RC Makala: Wafanyabiashara ndogo ndogo kupangwa upya Dar es Salaam, walioko barabarani kuondolewa

Mh Makala, tunaomba pia mfukuze Bashite hapo dsm aende koromije, hana kazi na haijulikani anachokitafuta dsm hadi sasa.tafadhali aongozane na ombaomba watakaoshushwa pale Dodoma.
 
Mbna mlikuwa mkitetea kila alichokuwa akifanya mwendazake?????naww ukaamua kuweka na picha yake kabsa
 
Wengine wanapikia majiko ya gas Kando ya barabara, pembeni kuna majiko ya mkaa au moto wa kuni karibu na mtungi wa gas
 
Mji mzima umejaa vibanda
Mji unaonekana kama vijiji vya Vietnam
Zamani

Ova
 
Kuna machinga wamejenga mabanda yaani utadhani maduka ya nguo baadhi ya maeneo, leo hapo ubungo darajani upande wa msikiti nimekuta ugomvi jioni hii mtembea kwa miguu amekanyaga Nyanya daah nimeacha timbwili hapo.....wamepanga service road yote.
Sehemu za kupita kwa miguu unakutana na foleni sababu ni machinga
 
Tatizo hapa sio kupangwa tungeni sheria upya waambieni baada ya miaka mitatu mtahamia kule tulikowatengea maeneo,nyie tambueni neno machinga limeficha Familia.sio kutamka machinga tu
 
Hili naliunga mkono, na TANROADS nao wawekeze katika kusafisha barabara kwa kutumia sweepers yale magari sio manual na pia mifereji kwa kushirikiana na wenyeji au wafanyabiashara
 
Wakati mwigine nawaza kuwahoji id za nida HAWANA uwoga kabisa kama mtanzania
 
Chadema wanashangilia machinga wakikosa pa kufanyia baishara zao ili wapate wateja kwenye mikutano Yao ya siasa.
Stroke man sijui unafeli wapi kila muda kuiwaza chadema tu, hali iliyokuwa kariakoo unaona sawa vile?
 
Mkuu kwa namna yeyote ile ya kuwashugulikia wamachinga wote waliotapakaa Dar ni ngumu. Itakuwa ni vigumu kuwapatia wote sehemu ya kufanyia biashara. Nadhani kuwe na plans 2. Plan ya kwanza, kwa wale wenye uwezo wa kulipa kodi la pango - wapewe/wajengewe sehemu za biashara kama ile ya machinga complex. Wale ambao hawana uweze wa kulipa kodi watafutiwe eneo nje ya Dar wawekewe miundombinu ya kilimo au shughuli nyingine yeyote ya ujasiliamali kama wale waliopelekwa Gezaulole, wakaazishe vijiji huko. Ilikuwa vigumu kuanza lakini leo Gezaulole ni mji mdogo unaopendeza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…