Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 12,675
- 25,924
Mh Makala, tunaomba pia mfukuze Bashite hapo dsm aende koromije, hana kazi na haijulikani anachokitafuta dsm hadi sasa.tafadhali aongozane na ombaomba watakaoshushwa pale Dodoma.Leo RC Makalla amekaa na madiwani kuwaelezea nia yake ya kuwapanga upya wamachinga ktk jiji hili la kibiashara
Chanzo: ITV habari
Wamachinga walipewa Uhuru usiyokuwa na mipanga kiasi kwamba waligeuka kuwa kero kwa kila mtu.
Uamuzi wa RC Makalla uungwe mkono ili hawa wanyonge wafuate utaratibu. Na wawe na maeneo maalumu ya kufanyia kazi zao. Wasizagae hovyo.
Ni rahisi kuandika hivyo ukizingatia kuwa kutype kwenye simu yako hakukugharimu kitu chochote.
Nimeandika wapi magu we boya
Naunga hoja,na hili lisiishie Dar pekee,lisambae majiji yote,mwaka huu kidogo nigongwe na coster nikiwa Mwanza maeneo ya Natta kisa vibanda vya machinga maaana sikuweza kuona gari lililokuwa upande wangu kwenye Kona
Mungu alikuwa upande wangu ,nashukuru Niko mzima lakini Hawa watu ni hatari Sana kwa afya za biniadamu wenzao
😂😂😂Nashauri wapelekwe Mloganzira ama Kimanzichana.
Sehemu za kupita kwa miguu unakutana na foleni sababu ni machingaKuna machinga wamejenga mabanda yaani utadhani maduka ya nguo baadhi ya maeneo, leo hapo ubungo darajani upande wa msikiti nimekuta ugomvi jioni hii mtembea kwa miguu amekanyaga Nyanya daah nimeacha timbwili hapo.....wamepanga service road yote.
Hili naliunga mkono, na TANROADS nao wawekeze katika kusafisha barabara kwa kutumia sweepers yale magari sio manual na pia mifereji kwa kushirikiana na wenyeji au wafanyabiasharaLeo RC Makalla amekaa na madiwani kuwaelezea nia yake ya kuwapanga upya wamachinga ktk jiji hili la kibiashara
Chanzo: ITV habari
Wamachinga walipewa Uhuru usiyokuwa na mipaka kiasi kwamba waligeuka kuwa kero kwa kila mtu.
Uamuzi wa RC Makalla uungwe mkono ili hawa wanyonge wafuate utaratibu. Na wawe na maeneo maalumu ya kufanyia kazi zao. Wasizagae hovyo.
Bahati mbaya gusa bidhaa yao uone matusi yaoSehemu za kupita kwa miguu unakutana na foleni sababu ni machinga
Taratibu mkuu, hujafa hujaumbika!!Hawa sio wa kuhangaika kuwatafutia mahali pa kwenda,waking'ang'ania kujibana pembeni ya maduka ya binadamu watwangwe risasi za moto
Stroke man sijui unafeli wapi kila muda kuiwaza chadema tu, hali iliyokuwa kariakoo unaona sawa vile?Chadema wanashangilia machinga wakikosa pa kufanyia baishara zao ili wapate wateja kwenye mikutano Yao ya siasa.
Are you a human being or a robot?Hawa sio wa kuhangaika kuwatafutia mahali pa kwenda,waking'ang'ania kujibana pembeni ya maduka ya binadamu watwangwe risasi za moto
Mkuu kwa namna yeyote ile ya kuwashugulikia wamachinga wote waliotapakaa Dar ni ngumu. Itakuwa ni vigumu kuwapatia wote sehemu ya kufanyia biashara. Nadhani kuwe na plans 2. Plan ya kwanza, kwa wale wenye uwezo wa kulipa kodi la pango - wapewe/wajengewe sehemu za biashara kama ile ya machinga complex. Wale ambao hawana uweze wa kulipa kodi watafutiwe eneo nje ya Dar wawekewe miundombinu ya kilimo au shughuli nyingine yeyote ya ujasiliamali kama wale waliopelekwa Gezaulole, wakaazishe vijiji huko. Ilikuwa vigumu kuanza lakini leo Gezaulole ni mji mdogo unaopendeza.Hili la wamachinga ni time bomb
Rais Samia asiliendee kichwakichwa, litamuondolea kuaminika na kuungwa mkono na maelfu ya wamachinga akiliendea kwa pupa
Hakuna short term solution kwenye ishu ya wamachinga, linahitaji bajeti, ujenzi wa miundo mbinu ya kuwaaccomodate n. k
Isitoshe, Wamachinga walihakikishiwa na serikali kutosumbuliwa, Sasa Samia atimize ilani na ahadi waliyoitoa kwa wamachina mwaka 2020, la sivyo hii ni hadaa.
Serikali ya Magufuli ambayo Samia alikuwa makamu wake iliwahakikishia Wamachinga kutowasumbua, na hadi 20000 za vitambulisho ikawatoza, Sasa iweje awageuke? —Hii itamsumbua sana Samia, It is a political gamble akifanya hili KWA SASA BILA MIUNDO MBINU YA KUWAACCOMODATE WAMACHINGA
Tuchague moja, kile tunachokiita țţţuchafu wa Machinga, au jeshi la vijana lililokata tamaa kwa kushindwa kujiajiri.
Mkuu wamachinga wa Lindi na Mtwara ndio hasa wamachinga original, wao hutembea na biashara zao barabarani, hawachafui mji.Hakuna Wakinga Machinga. Wao ndio ambao maduka yao Mitaa ya Kariakoo imezibwa na Wamachinga wa Lindi na Mtwara.