RC Makonda atembelea kituo cha daladala Makumbusho. Ahimiza usafi, aruhusu bodaboda, Bajaji kuingia mjini

RC Makonda atembelea kituo cha daladala Makumbusho. Ahimiza usafi, aruhusu bodaboda, Bajaji kuingia mjini

Hili jambo sio rahisi namna hiyo...ndo maana ntaendelea kuunga mkono kauli ya rais ya kuendelea kuchapa kazi kwa tahadhari
 
Ni ushauri tu.

RC Makonda amewaomba wenye nyumba na majengo kuwapunguzia kodi wapangaji wao kwa 50% katika kipindi hiki cha ugumu wa uchumi unaosababishwa na Corona.
Ni ubunifu mzuri.

Naomba RC Makonda aifikishe Nia hii njema pale bungeni kwa Spika Ndugai ili awapunguzie posho wabunge wanaohudhuria bunge kwa mafungu tena kwa saa 4 tu kwa siku yenye saa 24.

Nawasilisha

Maendeleo hayana vyama!
Mawazo mazuri sana,lakini hapa wote watapinga bila kujali ni wa chama gani.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

macson
 
Ni ushauri tu.

RC Makonda amewaomba wenye nyumba na majengo kuwapunguzia kodi wapangaji wao kwa 50% katika kipindi hiki cha ugumu wa uchumi unaosababishwa na Corona.
Ni ubunifu mzuri.

Naomba RC Makonda aifikishe Nia hii njema pale bungeni kwa Spika Ndugai ili awapunguzie posho wabunge wanaohudhuria bunge kwa mafungu tena kwa saa 4 tu kwa siku yenye saa 24.

Nawasilisha

Maendeleo hayana vyama!

Yeye Makonda mbona hajasema mshahara wake upunguzwe, anapangia hela za wanaume wengine?
 
Ni kweli kuna baadhi ya mambo wangepunguza kwa kupindi hiki cha mpito
Sisi huku kufa kufaana mpaka mishahara watatoa kwa 80% na parking za magari ni bure mpaka further notice
Kuna makampuni ya simu miezi 3 hakuna kulipa
Na mambo mengi sana
Ila biashara nyingi sana zimefungwa huku na watu tumelala tu
Tuombe Mungu yapite maana ni janga kubwa sana hatujawahi kuona


Sent from my iPhone using Tapatalk
Kweli kabisa mkuu huu ugonjwa maafaa yake hayata zibika!
Tuombe Mungu aweke mkono wake kwenye Bara la Africa!
 
Jana mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam ameruhusu Bodaboda na Bajaj kuingia katikati ya Jiji na kutoa huduma ya usafiri kama sehemu ya kukabili tatizo la usafiri wakati wa kukabili janga la COVID-19.

Bila shaka baada ya tangazo hilo kampuni ya madalali ya TAMBAZA na wale askari njaa waliokuwa wakizunguka mjini na kuwakamata Bodaboda kwa visingizio mbalimbali wamepata ugonjwa wa moyo. TAMBAZA sambamba na Askari waliokosa uadilifu waligeuza zoezi hilo kitega uchumi cha Jiji, wanakamata pikipiki za watu na kulazimisha zipelekwe kwenye Yard yao pale Keko Darajani ambapo ikishaingia tu pale lazima kulipia 20,000 kwa siku kama gharama ya kuilaza. Wakati mwingine wamekuwa wakilazimisha wapewe hela na vijana hawa wanaojitafutia maisha.

Ni ombi langu kama ambavyo agizo la level City imesemwa kuwa ni endelevu, basi huu utopolo wa TAMBAZA na hawa Polisi uchwara uondoke na CORONA. Vinginevyo yatarajiwe maafa kutokea katikati ya Jiji maana kampuni hii imekuwa inafanya vitendo vya kizalimu wanapokamata hizo pikipiki: wanawapiga, kuwaumiza na wakati mwingine kuwasababishia ajali vijana wa watu.
 
Ni wazo zur ila mbona hajashauri serikali ipunguze kodi, mbona yeye hajasema apunguziwe mshahara,mbona wabunge wazee wa ndiyo hajawasema washushe posho zao? Kwanini wanasiasa hajawataget? Hapa ni kubwabwaja ili mtu aonekane a napenda watu kw kutumia jasho la wengine watu wampuuze tu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkusanyiko upi usio wa lazima umeletwa na kwa ushahidi upi,ujue nyie vijana mnaochipukia kwa kupingapinga kila Jambo hua mnashangaza Sana ila si walaumu huwenda Ni tatizo la lishe na kutokujitambua flani ivi kiongozi akisimama na kutoa go-ahead ya nini kifanyike na ipi tadhari ichukuliwe Apo unaona Ni mkusanyiko usio wa lazima ulitaka kuona awo wanaojita makamanda ushuzi wakisimama na mihogo mkononi na masauti ya gongo yakihimiza mandamano nchi nzima

CCM DAMUDAMU!!!,CHAMA CHA MAMA &BABA
Kwani kama angeita waandishi ofsni kwake border boda wasngepata ujumbe?hivi shule zenu bado hazjawasaidia?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aanze yy kwanza kuuza yale magar yake aliyoyapata kitapel
Ni ushauri tu.

RC Makonda amewaomba wenye nyumba na majengo kuwapunguzia kodi wapangaji wao kwa 50% katika kipindi hiki cha ugumu wa uchumi unaosababishwa na Corona.
Ni ubunifu mzuri.

Naomba RC Makonda aifikishe Nia hii njema pale bungeni kwa Spika Ndugai ili awapunguzie posho wabunge wanaohudhuria bunge kwa mafungu tena kwa saa 4 tu kwa siku yenye saa 24.

Nawasilisha

Maendeleo hayana vyama!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yeye Makonda mbona hajasema mshahara wake upunguzwe, anapangia hela za wanaume wengine?

Huyu Mhe.Makario Makonda ana virusi vya uzezeta.

Swala kuhusu CORONA tumeambiwa wasemaji wa Serikali ni 4 tu: PM Majaliwa, Waziri wa Afya Ummy Mwalimu,Makamu Rais au Rais mwenyewe!

Sasa huyu kidudu mtu anatoa wapi Mamlaka ya KUBADILI taratibu za Usafiri kwa Wana Dar kwa kisingizio Cha kupambana na Corona-V?

Kwa kuruhusu Bodaboda kuingia Katikati ya Jiji Makonda ana uhakika gani itasaidia kupunguza maambukizi?

Hivi maambukizi yakizidi kuongezeka kwa Wana Dar kwasababu ya kumsikiliza huyu RC mwendawazimu Serikali itawaambia Nini Watz?

Mungu aepushie mbali!
 
Back
Top Bottom