Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
lengo ni hiyo kafaraKwani wengi wanaanzia wangapi!? Tunahtaji ziongezwe 100 zingne huku ili ziwe 300.
Jabali, nguli wa siasa na propaganda Tanzania paulo makondaMkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda amesema ng’ombe takribani 200 watatolewa kwa ajili ya kuchoma nyama, tukio linalolenga kuimarisha uhusiano kati ya wafanyabiashara wa mkoa huo na viongozi wanaoshiriki kikao kazi cha Wenyeviti wa Bodi na Wakuu wa Taasisi za Umma.
“Ng’ombe kama 200 hivi watachinjwa, ni kuchoma nyama tu hakuna ugali wala wali, lakini tumewaita wafanyabiashara wote wa Mkoa wa Arusha” amesema Makonda
Ametangaza kufanyika kwa sherehe ndogo Agosti 29, 2024 kwa lengo la kuwakutanisha wafanyabiashara wa Arusha na Wenyeviti wa Bodi na Wakuu wa Taasisi za Umma.
Anakumbusha enzi za Sokoinemaswali yaliyo jaa fikra za kimaskini sana haya dah 🐒
Maelekezo anafuata Toka kule alipopotelea Kwa siku zaidi ya 14!Babu ulienda kuchungulia kwenye chungu, ukaona , maana 2025 chochote kinaweza kutokea,
Unasemaa?Kutoka kwa mh.Mbowe.....