Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
AnaonekanaTatizo lake ni ulevi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AnaonekanaTatizo lake ni ulevi
Kwao kutumia mabavu ndiyo njia sahihi ya kuongozaAibu sn hawa viongozi wa CCM
Yupo bar muda huuAnaonekana
Wapuuzi mnoKwao kutumia mabavu ndiyo njia sahihi ya kuongoza
Kwa hiyo machinga washakuwa majangili sasa,ni vijana tu wenye nguvu zao ambao wameamua kujitafutia riziki iliyo halali sema sio maeneo rasmi...wakigeuza mindset zao na kuwa majambazi sijui kama utakuja kutoa kauli kama hiyo ya kuvimbilwa.
Wanategemea kutoka ndo wale mkuu.na pia mzunguko katika biashara za jumla utashuka.yani akuna biashara ambayo haitoguswa na hl swala.mana wanapopelekwa ndipo walipotoka na kuja barabrani.wangepewa elim dheni na kipindi kirefu wajiandae pale poleHili ni pigo aisee
Wale wa maduka kariakooo wanachekelea wakati wanunuzi wao ndio hao wamefukuzwa, sababu walikuwa wanatoa bidhaa madukani wanauza barabaraniWanategemea kutoka ndo wale mkuu.na pia mzunguko katika biashara za jumla utashuka.yani akuna biashara ambayo haitoguswa na hl swala.mana wanapopelekwa ndipo walipotoka na kuja barabrani.wangepewa elim dheni na kipindi kirefu wajiandae pale pole
Tatizo hao watendaji wenyewe ni wamachinga
Tawire mh.Mkuu wa mkoa.....💪Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Amos Makalla amewataka watendaji wa mitaa kulinda maeneo yao, kuhakikisha wamachinga waliohamishwa hawarudi tena maeneo hayo, wakikuta kibanda watajua watendaji wanahusika.
Amesema wamachinga wakirudi katika maeneo waliyohamisha itamaanisha yeye hatoshi kwenye nafasi yake. Na amewataka Taasisi, shule na mashirika yalinde maeneo yao wamachinga wasivamie.
Kisheria, mtu akifanya biashara kwenye hifadhi ya barabara ni faini Tsh. 300,000 au kifungo kisichozidi mwaka mmoja. Mkuu wa Mkoa amebainisha.
Kwa hiyo majambazi wanaweza kuizidi Serikali?!!! Kweli kabisaaa?!!Kwa hiyo machinga washakuwa majangili sasa,ni vijana tu wenye nguvu zao ambao wameamua kujitafutia riziki iliyo halali sema sio maeneo rasmi...wakigeuza mindset zao na kuwa majambazi sijui kama utakuja kutoa kauli kama hiyo ya kuvimbilwa.