Chupayamaji
JF-Expert Member
- Sep 19, 2017
- 5,784
- 13,642
Muwe mnakaa kimya wakubwa wakiwa wanaongea vitoto vya siku hizi hamna adabu kabisa.Kama za Mkoa wa Mara zilivyokaliwa na wajaluo (Kenya) , Arusha wamasaai (Kenya) Mtwara na Lindi wamakonde (Nchumbiji) - Ruvuma wangoni na wayao (Malawi) - Kilimanjaro pia na Kagera upande wa mpakani na Uganda! Pia Mpanda,Katavi, Sumbawanga (Zambia) - Kigoma wamanyema (DRC).
Kwa hiyo Usishangae warundi na wanyarwandwa kuwapo. Ubaguzi ulishindwa hata Africa ya Kusini wakati wana bomu la nyuklia! Sembuse ubaguzi wako wa chuki tu na ujinga! Shame on you!
Na ni kweli bukoba,misenyi,muleba,karagwe na kyerwa zina maendeleo makubwa hasa ya vijijini na Hali ya maisha kiujumla tofauti na biharamulo na ngara.objectively, kuimega Chato kutoka Geita (ilikuwa Kagera kabla), Ngara-kutoka Kagera, Kakonko kutoka Kigoma, Bukombe na Biharamulo kuwa mkoa ni jambo jema. Kwa sasa wanaofaidi matunda ya mkoa Kagera ni Bukoba, Muleba na Karagwe. waiache Ngara iondoke tuu. mfano Ngara ilichangia sana kujenga miundo mbinu ya shule za Bukoba miaka ya nyuma....mda si mrefu wakaambiwa kila wilaya ijitegemee kwa kujenga miundombinu yake. Mpaka leo Ngara haija recover. ni miaka ya juzi tuu imeanza kupata shule zake. Ndo maana hata wana ngara waliopata elimu kupitia shule za bukoba ni wachache. Pia kutoka Ngara kwenda Bukoba ni mbali.
Chato utakuwa mkoa wenye coherence. Ngara na Kakonko lugha yao ni almost ile ile. Biharamulo na Chato zamani ilikuwa wilaya moja. imagine mtu kutoka Kakonko kwenda Kigoma kutafuta huduma. kwa raslimali walizonazo...utakuwa mkoa wenye potential sana. Ngara kuna madini ya kutosha...Chato uvuvi nk....Hata kikanisa..Ngara, Chato, baadhi ya sehemu za Kakonko, na Biharamulo ziko chini ya Jimbo moja la Rulenge-Ngara......(ingawa hili kiuhalisia halina uzito-maana imani za kidini na serikali ni tofauti)
Sema, kurahisisha maisha na huduma kwa wananchi....huu mkoa ungewekwa katikati pale Biharamulo. Ila hata makao makuu yakiwekwa Chato sioni shida...
Changamoto hapa ni kwamba wengi wanamchukia Hayati kwa hiyo hata swala la huu mkoa wanaliangalia kwa miwani ya mwendazake. ila kiukweli Chato na hizo wilaya tajwa.. unastahili kuwa mkoa.
Ingawa nashauri kuondoa au kupunguza hizi chuki dhidi ya mwendazake....tunaweza kuuita jina lingine ila isiwe Chato. Mf. mkoa wa Rubondo au mkoa wa Nyabugombe...au Burigi....nawaza tuu.
Ingawa nimalizie kwa kusema kwamba ingawa Hayati alikuwa anatokea Chato, Chato na hizo wilaya kuna watanzania wengine pia. Wathaminiwe na kuheshimiwa pia. sioni kwa nini mwananchi wa Ngara au Kakonko awe penalized kwa sababu tuu hizi wilaya ziko karibu na Chato.
Basi makao makuu yawekwe biharamulo maana ndo iko katikatiSawa Mkuu, ila ukitazama kwenye ramani hata hivyo mtu wa kutoka Bukombe ni kama Chato kwake ni mbali zaidi kuliko Geita
Ikiwa hivyo, namhurumia Marehemu maana ndoto zake tangu tupo primary school zilikuwa kuondoa chato kutoka kwa ‘wahaya’ ili ikaungane na wasukuma wenzao!Mkuu wa mkoa wa Geita mh Rose amesema ombi la kuunda mkoa wa Chato likipita basu mkoa wa Geita utabakiwa na wilaya za Busanda, Nyang'wale na Geita yenyewe na Mbogwe
RC Rose amesema mkoa mpya wa Chato utapokea wilaya 1 kutoka Kigoma na 2 kutoka Kagera.
Kwa maana hiyo mkoa mpya wa Chato unaopendekezwa utakuwa na wilaya 5 ambazo ni Kakonko kutoka Kigoma, Bihalamuro na Ngara kutoka Kagera na Bukombe na Chato yenyewe kutoka Geita.
Chanzo: ITV habari!
Kazi Iendelee
Ni kweli kama watakuwa fair Bihalamuro pana deserve kumpunguzia umbali mtu wa Ngara na Kakonko nadhani na BukombeBasi makao makuu yawekwe biharamulo maana ndo iko katikati
Nadhani ishu wabongo wengi wanaangalia kugawanywa mikoa Kwa umbali Tu sio population density na population.Sawa Mkuu, ila ukitazama kwenye ramani hata hivyo mtu wa kutoka Bukombe ni kama Chato kwake ni mbali zaidi kuliko Geita
Na ni kweli bukoba,misenyi,muleba,karagwe na kyerwa zina maendeleo makubwa hasa ya vijijini na Hali ya maisha kiujumla tofauti na biharamulo na ngara.
Imagine Biharamulo ilikuwa wilaya ya pili Kwa umaskini nchini.
Pia wahaya wameachiwa mkoa wao sasa maana walitofautiana mno na biharamulo na ngara .
Mkoa usiitwe chato mkoa uitwe biharamulo na makao makuu yawe biharamulo.
Watu wasichangie kisiasa maana hata kuumega mkoa wa kagera ni Sawa Sana maana mkoa Una population density na population kubwa pia zaidi million 3 na density ya 120 per km.
Wanaoagalia umbali Tu ili ianzishwe mikoa ya kutoka tabora na Lindi wanakosea maana mikoa hiyo ina population ndogo na density pia
Ili mama Samia aliangalie sana.Ni kweli kama watakuwa fair Bihalamuro pana deserve kumpunguzia umbali mtu wa Ngara na Kakonko nadhani na Bukombe
Mbona wakiufanya mkoa watafanikiwa mno .Ikiwa hivyo, namhurumia Marehemu maana ndoto zake tangu tupo primary school zilikuwa kuondoa chato kutoka kwa ‘wahaya’ ili ikaungane na wasukuma wenzao!
Wafanye assessment ya umbali kutoka kila eneo hadi Chato na umbali kutoka kila mahali hadi BihalamuroIli mama Samia aliangalie sana.
Makao makuu yawe biharamulo
Chige ukitaka kuwa fair, bila mihemuko ya kisiasa, Biharamulo would be ideal makao makuu. Ingawa na wenyewe ile jiografia yao ya barabara kuu kupita nje ya mji..inawatesa sana!Ama kweli kutangulia sio kufika! Hapo kabla, Chato ilikuwa ipo wilaya ya Biharamulo... leo hii Biharamulo inataka kuwa Mkoa wa Chato!
Hakika Everything happens for a reason!
Wala kupita nje ya sio tatizo .mji utapanuka kuifata hiyo barabara.kama ulivyo mji wa bukoba. Barabara kuu imepita rwamishenye 4km kutoka bukoba town centre lakin mji umepanuka na kupitiliza rwamishenye na kueleka katoma 10 km kutoka cente. Na rwamishenye inachangamka zaidi kuliko huko katikati.Chige ukitaka kuwa fair, bila mihemuko ya kisiasa, Biharamulo would be ideal makao makuu. Ingawa na wenyewe ile jiografia yao ya barabara kuu kupita nje ya mji..inawatesa sana!
Sasa kwavile wanalipenda sana neno "Chato" labda kwavile ni fupi kuliandika, basi wanaweza kuanzisha Mkoa wa Chato wenye Makao Makuu Biharamulo!Chige ukitaka kuwa fair, bila mihemuko ya kisiasa, Biharamulo would be ideal makao makuu. Ingawa na wenyewe ile jiografia yao ya barabara kuu kupita nje ya mji..inawatesa sana!
Umeishia darasa la ngapi? Unafaham historia ya Nchi yako? Tz kuna mijinga mingiiiii sanaaaaa haijiewi, by the way kwa concept hyo watz n akina ndugai tuu nyie wakaskazin n Wakenya🤨🤨🤨Hizo wilaya zinazounda mkoa wa Chato ni wilaya zilizokaliwa na warundi na wanyarwanda kuanzia Lafudhi hadi mila na desturi.
Jamhuri ya Rmbo! Israel ndani ya Tz?Hahahaaaa..... Na sisi tutaunda mkoa wa Rombo!
Rombo itakuwa Vatcan🤯🤯Hahahaaaa..... Na sisi tutaunda mkoa wa Rombo!
Hii nchi ya hovyo sana kuongeza maeneo ya utawala kunatatua vipi tatizo kubwa kama la ajira?Mkuu wa mkoa wa Geita mh Rose amesema ombi la kuunda mkoa wa Chato likipita basu mkoa wa Geita utabakiwa na wilaya za Busanda, Nyang'wale na Geita yenyewe na Mbogwe
RC Rose amesema mkoa mpya wa Chato utapokea wilaya 1 kutoka Kigoma na 2 kutoka Kagera.
Kwa maana hiyo mkoa mpya wa Chato unaopendekezwa utakuwa na wilaya 5 ambazo ni Kakonko kutoka Kigoma, Bihalamuro na Ngara kutoka Kagera na Bukombe na Chato yenyewe kutoka Geita.
Chanzo: ITV habari!
Kazi Iendelee
Mji Mtakatifu unaotoa viongozi bora😋😋 . Kwingine wana laaana😂😂. Utasikia et Waha n Warundi( f*k em)Jamhuri ya Rmbo! Israel ndani ya Tz?
Mi sijaishia darasa lolote afu mi ndo Ndugai mwenyew kuwa na adabu we Sadala.Umeishia darasa la ngapi? Unafaham historia ya Nchi yako? Tz kuna mijinga mingiiiii sanaaaaa haijiewi, by the way kwa concept hyo watz n akina ndugai tuu nyie wakaskazin n Wakenya[emoji2955][emoji2955][emoji2955]