mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 20,925
- 51,688
Ipo siku litalipuka itakuwa balaaPale karibu na hospitali ya Regency Upanga wanapika chakula na kukaanga chips katikati ya transfoma kabisa
nda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ipo siku litalipuka itakuwa balaaPale karibu na hospitali ya Regency Upanga wanapika chakula na kukaanga chips katikati ya transfoma kabisa
nda
Kama sio basi ndugu zao ni Chinga. Unasumbuliwa na mabingwa kwenye keyboard za simu za techno tu.Nilichogundua JF hakuna members ambao ni wamachinga.
Itakuwaje sasa kwa WANYONGE ?Leo RC Makalla amekaa na madiwani kuwaelezea nia yake ya kuwapanga upya wamachinga ktk jiji hili la kibiashara
Chanzo: ITV habari
Wamachinga walipewa Uhuru usiyokuwa na mipanga kiasi kwamba waligeuka kuwa kero kwa kila mtu.
Uamuzi wa RC Makalla uungwe mkono ili hawa wanyonge wafuate utaratibu. Na wawe na maeneo maalumu ya kufanyia kazi zao. Wasizagae hovyo.
Mm nlienda pale ilala nkauliza sandals ya mtumba nkaambiwa 90KLeo nilipita seemu kwa machinga/wanyonge kucheki mtumba wa kiatu naambiwa 60k
Mara nyingi huwa nasema humu kwamba mambo mengi ya humu mitandaoni huwa si picha halisi ya huko mitaani ila watu huwa wananikatalia.Kama sio basi ndugu zao ni Chinga. Unasumbuliwa na mabingwa kwenye keyboard za simu za techno tu.
Hawa nchinga ni watu waliokosa ajira. Biashara huwa ipo mahali inatakiwa iwepo. Mama lishe wapo kwa ajili ya hawa commenters wanaokula wali wa buku , jeuri ya kula hotel haipo.
Mihogo sijui posta ipo kwa kuwa wateja wapo
Ujinga tu na utoto uko humu jf
Ni rahisi kuandika hivyo ukizingatia kuwa kutype kwenye simu yako hakukugharimu kitu chochote.Hawa sio wa kuhangaika kuwatafutia mahali pa kwenda,waking'ang'ania kujibana pembeni ya maduka ya binadamu watwangwe risasi za moto
Afadhali Mwendazake alituchafulia JijiLeo RC Makalla amekaa na madiwani kuwaelezea nia yake ya kuwapanga upya wamachinga ktk jiji hili la kibiashara
Chanzo: ITV habari
Wamachinga walipewa Uhuru usiyokuwa na mipanga kiasi kwamba waligeuka kuwa kero kwa kila mtu.
Uamuzi wa RC Makalla uungwe mkono ili hawa wanyonge wafuate utaratibu. Na wawe na maeneo maalumu ya kufanyia kazi zao. Wasizagae hovyo.
Hayati alikosa exposure hakuna mji duniani uko ovyo kama dar,mamalishe anapikia kuni chini ya transfoma pembeni kuna bank mbele kuna jengo la ubalozi.Mungu fundi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]sikuhizi mitaa yote ya posta kunakaangwa mihogo yaani ni Moshi Tu wa kuni posta yote
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaahKwa kweli maana Samora katikati mama ntulie anachoche Kuni kama yuko kijijini mimoshi kala yoote
Hakika umesema ukweli, pale posta mama lishe wapo kwa ajiri ya wengi, hasa wanafunzi wa IFM.Kama sio basi ndugu zao ni Chinga. Unasumbuliwa na mabingwa kwenye keyboard za simu za techno tu.
Hawa nchinga ni watu waliokosa ajira. Biashara huwa ipo mahali inatakiwa iwepo. Mama lishe wapo kwa ajili ya hawa commenters wanaokula wali wa buku , jeuri ya kula hotel haipo.
Mihogo sijui posta ipo kwa kuwa wateja wapo
Ujinga tu na utoto uko humu jf
Lengo lake lake lilikuwa moja tu kuwatumia kuandamana kuunga azimio la bunge la kumuongezea miaka ya kutawala. Ndo hivyo Mungu ni fundi.Hayati alikosa exposure hakuna mji duniani uko ovyo kama dar,mamalishe anapikia kuni chini ya transfoma pembeni kuna bank mbele kuna jengo la ubalozi.Mungu fundi
Yeye anajua hilo? Akishakua kwenye kiyoyozi akili yake yote inahama.Ni vyema mkuu wa mkoa akawaacha watuwafanye biashara huria la sivyo uhalifu unaweza kuongezaka mtaani maradufu.
Hivi kuna watu wanakula kweli hivyo vyakula? Mimi siwezi na watu wote wangekuwa na moyo kama mimi hao mama ntilie wangekuwa wameshaacha kufanya hiyo biashara barabaranisikuhizi mitaa yote ya posta kunakaangwa mihogo yaani ni Moshi Tu wa kuni posta yote
Sio kweli,uhalifu ni tabia ya mtuNi vyema mkuu wa mkoa akawaacha watuwafanye biashara huria la sivyo uhalifu unaweza kuongezaka mtaani maradufu.