Hawa waliitwa Wanyonge aka Wapiga Kura.Hayati alikosa exposure hakuna mji duniani uko ovyo kama dar,mamalishe anapikia kuni chini ya transfoma pembeni kuna bank mbele kuna jengo la ubalozi.Mungu fundi
Ukishaona kitafuata Nini? Kawahamasishe wafanye vurugu ili lengo lako la kuuona utawala wa bimkubwa haukidhi haja yako!Ngoja tuone!
Hakuna bavicha wa kufanya vurugu nchi hii bwashee!Ukishaona kitafuata Nini? Kawahamasishe wafanye vurugu ili lengo lako la kuuona utawala wa bimkubwa haukidhi haja yako!
Mitaa ya kama unaelekea BOT kuna mwana alikuwa anachoma mshikaki na ndiziHayati alikosa exposure hakuna mji duniani uko ovyo kama dar,mamalishe anapikia kuni chini ya transfoma pembeni kuna bank mbele kuna jengo la ubalozi.Mungu fundi
Kwani ni Nani aliwapatia nauli za kuja Dar as SalamaKama vipi awapatie usafiri warudi makwao huko kigoma & ukingani
Ovyo kabisaMitaa ya kama unaelekea BOT kuna mwana alikuwa anachoma mshikaki na ndizi
Kwengine mtu katundika minguo anauza mitumba,basi vurumaiii
Ova
Ile kauli ya mwendamahoka ya kuwa " msiwafukuze Wala kuwabugudhi kwani ndio walionipa Kura"! Hao walikuwa bavicha? Acha kunywa banana mchana! Unafahamika Sana mtaani kwetu kuwa wewe ni ccm maslahi na mwabudu mwendamahoka!Hakuna bavicha wa kufanya vurugu nchi hii bwashee!
Yaani mji umeharibikaSamora Ave imepoteza hadhi kabisa yake
Ova
Ule ni uchafu tu hao çhinga ni asilimia ngapi ya wapiga kuraHili la wamachinga ni time bomb
Rais Samia asiliendee kichwakichwa, litamuondolea kuaminika na kuungwa mkono na maelfu ya wamachinga akiliendea kwa pupa
Hakuna short term solution kwenye ishu ya wamachinga, linahitaji bajeti, ujenzi wa miundo mbinu ya kuwaaccomodate n. k
Isitoshe, Wamachinga walihakikishiwa na serikali kutosumbuliwa, Sasa Samia atimize ilani na ahadi waliyoitoa kwa wamachina mwaka 2020, la sivyo hii ni hadaa.
Serikali ya Magufuli ambayo Samia alikuwa makamu wake iliwahakikishia Wamachinga kutowasumbua, na hadi 20000 za vitambulisho ikawatoza, Sasa iweje awageuke? —Hii itamsumbua sana Samia, It is a political gamble akifanya hili KWA SASA BILA MIUNDO MBINU YA KUWAACCOMODATE WAMACHINGA
Tuchague moja, kile tunachokiita uchafu wa Machinga, au jeshi la vijana lililokata tamaa kwa kushindwa kujiajiri.
Posta hawali kachumbari bwashee?
Chadema wanashangilia machinga wakikosa pa kufanyia baishara zao ili wapate wateja kwenye mikutano Yao ya siasa.