Huyu ni parody, Wala siyo Makonda . Makonda hana ubavu wa kuandika haya.Kuna na hili hapa, sijui alilichomokajeView attachment 2999889
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu ni parody, Wala siyo Makonda . Makonda hana ubavu wa kuandika haya.Kuna na hili hapa, sijui alilichomokajeView attachment 2999889
Swala na yupo au hayupo sio hoja ya msingi ,swala ni jee? Anayo yafanya yanazingatia haki na utu?Jana nimeshangaa mno kuona watu wakitabiri, wakiomba na wakitamani Mkuu wa Mkoa wa Arusha Paul Makonda atumbuliwe na Rais Samia Suluhu Hassan kutokana na kauli yake ambayo hadi sasa sijaona ni wapi kakosea sana sana nimeona kapatia kabisa na alikuwa sahihi.
Mkuu wa Mkoa wa Arusha yupo na wala hatotumbuliwa kama mtakavyo na tena ndiyo ataaminiwa maradufu sawa?
Hapa mmemlisha maneno na account fake, hata kama sipendi namna yake ya utawala lakini kwa hili namtetea huyu si makonda na hawezi kuandika hivyo kuhusu serikali.Kuna na hili hapa, sijui alilichomokajeView attachment 2999889
sijasoma kama wewe kiongozi kama vipi naomba unipeleke shuleKuandika tu hujui
nani huyo?Yule mwengine naona kapumzishwa sijui nani kamtibua.
jana ulisema kuwa kuna insiders wamekuambia kuwa rc makonda anatumbuliwa rudi kwao waambie he is there to stay sawa?Hutaamini macho yako.
Ukichukuwa tamko lake la kwenye msiba wa Lowasa ukachanganya na udhalilishaji wa mwanamke Longido unapata Makonda katumbuliwa
sijasoma kama nyie kama vipi nipelekeni shuleMisingi ya uandishi ni ziro bin sifuri.Atulize mwili na roho.
Umerogwa wewe siyo bureJana nimeshangaa mno kuona watu wakitabiri, wakiomba na wakitamani Mkuu wa Mkoa wa Arusha Paul Makonda atumbuliwe na Rais Samia Suluhu Hassan kutokana na kauli yake ambayo hadi sasa sijaona ni wapi kakosea sana sana nimeona kapatia kabisa na alikuwa sahihi.
Mkuu wa Mkoa wa Arusha yupo na wala hatotumbuliwa kama mtakavyo na tena ndiyo ataaminiwa maradufu sawa?
makonda hatumbuliwi na mtanuna hadi mfeUmerogwa wewe siyo bure
Katoka juzi KoromijeKuandika tu hujui
Wanaamini sana kwenye ushirikinaHutaamini macho yako.
Ukichukuwa tamko lake la kwenye msiba wa Lowasa ukachanganya na udhalilishaji wa mwanamke Longido unapata Makonda katumbuliwa
hakuna wa kumtumbua rc paul makonda and he is there to stayKuna na hili hapa, sijui alilichomokajeView attachment 2999889
Akimaliza mwezi hajatumbuliwa niite huhuhu!jana ulisema kuwa kuna insiders wamekuambia kuwa rc makonda anatumbuliwa rudi kwao waambie he is there to stay sawa?
wewe hurogi? ungekuwa hurogi na huna roho mbaya kutwa ungekuwa unamchukia rc makonda na kumsagia kunguni?Wanaamini sana kwenye ushirikina
kwa kujiamini kabisa nakumbia rc makonda hatumbuliwi na tena sasa ndiyo atapendwa na mama kuliko mnavyotakaAkimaliza mwezi hajatumbuliwa niite huhuhu!
ambako napata hirizi na dawa za kunilinda na nyota yangu kung'aaKatoka juzi Koromije
Mwambie ukweli huyu pimbi!Kuandika tu hujui
Mpaka kifo kitakapomkuta 👍 #FOREVERBABAKEAGANhakuna wa kumtumbua rc paul makonda and he is there to stay
sawa pimbi mwenzanguMwambie ukweli huyu pimbi!