umemsahau na mwingine
Kuandika tu hujuijana nimeshangaa mno kuona watu wakitabiri, wakiomba na wakitamani mkuu wa mkoa wa arusha paul makonda atumbuliwe na rais samia suluhu hassan kutokana na kauli yake ambayo hadi sasa sijaona ni wapi kakosea sana sana nimeona kapatia kabisa na alikuwa sahihi
mkuu wa mkoa wa arusha yupo na wala hatotumbuliwa kama mtakavyo na tena ndiyo ataaminiwa maradufu sawa?
Yule mwengine naona kapumzishwa sijui nani kamtibua.umemsahau na mwingine
Ndiyo utufokee sasa?Wewe vipi?jana nimeshangaa mno kuona watu wakitabiri, wakiomba na wakitamani mkuu wa mkoa wa arusha paul makonda atumbuliwe na rais samia suluhu hassan kutokana na kauli yake ambayo hadi sasa sijaona ni wapi kakosea sana sana nimeona kapatia kabisa na alikuwa sahihi
mkuu wa mkoa wa arusha yupo na wala hatotumbuliwa kama mtakavyo na tena ndiyo ataaminiwa maradufu sawa?
Misingi ya uandishi ni ziro bin sifuri.Atulize mwili na roho.Kuandika tu hujui
Kigamboni.Atagombea jimbo gani?
Yani Bashite aunyooshe mkoa mzima?Umebugia klorokwini wewe?Ni mpaka Samia ahakikishe Mkoa wa Arusha umenyooshwa. Ni Makonda wa kufanya hiyo kazi.
Mwandiko wa Makonda huu, hatuna haja ya kusumbuka sanajana nimeshangaa mno kuona watu wakitabiri, wakiomba na wakitamani mkuu wa mkoa wa arusha paul makonda atumbuliwe na rais samia suluhu hassan kutokana na kauli yake ambayo hadi sasa sijaona ni wapi kakosea sana sana nimeona kapatia kabisa na alikuwa sahihi
mkuu wa mkoa wa arusha yupo na wala hatotumbuliwa kama mtakavyo na tena ndiyo ataaminiwa maradufu sawa
Kuna na hili hapa, sijui alilichomokajeHutaamini macho yako.
Ukichukuwa tamko lake la kwenye msiba wa Lowasa ukachanganya na udhalilishaji wa mwanamke Longido unapata Makonda katumbuliwa
Una maana ataamua kufa kama ilivyokuwa kwa role model wake aliyeamua kufa baada ya kushindwa kuiua ChademaHatumbuliwi Ila Atatumbuka Mwenyewe
Una maana anajitekenya mwenyewe na kucheka mwenyewe?Mikono ya cognizant lakini sauti ya Genta πππ