wanaporomosha Matusi
Nawatakia Sabato Njema 😀😀
Utoto na kuwa na akili ni vitu 2 tofauti harafu hulka ya mtu sio utotoAcha hizo. Chalamila huyu aliyembiwa na Rais Samiah apunguze utoto?. Huwezi kuwa serious
Anatumia ujumbe tuu uwagikie TEC.Unajikuta unamjuua weee Chalamila au siyo?Yani chalamila ndio aipige bit TEC?
Mbona mfano wako ni irrelevant na context iliyopo kuhusu dini na siasa?Sema kusema ukweli
Siasa na dini ni vitu viwili incompatible kabisaaaaa,huwezi changanya pamoja hata siku moja
Ili uweze kufanya maendeleo lazima kuna watu watatumia TU.chukua mfano mzuri tuuh barabara zilivyojengwa kuanzia kimara huko Hadi kibaha ,maduka na majengo ya watu (makali) kibao yalibomolewa lakini sasa hivi ndo wa kwanza kushukiru serikali Kwa upanuzi wa barabara ambayo inawasaidia kufika majumbani kwao Kwa haraka
Broh & sisters maumivu ni Kwa muda tuu
Tuipe muda serikali iamue Cha kufanya mtakuja nishukur
Mpaka unaambiwa upunguze utoto Ina maana hujakomaa kiakiliUtoto na kuwa na akili ni vitu 2 tofauti harafu hulka ya mtu sio utoto
Hamna ubavu wa kiufuta RC hapa nchini. Ni rahisi mno kuifuta CCM kuliko kuifuta RC.Tutafutia usajili izo taasisi zenu
Chalamila ni chawa tu.Anatumia ujumbe tuu uwagikie TEC.Unajikuta unamjuua weee Chalamila au siyo?
Dsm iko kwenye auto mode