Acha professionals wengine wade tu walimu watawafundisha tutapata hao madaktari sijui mainginia sijui wagavi na wanasiasaUnawaonea gere walimu?
Ni kweli,katika mitandao ya kijamii ni lazima kuwaza mara mbili kabla ya kuandika na ni kweli mimi ni muoga ila nashukuru kama mmeligundua hilo.umeandika kwa uoga, bora hata usingeandika, kwa hiyo watu wachangie kuhusu RC yupi na kakosea nini? ukiwa humu jaribu kuwa jasiri kwa kike unachokiamini!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mpuuzi huyu, hata haelewi chochote kuhusu Covid 19 na tahadhari zinazopaswa kuchukuliwa ili Kupunguza kasi ya maambukizi"Tokeni kafanyeni kazi eti Watu wanafunga maduka, wanajifungia majumbani kisa Corona, mtakufa na njaa, ndio maana leo nawafuatilia wakandarasi, sasa nimkute mkandaraai hayupo site kisa corona, kuna wapuuzi huko wanasema Serikali inadanganya idadi imeongezeka, kwenu kuna Mtu amekufa na corona?, kuna Mtu kwenu anaumwa corona?, hiyo idadi imetoka wapi?" - Paul Makonda, RC DSM
Good work our focused leader
======
Wananchi wanaingia hasara kwa kukwepa majukumu yao huku mambo yakienda tofauti wanaanza kuilalamikia serikali ili iweze kupatia msaada.
Amesema hayo leo mkuu wa mkoa wa Dar es Salaaam Mh Paul Makonda wakati akikagua mradi wa TARURA katika eneo la Kinondoni shamba ambapo kumekuwa na mgogoro baina ya TARURA na wananchi wa eneo hilo.
Pia amewataka wananchi kuacha kujifanya wajuaji wakati tatizo linapokuwa kubwa kwasababu wakati watu wanaingia katika eneo la mradi ambalo hawatakiwi kuvamia.
Vilevile amewataka wananchi kufanya kazi huku wakichukua tahadhari ya ugonjwa wa Corona wasikae ndani watafute hela ili wasije wakafa na njaa.
“Tokeni ndani mkafanye kazi Corona isiwe kigezo cha kujifungia ndani tumepambana na magonjwa mengi ikiwemo kipindupindu na magonjwa mengine tufanye kazi huku tukichukua tahadhari’amesema Makonda.
Aidha Makonda amekukagua miradi ya barabara inayotekelezwa na TARURA katika wilaya ya Ilala na Kinondoni kujua maendeleo ya miradi hiyo.
“Barabara ni ahadi ya muda mrefu ya Mh Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dk John Magufuli ijengwe kutoka makao makuu wa Bakwata hadi Biafra”amesema Makonda.
Hatahivyo amepokea taarifa ya mgogoro kutoka kwa wananchi wa eneo lile kwa kutaka kuvunjiwa nyumba zao bila kupata fidia na walio lipwa wapo na hawajipotiwa na barabara hiyo.
Aidha amewataka wananchi kuwa atatuma kamati yake ifanye ukaguzi na wataanza jumatatu ili walete majibu kamili ili mradi huo uende kwa haraka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisa bata liliwe time yao hiiAcha professionals wengine wade tu walimu watawafundisha tutapata hao madaktari sijui mainginia sijui wagavi na wanasiasa
Imagine wakifa walimu nani wanafundisha?
Hii govt ikon very clever walimu pumzikeni hiki kisanga kipite mtarudi kuendelea kutengeneza hao other proffesionals
Where?Mtanzania mwenzangu nakushauri ukae tu nyumbani kama huna ulazima wa kutoka, Corona is real, people dying jamani,
Kama una kieneo kwako panda hata bustan ya mboga mboga itakukimu, uchumi umeshake duniani.
The best Medicine of Corona is to Stay Home.
Rais wa Brazil alishaawambia wanachi wake wachape kaziMh tumekusikia waswahili wanamsemo...akili zakuambiwa changanya na zako...ndio tumechanya akili tayari na majibu umeyaona katika ziara uliyofanya tukirejea taarifa za mataifa mengine wanachofanya siamini watakuwa hawakuliona ulilotamka hususan nchi za dunia ya tatu tusicheze kamali na maisha kama mfanya biashara au taasisi imeamua kufunga shughuli zake kwa mda usilazimishe/shawishi jambo zito liwe jepesi...
Hivi wqmefunga shule kwa Nini sasaBasi hata kunawa usiwe una nawa Yan endelea na maisha yako vile vile kama zamani
Ujaandikiwa kufa na corona
Dar ina rc"Tokeni kafanyeni kazi eti Watu wanafunga maduka, wanajifungia majumbani kisa Corona, mtakufa na njaa, ndio maana leo nawafuatilia wakandarasi, sasa nimkute mkandaraai hayupo site kisa corona, kuna wapuuzi huko wanasema Serikali inadanganya idadi imeongezeka, kwenu kuna Mtu amekufa na corona?, kuna Mtu kwenu anaumwa corona?, hiyo idadi imetoka wapi?" - Paul Makonda, RC DSM
Good work our focused leader
======
Wananchi wanaingia hasara kwa kukwepa majukumu yao huku mambo yakienda tofauti wanaanza kuilalamikia serikali ili iweze kupatia msaada.
Amesema hayo leo mkuu wa mkoa wa Dar es Salaaam Mh Paul Makonda wakati akikagua mradi wa TARURA katika eneo la Kinondoni shamba ambapo kumekuwa na mgogoro baina ya TARURA na wananchi wa eneo hilo.
Pia amewataka wananchi kuacha kujifanya wajuaji wakati tatizo linapokuwa kubwa kwasababu wakati watu wanaingia katika eneo la mradi ambalo hawatakiwi kuvamia.
Vilevile amewataka wananchi kufanya kazi huku wakichukua tahadhari ya ugonjwa wa Corona wasikae ndani watafute hela ili wasije wakafa na njaa.
“Tokeni ndani mkafanye kazi Corona isiwe kigezo cha kujifungia ndani tumepambana na magonjwa mengi ikiwemo kipindupindu na magonjwa mengine tufanye kazi huku tukichukua tahadhari’amesema Makonda.
Aidha Makonda amekukagua miradi ya barabara inayotekelezwa na TARURA katika wilaya ya Ilala na Kinondoni kujua maendeleo ya miradi hiyo.
“Barabara ni ahadi ya muda mrefu ya Mh Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dk John Magufuli ijengwe kutoka makao makuu wa Bakwata hadi Biafra”amesema Makonda.
Hatahivyo amepokea taarifa ya mgogoro kutoka kwa wananchi wa eneo lile kwa kutaka kuvunjiwa nyumba zao bila kupata fidia na walio lipwa wapo na hawajipotiwa na barabara hiyo.
Aidha amewataka wananchi kuwa atatuma kamati yake ifanye ukaguzi na wataanza jumatatu ili walete majibu kamili ili mradi huo uende kwa haraka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wamefunga mashule sijui kwa nini kama ni hiviWatanzania hawaiamini tena serikali ya ccm haswa hii ya awamu ya tano kutokana usanii inaoufanya
Hapo wewe unaonaje ? Yuko sahihi au amekosea
Mnachonga sana. Subirini. Muziki bado haujaanza.Kwangu mimi siamini mataifa mengine makubwa yenye wataalam si wajinga kiasi cha kuwaambia raia wake wajifungie. Hata kama kwa sababu moja au nyingine Tanzania haitaathirika sana na huu ugonjwa bado tu siwezi kusifu hatua zilizochokulia na nchi yetu kwa sababu wanafanya kamari mbaya sana. Siyo kwamba nataka wafanye lockdown kama nchi za Ulaya hapana. Kuna vitu wangeweza kufanya zaidi ili kuonyesha wanajali. Kuna mikusanyiko ambayo mpaka sasa inaendelea eg Bunge, Magulio, nk ambayo haina umuhimu na ni njia kuu ya kueneza hawa virus.
"Tokeni kafanyeni kazi eti Watu wanafunga maduka, wanajifungia majumbani kisa Corona, mtakufa na njaa, ndio maana leo nawafuatilia wakandarasi, sasa nimkute mkandaraai hayupo site kisa corona, kuna wapuuzi huko wanasema Serikali inadanganya idadi imeongezeka, kwenu kuna Mtu amekufa na corona?, kuna Mtu kwenu anaumwa corona?, hiyo idadi imetoka wapi?" - Paul Makonda, RC DSM
Good work our focused leader
======
Wananchi wanaingia hasara kwa kukwepa majukumu yao huku mambo yakienda tofauti wanaanza kuilalamikia serikali ili iweze kupatia msaada.
Amesema hayo leo mkuu wa mkoa wa Dar es Salaaam Mh Paul Makonda wakati akikagua mradi wa TARURA katika eneo la Kinondoni shamba ambapo kumekuwa na mgogoro baina ya TARURA na wananchi wa eneo hilo.
Pia amewataka wananchi kuacha kujifanya wajuaji wakati tatizo linapokuwa kubwa kwasababu wakati watu wanaingia katika eneo la mradi ambalo hawatakiwi kuvamia.
Vilevile amewataka wananchi kufanya kazi huku wakichukua tahadhari ya ugonjwa wa Corona wasikae ndani watafute hela ili wasije wakafa na njaa.
“Tokeni ndani mkafanye kazi Corona isiwe kigezo cha kujifungia ndani tumepambana na magonjwa mengi ikiwemo kipindupindu na magonjwa mengine tufanye kazi huku tukichukua tahadhari’amesema Makonda.
Aidha Makonda amekukagua miradi ya barabara inayotekelezwa na TARURA katika wilaya ya Ilala na Kinondoni kujua maendeleo ya miradi hiyo.
“Barabara ni ahadi ya muda mrefu ya Mh Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dk John Magufuli ijengwe kutoka makao makuu wa Bakwata hadi Biafra”amesema Makonda.
Hatahivyo amepokea taarifa ya mgogoro kutoka kwa wananchi wa eneo lile kwa kutaka kuvunjiwa nyumba zao bila kupata fidia na walio lipwa wapo na hawajipotiwa na barabara hiyo.
Aidha amewataka wananchi kuwa atatuma kamati yake ifanye ukaguzi na wataanza jumatatu ili walete majibu kamili ili mradi huo uende kwa haraka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Safi sani! Wanasingizia corona kumbe uvivu!
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]mekula mbwaJana tumekunywa pombe sana tukalewa chakari tukaamua tuchinje mbuzi tukala nyama sana cha ajabu kufika asubuhi tunamkuta mbuzi ila mmbwa ndio hatumuoni
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu wa mkoa wa Dar Makonda amewashangaa wananchi kujifungia ndani kisa Corona.
Makonda amesema watu watoke wakafanye kazi taratibu za kujikinga na corona ziko wazi, hivyo kujifungia ndani kisa Corona ni uzembe.
Amewashangaa wafanyabiara kufunga maduka kisa Corona.
Pia ameonya wanaosambaza habari kuwa kuna wagonjwa wengi ila wanafichwa, amehoji kwenye familia yako kuna mtu anaumwa corona ama amekufa na corona serikali imeficha.
NB. Kwa hizi kauli za viongozi ikitokea Corona ikatupiga sawasawa sidhani kama kuna Taifa litatia mguu kutusaidia.
Hata kama serikali ina msimamo wake kuhusu hili wangefanya kimya kimya, kutangaza hadharani hivi ni hatari kwa mstakabali wa Taifa letu.