Oxlade-Chamberlain
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 8,635
- 2,205
Kama hatuwezi kufunika pua na mdomo kwenye mikusanyiko ya watu basi potelea mbali tupigwe lockdown.Kauli zake nyingi huwa hazitekelezeki, anapenda sana kutoa matamko kuonesha authority aliyonayo, that's all.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe UsivaeAMESEMA TUVAE BARAKOA WAKATI BADO KUNA MIKUSANYIKO MIKUBWA WANAIANGALIA
Atazigawa bure?
[/QUOTE
Ujinga wake nini?Maagizo ya kijinga hayo.
Nafika Bar, Nanunua Beer, Naondoka.
DAH.
Sawa kabisa. Hata huko ulaya nchi zilizo kataza hijabu sasa wataona ziruhusiwe. Ni msaada tosha. Na wanaume watavaa!Wengine tunavaa hijab mambo ya kujistir 🧕 na midomo tunafunika ninja
Maji yamekorogeka tayariMkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Bwana Paul Makonda amesema kuanzia Aprili 20 siku ya Jumatatu kila mtu atakayepanda Daladala na anayekwenda kwenye eneo la manunuzi yeyote lazima awe amevaa Barako (Mask)
Poa siku hiyo ya Jumatatu ameelekeza biashara zote zifanyike katika mfumo wa 'Take Away', hivyo mtu akienda sehemu anunue na aondoke.
Subiri za bure ufe ndugu zako hawataona umezikwa wapi Get one for your self and your family Hawa viongozi ni wapuuzi ila kwa hapa tumpongezenjapo news zimechelewaAtazigawa bure?
Hizi taarifa ni za Dsm tu kama si mkazi wa DAR NI NGUMUNKUMWELEWAWalisema ni watu 4 watatoa maelekezo sasa huyu ni wa 5 au?? Manake inaonekana Dar sijui haikuhusika ?? Ndio mana zinatolewa hapa kauli tofauti kila mara
Huyu mtu alipashwa awe Mirembe by nowMkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Bwana Paul Makonda amesema kuanzia Aprili 20 siku ya Jumatatu kila mtu atakayepanda Daladala na anayekwenda kwenye eneo la manunuzi yeyote lazima awe amevaa Barako (Mask)
Poa siku hiyo ya Jumatatu ameelekeza biashara zote zifanyike katika mfumo wa 'Take Away', hivyo mtu akienda sehemu anunue na aondoke.
Hizi taarifa ni za Dsm tu kama si mkazi wa DAR NI NGUMUNKUMWELEWA
Chagua ukae ndani usitoke au utoke ukiwa umevaa Barakoa, utazitoa wapi is up to u!!Atazigawa bure?
Kwa hiyo wasio na hizo mask wasitoke kwenda kuchapa kazi?si watakufa na njaa?Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Bwana Paul Makonda amesema kuanzia Aprili 20 siku ya Jumatatu kila mtu atakayepanda Daladala na anayekwenda kwenye eneo la manunuzi yeyote lazima awe amevaa Barako (Mask)
Poa siku hiyo ya Jumatatu ameelekeza biashara zote zifanyike katika mfumo wa 'Take Away', hivyo mtu akienda sehemu anunue na aondoke.
Kwani rais amesafiri? Au anakuja kutokea wapi?Kila mtu mdomo ukimuwasha anaongea chake. Bora rais aje atoe muongozo kama ni lockdown au curfew.
Kuliko huu utoto unao fanywa, mara take away mara kuvaa masendeu!
Sent using Jamii Forums mobile app