kamdudu
JF-Expert Member
- Jan 20, 2015
- 2,007
- 1,931
wengi walikuwepo sasa hv wako wapi ?Kisheria, mtu akifanya biashara kwenye hifadhi ya barabara ni faini Tsh. 300,000 au kifungo kisichozidi mwaka mmoja. Mkuu wa Mkoa amebainisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wengi walikuwepo sasa hv wako wapi ?Kisheria, mtu akifanya biashara kwenye hifadhi ya barabara ni faini Tsh. 300,000 au kifungo kisichozidi mwaka mmoja. Mkuu wa Mkoa amebainisha
Itabidi uhamie maeneo yaliyopangwa kwa ajili ya vileo!Anataka kuwaua?
Nahesabu siku maana hazigandiMkuu wa mkoa wa Dar es salaam mh Amos Makalla amesema endapo baada ya tarehe 30/11/2021 Wamachinga wataendelea kuonekana katika maeneo yasiyo rasmi basi yeye na Wakuu wake wa wilaya watakuwa HAWATOSHI.
Source: Star
Jumaa kareem!
We mpuuzi wewe ndiyo maana ulifukuzwa udereva, hahahahaaItabidi uhamie maeneo yaliyopangwa kwa ajili ya vileo!
Najaribu ku imagine hii kauli angetoa na Makonda enzi zake..Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam mh Amos Makalla amesema endapo baada ya tarehe 30/11/2021 Wamachinga wataendelea kuonekana katika maeneo yasiyo rasmi basi yeye na Wakuu wake wa wilaya watakuwa HAWATOSHI.
Source: Star
Jumaa kareem!
Mmepangiwa pale Manzese!We mpuuzi wewe ndiyo maana ulifukuzwa udereva, hahahahaa
Tip top, darajani, Bharasa, Agentina au?Mmepangiwa pale Manzese!
Vibaka wanahusika zaidi na RPCUlevi wa madaraka ni kitu kibaya kweli. Leo Makalla anawawinda wamachinga kuliko hata vibaka!? Kwanini asiseme kama wizi/ ukabaji utaendelea Dar es salaam atakuwa hatoshi????
Wamachinga komaeni hadi tarehe Iyo, sema wabongo utamaduni wa kujiuzuru hawana huyu angeondoka
Nyuma ya Moshi hotel hapo hapo tip top!Tip top, darajani, Bharasa, Agentina au?
RC ni mkuu wa RPC, hivyo anatakiwa ahakikishe anapambana na wahalifu sambamba kama anavyopambana na wamachinga.Vibaka wanahusika zaidi na RPC
Hahahaha huwa unashinda hapo karibu na posta mpuuzi wewe ndiyo maana ulindwa kuishi KatoroNyuma ya Moshi hotel hapo hapo tip top!
Watakuana wenyewe. Sisi Walimu hayatuhusu.Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam mh Amos Makalla amesema endapo baada ya tarehe 30/11/2021 Wamachinga wataendelea kuonekana katika maeneo yasiyo rasmi basi yeye na Wakuu wake wa wilaya watakuwa HAWATOSHI.
Source: Star
Jumaa kareem!
Yeye ameanza na Machinga.RC ni mkuu wa RPC, hivyo anatakiwa ahakikishe anapambana na wahalifu sambamba kama anavyopambana na wamachinga.
Sirro huyuhuyu aliyesema wananchi walale na Mapanga na mikuki!! Unamuamini?Yeye ameanza na Machinga.
Sirro alishakaa na wenyeviti wa serikali za mitaa na kuweka mikakati ya kuwashughulikia vibaka !