Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Huyo naye ataondoka kwa aibu kama walivyoshindwa wenzake.Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam mh Amos Makalla amesema endapo baada ya tarehe 30/11/2021 Wamachinga wataendelea kuonekana katika maeneo yasiyo rasmi basi yeye na Wakuu wake wa wilaya watakuwa HAWATOSHI.
Source: Star
Jumaa kareem!
Dsm haijawahi kumuheshimu mwana siasa mtafuta sifa.