RC Makonda aandaa sherehe Arusha. Anatarajiwa kuchinja ng'ombe 200

Kudos kamarada [emoji7]

Hapo umenena....

Makonda is a real son of Tanzania [emoji7]
 
M170 ofisi ya mkoa haina!?
Ofisi ya Mkoa haina hiyo hela.

Kwani hujui Zinazokusanya Kodi ni Halmashauri pekee? Mkoa husubiri fedha za Uendeshaji wa ofisi tu (OC )kutoka Serikali KUU tu

Hivyo hawana huo ujanja wa kutumia milioni 170 kuzitumbua kwenye sherehe pekee wakati fedha zao za OC nadhani Kwa Mwaka hazizidi 200M
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…