Tetesi: RC Gambo adaiwa kupigwa kwenye Mkutano wa CCM Arusha

Status
Not open for further replies.
Duuu kweli duniani hakuna siri habari hii ishafika jf
 
Fake news; RC anayelindwa na bunduki 7.kama sio zaidi unaanzaanza vipi mpaka umshambulie kimwili kwa ngumi, teke au kichwa?! Leta picha hapa tukuelewe vinginevyo wewe ni mchochezi na sheria iko wazi!

Rais mwenye walinzi lukuki anazibwa kibao itakua RC mweye walinzi wawili!!!
 
Fake news; RC anayelindwa na bunduki 7.kama sio zaidi unaanzaanza vipi mpaka umshambulie kimwili kwa ngumi, teke au kichwa?! Leta picha hapa tukuelewe vinginevyo wewe ni mchochezi na sheria iko wazi!
Hata kama unalindwa na bunduki 200, ukileta za kuleta mbele yangu unachapwa tu sana sana nitawekwa ndani na kufikishwa mahakamani watakapoona vema; na bila kujali itachukua muda gani lakini hatimaye nitashinda kesi.

Kama hii story in ya ukweli, hongera nyingi sana kwa katibu!
 
Tulisha sema kuwa hiyo Arusha ina wenyewe
 
Wacha maneno weka ndondi
 
Hahahaha [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] haya sasa hadi wana CCM wananyooshwa
USALAMA na TAKUKURU wamekuwa wajumbe wa CCM [emoji23]
Duuh mkuu au sio wew leo umecoment siasa.
 
Umeanza vizuri maelezo yako ila huko umemalizia kibashite tofautisha kuwaita kwenye vikao vya serikali na vikao vyenu vya kimbeyambeya vya chama
 
Vifaaa havimuachi mtu salama

Ova
 
Yaani Katibu kanipigìa kijana wangu hiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…