Nashauri wapelekwe Mloganzira ama Kimanzichana.Kama vipi awapatie usafiri warudi makwao huko kigoma & ukingani
Hawa sio wa kuhangaika kuwatafutia mahali pa kwenda,waking'ang'ania kujibana pembeni ya maduka ya binadamu watwangwe risasi za motoNashauri wapelekwe Mloganzira ama Kimanzichana.
Wanyonge😂Hayati alikosa exposure hakuna mji duniani uko ovyo kama dar,mamalishe anapikia kuni chini ya transfoma pembeni kuna bank mbele kuna jengo la ubalozi.Mungu fundi
Wanyonge wapi wajingaWanyonge😂
Ngoja tuone!Bora hawa watu wakakae sehemu maalumi
Posta hawali kachumbari bwashee?Naunga mkono hoja wapangwe maeneo yanayofanana na biashara zao huwezi uza nyanya posta
Naunga mkono hoja
Kazi Iendelee!
Think tank za shujaa bhana[emoji1787][emoji1787]Posta hawali kachumbari bwashee?