Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu humu waongo kishenzi yaani mtu atoe 30m hlf ndio atajiwe kodi kiasi gani yaani hii 30 anaitoajetoaje sijui ni kkoo gani tunayoiongelea humu tuna ndugu na marafiki tunajua kinachoendelea kkoo kwa sasaUhondo wa ngoma ingia ucheze
Shughuli za kiserikali zimehamia Dodoma. Sasa hivi Dodoma pamekucha
Hizo nyumba nyingine ni muunganisho wa nini?Kwa sehemu ile na aina ya nyumba bei siyo kubwa. Sema wabongo wengi tumezoea ''nyumba'' za milioni ishirini. Nikuhakikishie kuwa nyumba nyingi tunazoishi hazina hadhi ya kuitwa nyumba. Nyingi ni muunganisho wa matofali na sementi na bati juu. Hakuna utaalam wowote kwenye kujenga.
Shughuli za kiserikali zimehamia Dodoma. Sasa hivi Dodoma pamekucha
Mkuu ubarikiwe sanaChakustaajabisha ni pale jengo linakaa bure mmiliki hataki kushusha kodi na anaona ni bora likae tupu hata miaka kumi ilipaswa kwa wakati huu sisi wanyonge tukalie haya maghorofa
Yaani wamesimamisha ujenzi wakati limebaki kidogo sana, wangemaliza waokoteokote kodiMtoa maada majengo ya pale Morocco NHC bado hayajaisha, ujenzi unaendelea ila naunga mkono uyasemayo
Sent from my SM-G610F using JamiiForums mobile app
sasa mtaaalam kukaa kwenye high end apartment kama zile 250 ndogo sana.pale imecalculatiwa vitu ving. insurance,vat,bei na eneo lile.ba huduma zinazopatikana bei ya kawaida sana mzee hio usiogopeKuna siku niliwapigia simu wale jamaa wa Victoria Apartments kuhusu Ghorofa Lao [emoji3][emoji3][emoji2] Duuh eti single bedroom inagharimu 250 Millions [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mbona mradi huo wa moroco ni kama umepigwa pini mzeeMtoa maada majengo ya pale Morocco NHC bado hayajaisha, ujenzi unaendelea ila naunga mkono uyasemayo
Sent from my SM-G610F using JamiiForums mobile app
Nikipata URAIS Serikali inahamia KINESI , MUSOMA mpende msipende.Kwa hiyo ikitokea tena serikali ikahamia Arusha Dodoma panakufa, Arusha ndio inachangamka ama inakucha?