Nawasubili tena apa wale wanaojifanyaga wanaumizwa na upuuzi wa marefa pindi yanga inapobebwa sasa wajitokeze tena kukemea kilichotokea kwenye mechi ya simba na geita gold, je goli la kusawazisha la geita limekataliwa kwa misingi ipi? Mchezaji aliotea au kapombe alisukumwa? Jibu analo mwamuzi martini sanya!!!!!
Ujielewi wewe unayo shida mahali, kwa timu ipi uliyonayo inayokufanya ujigambe ndugu yangu? Siku iyo msije mkaanza tena maneno maneno ya kuhujumiwa na wachezaji wenu, mtaonyeshwa kiwango chenu halisi mlichonacho kutoka kwa mafundi wa mpira tanzaniaNini Kimetokea? Kuna Watu wamechoka Kupumuliwa Kisogoni?
Haya sasa Hamtapumuliwa tena, Baada ya 11 Dec Baskeli yenu Ya Miti Itakuwa Imehitimisha Kazi Yake na Mtarudi Kwenye Nafasi Yenu Mnayostahili.....!
Siku zote nyie ni watu wa KIMBELEKO cha nyuma.š¤£Ni Zuzu (Juha) tu pekee atakataa huu Ukweli. Naipenda Simba SC yangu ila Ushindi wa 'Kimbeleko' kama wa Jana bora nichukiwe kwa Kusema Ukweli kuliko Kuwafurahisha Wanafiki.
Kabisa kabisa mkuu..Ni Zuzu ( Juha ) tu pekee atakataa huu Ukweli. Naipenda Simba SC yangu ila Ushindi wa 'Kimbeleko' kama wa Jana bora nichukiwe kwa Kusema Ukweli kuliko Kuwafurahisha Wanafiki.
Basi aliweka fair competitionš¤£funny enough huyo dogo ni yanga lia lia sasa sijui hiyo jana alipatwa na nini?............................!
Natamani hata Scars awe na akili yako bwana Purely Talented,Charismatic Fella Ila ndo hivo tena haiwezekani maana jamaa ni KOLO lililokubuhu.Ni Zuzu (Juha) tu pekee atakataa huu Ukweli. Naipenda Simba SC yangu ila Ushindi wa 'Kimbeleko' kama wa jana bora nichukiwe kwa Kusema Ukweli kuliko kuwafurahisha Wanafiki.
MBELEKO FC aiseeee!1Ni Zuzu (Juha) tu pekee atakataa huu Ukweli. Naipenda Simba SC yangu ila Ushindi wa 'Kimbeleko' kama wa jana bora nichukiwe kwa Kusema Ukweli kuliko kuwafurahisha Wanafiki.
Hawawezi kujaa kabisaaaaa!!!!wazushii sanaaa!!leo kimyaaa maana wanaujua ukweli uliotokea janaa!!hizi team zinakera sanaaa kubebwa mpaka zinaboaNawasubili tena apa wale wanaojifanyaga wanaumizwa na upuuzi wa marefa pindi yanga inapobebwa sasa wajitokeze tena kukemea kilichotokea kwenye mechi ya simba na geita gold, je goli la kusawazisha la geita limekataliwa kwa misingi ipi? Mchezaji aliotea au kapombe alisukumwa? Jibu analo mwamuzi martini sanya!!!!!