Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi vyeo kuna mtu kavipiga kipapai.. Yani mtu akishakipata halafu apewe kipaza sauti aongee mbele ya camera atatoa mashudu tupuMkuu wa Mkoa wa Mbeya Mhe Juma Zuberi Homera amewashauri wanaume wenye matatizo ya upungufu wa nguvu za kiume kuacha kutumia dawa za kienyeji kuongeza nguvu hizo akidai kuwa dawa hizo zina madhara na badala yake watumie vyakula vyenye madini ya Zink yakiwemo maharage aina ya Jesca yaliyofanyiwa utafiti na Taasisi ya Utafiti wa Kilimo (TARI) kituo cha Uyole Jijini Mbeya.
View attachment 1921499
Mashudu vipi wakati hili ni tatizo la taifa zima?,ebho!Hivi vyeo kuna mtu kavipiga kipapai.. Yani mtu akishakipata halafu apewe kipaza sauti aongee mbele ya camera atatoa mashudu tupu
Sent from my Infinix X692 using JamiiForums mobile app
Nani kafanya sensa?Mashudu vipi wakati hili ni tatizo la taifa zima?,ebho!
Ushuzi wake ni balaaMaharage ya mama Jesca
View attachment 1921508
Viongozi wa Tanzania
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] basi wanaume kazi tunayoUshuzi wake ni balaa
Ushuzi wake ni balaa