Omulasil
JF-Expert Member
- May 5, 2015
- 8,015
- 10,269
Utashindana na waliojitoa ufahamu wakiwa na simu zao hutype chochote kupata likeTunapishana uwezo
Mfano mtu anaekuja mjini kuosha magari unahisi anakula wapi?.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utashindana na waliojitoa ufahamu wakiwa na simu zao hutype chochote kupata likeTunapishana uwezo
Mfano mtu anaekuja mjini kuosha magari unahisi anakula wapi?.
Wana siasa kama wa mawazo yenu walipaharibu. Umeona wapi unajenga viriba vya ndege watu waiingie humo ili mradi viwe vingiIla siku magari yakiwazoa wakafa bado atalaumiwa serikali sio?.
taratibu lazima zifuatwe jmn.,
Machinga complex iko pale wamejaa popo tu
Ukipita kwenye lango la chuo cha IFM na Wizara ya Afya ni aibuRC Makala amesema wafanyabiashara ndogondogo jijini Dar es salaam wamekaa bila utaratibu maalumu na barabara zimezibwa na sasa wanalikaribia geti la Ikulu.
Makala amesema hali hii haikubaliki na ni lazima wafanyabiashara hao wapangwe upya katika utaratibu rasmi kwenye maeneo yote ya mkoa na waliopo barabarani na mbele ya maduka au ofisi za watu wengine wataondolewa.
Chanzo: ITV habari!
Hakuna Wakinga Machinga. Wao ndio ambao maduka yao Mitaa ya Kariakoo imezibwa na Wamachinga wa Lindi na Mtwara.Kama vipi awapatie usafiri warudi makwao huko kigoma & ukingani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa unataka wajae Nan? Kila mtu yuko barabaran watu wako wengi wanunuzi.Ila siku magari yakiwazoa wakafa bado atalaumiwa serikali sio?.
taratibu lazima zifuatwe jmn.,
Machinga complex iko pale wamejaa popo tu
Bora hao wenye fremu wakose wapangaji maana wanatoza kodi kubwa sanaHii ingefanyika Tanzania nzima.Hawa wapangishe frame ya duka,ili kuingiza mapato ya serekali kwenye kodi ya zuio(with holding Tax)Frem nyingi kwenye miji,zimejengwa,hazina wapangaji,wakipatikana wapangaji na kodi ya zuio,imepatikana.Wengi wanaingiza faida kubwa,lakini hawalipi kodi.
Kama hakuna wateja wa mihogo wasingepika, hapo inaonesha wateja wapo hivyo ni bora waemdelee kuweposikuhizi mitaa yote ya posta kunakaangwa mihogo yaani ni Moshi Tu wa kuni posta yote
Kwani manzese na posta watu wake wanatofautianaSiasa ndiyo imechangia kuliharibu jiji..wanasiasa wenye mawazo muflisi kama haya ndio wamesababisha jiji limekuwa la vibanda kile sehemu. Huwezi kutofautisha manzese na posta. Na hii imezagaa maeneo yote,...Mwanza kule ndio kabisa hata gari haliwezi kupita.
Unajua umenshushua na nimebaki kucheka mwenyewe lol[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa unataka wajae Nan? Kila mtu yuko barabaran watu wako wengi wanunuzi.
Sasa barabarani humo hata kodi wanalipaje?Wana siasa kama wa mawazo yenu walipaharibu. Umeona wapi unajenga viriba vya ndege watu waiingie humo ili mradi viwe vingi
hii mimi ndiyo naiogopaSubiri kwanza mkuu litokee semi imefeli break ikishachukua roho kadhaa ndio tutachukua hatua.
Sisi ndio tulivyo.
Mimi natamani siku moja gari limpandie yule mtu pale friends corner arusha limvunje kiuno kabisa,amefunga njia ya waenda kwa miguu na ukijaribu kumuomba asogee anakutukana mbaya kabisa,yupo hapo posta ya zamani ukivuka tu barabara kutokea crdb, afie mbali hukoSubiri kwanza mkuu litokee semi imefeli break ikishachukua roho kadhaa ndio tutachukua hatua.
Sisi ndio tulivyo.
Hiyo sehemu ina kero mbaya. Hasa ikifika jioni ndio wale wa soko kuu nao wanajazana barabarani mara hiace na wapiga debe asee kero tupu.Mimi natamani siku moja gari limpandie yule mtu pale friends corner arusha limvunje kiuno kabisa,amefunga njia ya waenda kwa miguu na ukijaribu kumuomba asogee anakutukana mbaya kabisa,yupo hapo posta ya zamani ukivuka tu barabara kutokea crdb, afie mbali huko
mbagala rang tatu je? pale ni janga yan kwanz kuna mrad mkubwa ambao ni aibuni Jambo zuri, yaani wafanyabiashara ndogondogo wamekaa ovyo ovyo afadhali hata viazi.
kariakooo ovyoooo.....hakuna utaratibu unao eleweka biashara zinapangwa hadi kwenye mitaro ya maji taka!!
uongozi upo kama haupo!!
RC Makala anapaswa afanye zoezi la kuwapanga tena mapema iwezekanavyo.
tunatakiwa kuona barabara za mitaa ya tandamti, kongo na mitaa mingine inapitika bila kiziwizi chochote sio kama ilivyo sasa.
Zoezi gumu hili. Ajira hakuna, kila kijana kaamua kuwa mmachinga. Hayo maeneo ya kuwapeleka yako wapi?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] we cheka tyuuh hakna namna.Unajua umenshushua na nimebaki kucheka mwenyewe lol
Pale nahisi wafanya biashara hawako sawa kichwani kupita mbagara Zankem kuelekea rangi tatu unapiga shahada kabisa maana ajali pale ni kawaida hujui ukwepe gari au bodaboda au usikanyage biashara za wanyonge.mbagala rang tatu je? pale ni janga yan kwanz kuna mrad mkubwa ambao ni aibu
Sent using Jamii Forums mobile app