RC Makalla: Kuanzia usiku wa leo hakuna Panya Road atasalimika, operesheni inayoanza si salama kwao

alafu yule bibi alikuwa anawabembemleza
Anayekuambia uchukue mkopo si atakayekuja kukudai ukishindwa marejesho.

Hii nchi ina raisi mwenye sauti ya kubembeleza ila inalindwa na watu katili sana.
 
Mkuu hao panya ni tatizo!
Polisi wakiwa kwenye defender lao wakakutana na hao panya wanageza au wanapita kwa kasi wanaondoka!

Polisi kuwakamata panya labda wakiwa mmoja moja huko mtaani na sio kwenye tukio.

Shida inakuja baada ya kuwakamata mtaani utathibitishaje kama kweli ni muhalifu?

Ndo hapo ktk op kama hii iliotangazwa wataumia wengi tu ambao hawahusiki, kuna namna nyingi tu za kuzibiti uhalifu sio lazima iwe nguvu kwa nguvu.

Unaweza kuzuia uhalifu kwa kutumia nguvu lakini mentality ya uhalifu unaiondoaje kwa nguvu?
Nategemea operation itafanikiwa kwa muda tu na baadae maisha yataendelea vile vile!
Kwasababu hakuna kilichobadilishwa.

Ni kwa nn kundi la watu zaidi ya 100 wanakubaliana kuvamia kujeruhi na kuiba? Lazima kuna tatizo linarukwa na kujikita kwenye matokeo. Ni kama inshu ya singo maza tu!
 
Hizo link za zoom ni za mda kidogo,nlifikiri ungenitajia duka maalum wanalouza recently
 
Hapo panya road wajiandae tu,
Ni mwendo wa kunyang'anywa mapanga kisha wanapelekwa kwenda kuonyesha sehemu wanapoficha mapanga yao.
Wakifika huko panya wengine wanakuja kuwaokoa panya wenzao kisha yanatokea majibishano ya mapanga kati ya panya road na askari wetu, ila kutokana na weledi wa askari wetu wanafanikiwa kupambana kimedani mpaka panya wanachanyikiwa na kwa bahati mbaya wanaanza kukatana mapanga wenyewe kwa wenyewe na kujeruhiana vibaya sana.
Askari wetu wakiwa wanawawahisha hospital bahati mbaya panya wanapoteza maisha wakiwa njiani kutokana na kupoteza damu nyingi kwenye majeraha waliyopata.

Mimi binafsi naunga mkono panya wote wanyang'anywe mapanga yao haraka iwezekanavyo kabla hawajaleta athari kubwa zaidi katika jamii.
 
Hao panya ni watoto tu wasio na adabu na malezi mabovu.
Hawana ubavu wa kwenda kujibishanan na polisi wenye AK 47 na mabati yaliyochongwa.
 
Kwenye kuokoa kuna wanaopona na kufa, so issue ya watakaorudi ni nafuu warudi na vilema vya kudumu, mfano mtu anarudi akiwa hana pua, masikio na vidole vya miguuni, nyonga imelegezwa kama mlenda!.
Kuna wale wanarudi huoni majeraha ua milele na maumivu yasionekana, hiyo inakuwa mpaka kiakili wanakuwa hawako sawa. Inapaswa kuwa special case.
 
Afadhali wamefanya yao kabla ya sikukuu...

wadhibitiwe mapema...

Mazalia ya omba omba hayo..watoto hawana kwao!
Wana kwao na wengne wanahudumia familia kwa kaz hii haramu. Wazazi wengne wanajua kaz wanazofanya watoto wao na wamebarik
 
Haha, kuna watu wapuuzi sana. Watadai haki za kibinadamu zinavunjwa. Za wengine wanaofata sheria, wanaoibiwa,kupigwa, kuuawawa, kutoweza kutembea kwa uhuru hazivunji.

Tunajali haki za wahalifu tu.
Anandugu yake mwalifu au nae ni mwizi huyoooo. Wachache wafe kwa maslah ya weng
 
Acha wauwawe hata dini ,inasema anaye uwa na yeye auwawe ,kumbuka operation iliofanyika Boston miaka kadhaa iliopita ,kuna wakat maamuzi yakikatili ndio uleta tija kwa umma!!
Aiwezekan panya road wanasumbua kisha jamii inayo ishi nao eti haiwafaham sikweli kabsa.
Mtaan watu wanajuana kibaka nan mvuta Bhangi yup na mpenda madem nani!?
Kwa wanaojielewa Kwenye operation hizi aziwakut sehem atarish maana taarifa unayo!!
Na ukikutwa lazima uwajibike
 
Kitendo Cha kuongezeka kwa matukio ya uhalifu ni dhahiri kwamba maisha ni magumu Sana na tutashudia mengi Sana haya ya Panya Barabara ni mwanzo tu
Maisha kuwa magum awakupatii kibali cha kudhuru watu na kuwaibia ,tumetokea huko huko ,kushindia andaz Moja had jion ,tena unavuta mda chai unakunywa saa Sita au saba kasoro ili izibe gap ya lunch, na atujawai dhuru mtu , hawa ni majambazi ,na wameyachagua Maisha hayo na lazima waangamizwe kwa gharama yoyote
 
Wasiojulikana waingilie Kati basi mchezo uishe
 
Hao panya ni watoto tu wasio na adabu na malezi mabovu.
Hawana ubavu wa kwenda kujibishanan na polisi wenye AK 47 na mabati yaliyochongwa.
AK 47 unaifahamu? Yani waende kukamata watoto na AK 47! Wacha masihara hiyo ndude inatumika Ukraine na si kwa panya.

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Suluhisho siyo kuwamaliza ila kuwawekea mazingira rafiki ya kujipatia riziki halali. Nguvu ya Dola kamwe haiwewiki watu huru
Unaambiwa ni vijana wa 14- 18 years. Wanavuta bangi, kunywa pombe na kutumia madawa mengine ya kulevya. Umri huu ni kuwa wamekosa ajira ama wameasi masomo na kuingia mtaani kufanya uhalifu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…